THE FIRST BORN
JF-Expert Member
- Apr 24, 2019
- 2,224
- 4,472
Za Asubuhi.
Siku Moja Mzee wangu aliniambia huyu Samia yeye kwenye akili yake anawaza Urais wake tu. Yani yupo tayari afanye lolote kulinda Urais wake sio Nchi. Nikawaza kweli. Issue ya Spika Ndugai alichukua action mapema. Issue ya kina Makamba na mwenzake alichukua action mapema.
Sasa hivi kauli mbiu SAMIA MUST GO kabweka vibaya mno anawaza Urais wake tu huyu Mama.
Yani mkitaka mujue alivyo na maneno ya kwenye vikoba semeni kuhusu Urais wake muonyeshe kama hafai na anatajiwa aondoke..
Ila yakija masuala mengine hamtosikia anakemea kwa ukali hivi.
Siku Moja Mzee wangu aliniambia huyu Samia yeye kwenye akili yake anawaza Urais wake tu. Yani yupo tayari afanye lolote kulinda Urais wake sio Nchi. Nikawaza kweli. Issue ya Spika Ndugai alichukua action mapema. Issue ya kina Makamba na mwenzake alichukua action mapema.
Sasa hivi kauli mbiu SAMIA MUST GO kabweka vibaya mno anawaza Urais wake tu huyu Mama.
Yani mkitaka mujue alivyo na maneno ya kwenye vikoba semeni kuhusu Urais wake muonyeshe kama hafai na anatajiwa aondoke..
Ila yakija masuala mengine hamtosikia anakemea kwa ukali hivi.