ORCA ACE
JF-Expert Member
- Jan 18, 2020
- 1,449
- 1,708
Umenichekesha, ah ah ah, yaani we ni fale sanaTutashuka mpaka uchumi wa mkia tusipokuwa makini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umenichekesha, ah ah ah, yaani we ni fale sanaTutashuka mpaka uchumi wa mkia tusipokuwa makini.
Ah ah... mashavu ya matako??? Akya Mungu mtoto wewe una laana mbayaWalikua wanaona rahisi saaana mwenzao alipokua akiongoza nchi mpaka kuifikisha huo uchumi wa kati, wakaungana kumkwamisha na kumuwinda.
Walidhani uongozi ni kama mashavu ya matako kila mtu anaweza kuwa nayo anapozaliwa.
Saa hizi kila kitu kinawafia, na bado. Mwisho wa ubaya ni aibu
Kwan nani dhalimu??Mbaya ni nani sasa, dhalimu ama nani?
Mmojjawapo ni jk, alidanganya kaenda kuhiji akaishia madukani kufanya shopping, alijua kule hakuna masiala hasingerudi kwa makando kando yake mja wa liana yuleWaliomuondoa Magufuli sijui wanapata raha gani wakiona watanzania wanateseka na kupanda kwa gharama za maisha kiholela holela as if nchi haina uongozi wa ku regulate bei za bidhaa mbalimbali.
Mbwembwe zote hizi za kiinglishi kumbe hujui economic growth indicators, umbwa kabisa, tena wewe ni pundaaCrazy man, I was so specific, wanted to pay you per lesson. Overhere we dont buy classes. Gerit ?
Yule akili kisoda, post yenyewe imemdondokea tuSamia kaongeza mishahara na kushindwa kudhibiti mfumuko wa bei mwisho wa siku kazi aliyoifanya inakuwa careless n hopeless.
Kazi ipoMbwembwe zote hizi za kiinglishi kumbe hujui economic growth indicators, umbwa kabisa, tena wewe ni pundaa
Kazi kweli kweliAh ah... mashavu ya matako??? Akya Mungu mtoto wewe una laana mbaya
Ombaomba wa China na Us wakoje mkuu wakilinganishwa na wa huku kwetu ?Uchumi wa kati haimanishi lazima wote tuwe matajiri lakini kunakuwa na uchumi jumuishi kama mwaka 2017 mpaka 2021 na asilimia kubwa ya wananchi wanashiriki katika keki ya taifa.Kwa taarifa yako hata USA,UK na China pamoja nakuwa superpower hakumanishi hakuna masikini wala hakuna omba omba lakini ombaomba wa huko sio kama wa Tanzania.
Wakati wa chini, katika maisha kuna + na - %. Mbona ulichoniwekea nikariri kinasema Tanzania ipo kwenye low middle income.Sawa, ila ni uchumi wa kati na hatujatoka huko.
Thats what we are talking about here.
By the way poverty headcount ratio ya dunia ni 47%, ya Tanzania ni 45% ya Guyana (high middle class country) ni 48%.
So your observation is baseless.
shindwa pepo!Ah ah... mashavu ya matako??? Akya Mungu mtoto wewe una laana mbaya
Ni sawa na kuwa na gari chakavu.Wakati wa chini, katika maisha kuna + na - %. Mbona ulichoniwekea nikariri kinasema Tanzania ipo kwenye low middle income.
Sio bei juu, kipato chako ndio kinasema bei juu. 5kg za mchele kwa bei ya around $7 ni bei ya kawaida kabisa inayotoa good return kwa wakulima.Hivi unaakili kweli?yaani wakulima wauze vyakula bei juu na kuwaumiza watu ndo unaita ukuaji wa uchumi?