Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]Tutegemee nyuzi nyingi zilizoambatanishwa na namba za simu humu jukwaa la Siasa..But Mama atawafungia vioo tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]Tutegemee nyuzi nyingi zilizoambatanishwa na namba za simu humu jukwaa la Siasa..But Mama atawafungia vioo tu.
Ukute ndio weweKumbe Mama huwa anapita humu kimyakimya
Usikute ana ID na huwa anabishana na watu humu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mama Samia pita na hapa kwa comment yangu
Uje kwenye uzi wangu uniungishe perfume.
[emoji23][emoji23][emoji23]Ukute ndio wewe
😂😂😂 Ni balaa eti,..Uzuri wa msimamo JF kuto expose members.
Maana siku wakiamua kutoa taarifa hii nchi itasimama.
Naomba kusijetokea vujisha taarifa za members kwa namna yeyote ile.
Hebu pata picha mgojwa mtambuka ndo jiwe [emoji3][emoji3]
Kweli kabisa,..Na isipojulikana ID yake ndio inakuwa vizuri zaidi !!
Inawezekana hachangii anasomatu na anapita hiviMama anatumia ID feki nae.
Imenipa moyo kusikia tuna figures kubwa humu Jamii Forum bahati mbaya tu kwa Sasa JF Haina vichwa Kama zamani. Vilivyokuwa vinaandika makala zenye intellectual curiosity.
Kwa Sasa walioko humu kutwa thread za kuchakata Mbususu tu akina mpwayungu village