Rais Samia huwa anakuwa mkali sana akiona nafasi yake ya Urais inataka kuchukuliwa, kwenye mengine Anhaaaa!!

Hakuna mtu atakuwa Rais milele ila nafasi ya Urais haichukuliwi Kwa maandamano Bali uchaguzi.

Kama Ruto aliwafyekelea mbali Wapinzani na Gen Z walitaka kumpindua akiwaambia wasubirie Uchaguzi kinyume na hapo ni uhaini.

So mkiiga kunywa Kwa tembo mtapasuka misamba.
 
Hawana jeuri hiyo, wanadhani wataungwa mkono na vijana wengi wakati hao vijana wanahangaika kuifukuza shilingi huko wanapofanyia kazi.
 
Mama ni fashionist Presidential, anaona fika akiachia kiti atakosa treatment zote muhimu ikiwemo safari za nje huoni anavyozipapalikia kila kukicha yuko kwa mabeberu kwenda kupiga picha.
Anapenda umaarufu huyo mama,mchunguze
 

TAARIFA YA DHARURA

Mh Boniface Jacob amekamatwa muda huu na polisi wenye difenda muda huu maeneo ya Sinza na haijajulikana amepelekwa wapi.

C&p
 
Aondoke hatuona anachofanya zaidi ya kutetea kiti chake.
 
Hopeless kbs! unajua kiwango cha fedha kinachopotea tokana na madhila ya uongozi dhaifu..mfano ufisadi na ukwepaji kodi.
Mpuuzi wewe unajua kiwango cha pesa kinachoingia hazina ya nchi tangu 2021 alipofariki JPM?. Ukiendelea kukariri ujinga unaousikia huko mitaani utaendelea kupotea tu.

Samia ni mbunifu sana katika masuala ya utendaji, pia hana ushamba wa kujiona anajua kuliko kile anachokifahamu katika uhalisia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…