Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Toka kipindi kile alishauriwa awe anaweka namba ya simu kwenye nyuzi zake za kichwa jamaa alikazana sana na baadaye zilipotoka teuzi ni kama alikatishwa tamaa.
Leo Rais kasema huwa anapita pita humu mimi nlishaona ID flani na nliambiwa niiangalie kwa utulivu. So sasa nadhani dogo atapambana sana naye atoke juani maana anapambana sana humu kuchawia halafu vyeo wanapata wengine ambao hata hawamo humu.
Leo Rais kasema huwa anapita pita humu mimi nlishaona ID flani na nliambiwa niiangalie kwa utulivu. So sasa nadhani dogo atapambana sana naye atoke juani maana anapambana sana humu kuchawia halafu vyeo wanapata wengine ambao hata hawamo humu.