BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 6,373
- 16,073
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!
Pure talented and charismatic fella.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!
[emoji28][emoji28][emoji28]Popoma pia apunguze zile nyuzi zake za watu wa Kawe
Jamani🙃
😃😃😃Members?
Na isipojulikana ID yake ndio inakuwa vizuri zaidi !!😂😂 mi naamini ni memba yumo humu,..si unajua JF tunatumia ID fake,..
Atakua anasoma comments za yuke jamaa ndio maana anabaki kucheka tu...Ameyasema hayo huko Kilimanjaro, kuwa huwa anapitia maoni anabaki kucheka tu
So far so good 😊 tunataka awe kama Margareth Thatcher wa 🇬🇧 UK , aliwaburuta wanaume kwenye siasa kwa miaka 11 akiwa Prime Minister 😅🙏Samia ni Great thinker.
Rais Samia: Hakuna kisichowezekana kwenye mazungumzo, tumesuhudia nchi kadhaa zimeingia kwenye vita hawakupata suluhu, suluhu imepatikana kwenye mazungumzo kwahiyo tuendelee kuzungumza. Najua si rahisi kabisa watu kuja na utamaduni huu mpya ukakubalika mara moja, si rahisi, kwangu kuna vikwazo kwangu kuna vikwazo.
Huwa napitia Jamiiforums naangalia maoni yenu kule ndani, nasoma nnacheka, nasema lakini huu ni utamaduni mpya, si rahisi kukubalika kwa ghafla, kwahiyo pande zote Tanzania nzima si rahisi kukubali utamaduni huu mpya kwa haraka.
Anasoma kama guestAnaeijua I'd ya mama Samia tafadhari[emoji3]
Ukute mama kishachangia huu Uzi[emoji1787]Anasoma kama guest
Wajinga pia na sisi ni watu wake na tuna maoni yetu ya kijinga, atatusikiliza, atatusaidiaInabidi admins waweke vigezo watu kujiunga maana wajinga wanaongezeka. Rais anaposoma watu kama hao anaona aibu.
Itakuwa hata nyuzi zangu zilee jukwaani anazisoma vizuri tuu
[emoji23][emoji23] mi naamini ni memba yumo humu,..si unajua JF tunatumia ID fake,..