kajunjumele
JF-Expert Member
- Jul 5, 2014
- 2,470
- 1,352
😆😆😆Ina maana hata ule uzi pendwa wa kula kimasihara kashauona 😀 😀 😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😆😆😆Ina maana hata ule uzi pendwa wa kula kimasihara kashauona 😀 😀 😀
Naamini siku alipopitaga uzi huu, Ikitokea kuna Kiongozi ana Macho mazuri, na umeyapenda, je, kuna ubaya kumsifia macho yake? Ni ukosefu wa heshima na adabu? sijui kama ndio alicheka, alinuna, au alikasirika...!, msikute ndio maana...!.Rais Samia:
Huwa napitia Jamiiforums naangalia maoni yenu kule ndani, nasoma nnacheka,
Ban za nn wew umesikia mam hataki utaniMama apewe ID Maxence. Na ile heshima ya JF ilindwe kupunguza wapumbavu jukwaani. Ban zirudi kwa Nguvu ile ya zamani.
Ni lazima naye ajue kuwa na wajinga wapoInabidi admins waweke vigezo watu kujiunga maana wajinga wanaongezeka. Rais anaposoma watu kama hao anaona aibu.
Umekazana kuinanga chadema na ile I'd yAko feki ya country wide Hadi umeteuliwa ukuu wa wilaya Sasa umerudi TenaInabidi admins waweke vigezo watu kujiunga maana wajinga wanaongezeka. Rais anaposoma watu kama hao anaona aibu.
Machawa watazidi na watajipendekeza ili wakitumaini kuwa watafatwa pm na kulamba uteuzi utaona nyuzi nyingi za kumsifia rais zikipandishwa Kila sikuImenipa moyo kusikia tuna figures kubwa humu Jamii Forum bahati mbaya tu kwa Sasa JF Haina vichwa Kama zamani. Vilivyokuwa vinaandika makala zenye intellectual curiosity.
Kwa Sasa walioko humu kutwa thread za kuchakata Mbususu tu akina mpwayungu village
Uchawa utaongezeka humuImenipa moyo kusikia tuna figures kubwa humu Jamii Forum bahati mbaya tu kwa Sasa JF Haina vichwa Kama zamani. Vilivyokuwa vinaandika makala zenye intellectual curiosity.
Kwa Sasa walioko humu kutwa thread za kuchakata Mbususu tu akina mpwayungu village
ukiandika weka namba za simu na emailKumbe raisi ananisomaga.... bwahahahahaaaaaaa .. ngoja niendelee kuandika.. huenda nikakumbukwa kwenye teuzi na mimi...
Umeongea sahihiMama apewe ID Maxence. Na ile heshima ya JF ilindwe kupunguza wapumbavu jukwaani. Ban zirudi kwa Nguvu ile ya zamani.
Kwenye maisha kuna kipind unakuwa peak... jf ya zamani ilifikia hapaSasa mbona bado uko nasi? Miswahili bhana.....!!!!!
2014 to 2018...Zamani kwako ni lini??
Amesema hilo ameliachia mahakama anasubiri ifanye kz yake kumbe ni member wetu hukuNimemsikia pia, kumbe anatusoma. Sasa mama please wale wabunge 19 kwa nini katiba imevunjwa?
Precisely Chief ananisoma, ananifolo na hata 90% ya Watendaji wake Ikulu na Idara yenu ile Maalum 'Eagle Wing' nao karibia 95% huwa Wananisoma na Kunifuatilia 24/7 GENTAMYCINE hapa JamiiForums.GENTAMYCINE huwa anampa makavu ndio maana anapita mara kwa mara huku.