Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
👋Hivi hapo alikua anasema utamaduni gani ambao hauwezi kukubalika kwa ghafla?
ID take naijua ila sio verified user[emoji846]
Bara na PwaniHivi hapo alikua anasema utamaduni gani ambao hauwezi kukubalika kwa ghafla?
Ushapiga ramli kikingeni nini?ID take naijua ila sio verified user
Nayeye anatumia ID feki?! Au ndo MamaSamia2025 au huyu ni chawa😅ID take naijua ila sio verified user
Mama anatumia ID feki nae.Nayeye anatumia ID feki?! Au ndo MamaSamia2025 au huyu ni chawa😅
Itakuwa ni utamaduni huu wa kualikana🙂Hivi hapo alikua anasema utamaduni gani ambao hauwezi kukubalika kwa ghafla?
[emoji13][emoji13][emoji13]Ushapiga ramli kikingeni nini?
Hajasema usimlishe maneno Rais wetu.Yupo mitandao yote ya kijamii kuanzia Facebook, Instagram, Twitter nakadhalika.
Kwahiyo kama ni kuwaheshimisha basi amewaheshimisha hadi watumiaji wa Facebook nakadhalika.
Harafu kuna mtu alisema alitamani aifuta hii mitandao akaanza kumsumbua MeloNimecheka kumbe mama huwaga anatusoma...
Cc
Jf founder Melo
Mshana jr
Buji buji
Paschal Mayalla
Erythrocytes
Gentamicin
Mwachiluwi
Ricky boy
Mzabzabina
Dejane
Deepond
John the Baptist
Business intelligent
Tumain El
Mdukuzi
Ras jeff kapita
Myangu
Mpwayungu village
Extrovert
Wakupuliza
Ma DR. Wote wa Jf
List ni ndefu..
Bila kusahau
Na
Wana Jf wote
Humu JF Kuna vichwa adimu sana yaan Akili mingi kama mchwa......
Long live JF
HakikaLakini mnyonge mnyongeni haki yake mpeni ni kweli kuwa Rais Samia Suluhu anatumia akili kubwa sana katika uongozi wake
Ooh shukrani sanaBara na Pwani
Kuna ID ya upinde wa mvua hapo hebu isihusishwe na Mama mwenye hofu ya Mungu.Hizi fake ID zinaficha mambo mengi sana kama huwezi amini kuwa mpwayungu village ndio Nape Nauye na rickboy ndio Mwigulu. Unaweza Kuta Mama ndio cocastic au Unique Flower . Siku Moja Mello ebu tuumbue kwa kutuwekea majina YETU halisi.
Hapana atumie id fake tu, kama sisi wengine , itakua njia nzuri ya kujua Hali halisi ya sisi wananchi.Afungue account OG,kwa username yake.