Jackcheina
Member
- Aug 29, 2022
- 16
- 6
Haikuwa ajabu kwa sisi kuporomoka, Sababu mbona iko wazi tu, hata Wewe mwenyewe unaijua...View attachment 2413484
Rais Samia na Mwigulu ni yupi mkweli?!
Hapo juu ni Samia akikiri wazi Tanzania haipo tena uchumi wa kati, imeporomoka na aliahidi atapambana ili ifikapo 2025 uchumi wa Tanzania urejee kwenye daraja la kati.
NB: Teknolojia.