Rais Samia: Huwa napitia JamiiForums naangalia maoni yenu

Rais Samia: Huwa napitia JamiiForums naangalia maoni yenu

Toka kipindi kile alishauriwa awe anaweka namba ya simu kwenye nyuzi zake za kichwa jamaa alikazana sana na baadaye zilipotoka teuzi ni kama alikatishwa tamaa.

Leo Rais kasema huwa anapita pita humu mimi nlishaona ID flani na nliambiwa niiangalie kwa utulivu. So sasa nadhani dogo atapambana sana naye atoke juani maana anapambana sana humu kuchawia halafu vyeo wanapata wengine ambao hata hawamo humu.
 
Najua si rahisi kabisa watu kuja na utamaduni huu mpya ukakubalika mara moja, si rahisi, kwangu kuna vikwazo kwangu kuna vikwazo.

Huwa napitia Jamiiforums naangalia maoni yenu kule ndani, nasoma nnacheka, nasema lakini huu ni utamaduni mpya, si rahisi kukubalika kwa ghafla, kwahiyo pande zote Tanzania nzima si rahisi kukubali utamaduni huu mpya kwa haraka.
Ni ushauri aliotoa Kikwete kwa Kagame ukataka kuwaka moto
 
Screenshot_20230308_204715_WhatsApp.jpg
 
Ameyaweka wazi hayo katika mkutano wa Bawacha katika siku ya mwanamke duniani.

Rais Samia akihutubia taifa kupitia mkutano huo amewaambia kuwa huwa anasoma maoni ya katiba mpya, wabunge wa Covid19 na mengineyo kuhusu Serikali yake kupitia mtandao maarufu wa JamiiForums.

My take:
Leo ndio nimejua kuwa kumbe Rais Samia nae ni mdau wa JamiiForums.

Hii imetuinua sana wana jukwaa hili.
Mama Samia anaijuwa Jamii Forums kabla haijawa Jamii Forums.
 
Kumbe wengi mpo JF lakini bado hamuijui JF.

Humu usalama wa Taifa wana desk lao kabisa kama ulikuwa hujui.

Scandal ya EPA Dr Slaa aliipata humu ndio akaipeleka kuikomalia bungeni.

Unajuwa kosa la Max kukamatwa kushtakiwa na kunyimwa dhamana na kupelekwa gereza la keko sababu ilikuwa ni nini?
Ni lazima TISS wawe na jicho huku kama kweli wapo serious..

JF ni chombo muhimu.
 
Yupo mitandao yote ya kijamii kuanzia Facebook, Instagram, Twitter nakadhalika.

Kwahiyo kama ni kuwaheshimisha basi amewaheshimisha hadi watumiaji wa Facebook nakadhalika.
Mtu akiwa JF kuna namna fulani huwa namheshimu..tofauti na Facebook na Twitter.

Mama kusema anapita humu Jf ni kitu poa sana.
 
Mama with all due respect tukumbuke sisi watoto wako na ajira, tuko mtaani toka 2015 tuna majukumu, mpaka tunakufuru
 
Kumbe hua ana comment, ana like, ana bishana na kukosoa kwenye ule uzi wa kimashihara.

Inabidi nianze kwenda PM randomly naweza kuangukia popote. mara pa Ultimate magogoni
Tokea mama awe rais hivi ushawahi kuona Faiza fox kucomments??
 
Back
Top Bottom