kichakaa man
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 5,500
- 5,164
[emoji1787][emoji1787]Huyu keshakataliwa.
Wacha aendelee kulipoka.
Anavyolopoka, ni wazi kabisa KICHWANINI MWEUPE.
SMMzee
Yule ni Hamnazo Kabisa. Ndio shida ya kuongozwa na mtu anaeingia period Kila wakati
.Utasema yote ...Pia ukiulizwa kuhusu yale mauaji ya miili kwenye viroba na kucharazwa risasi mingi TL wala usisite funguka tu mama ili 'fungu' liachiwe.
Hali ni mbaya Tz
Kwani nani alikuchagua?? Pia rais ni taasisi na sio mtu alieondoka ni mtu je taaisis ya u rais haifai?? Tuache kutafuta justification kwa kuponda walliopita bali turekebishe walipokosea then tuendelee mbele kwa amani na utulivu..Rais Samia akiwa Washington Dc, anasema wakati wa utawala wa awamu ya 5, mara kadhaa alijikuta anatofautiana na Rais Magufuli.
Mojawapo ya tofauti zao zilikuja kwenye suala zima la kudili na ugonjwa wa Uviko-19.
My take:
Rais Samia inatosha sasa, marehemu hasimangwi tumuache apumzike, tugange yajayo.
View attachment 2188626
Mkuu ndio kwanza mwaka tu...Huyu keshakataliwa.
Wacha aendelee kulipoka.
Anavyolopoka, ni wazi kabisa KICHWANINI MWEUPE.
Wewe ulikua na UKIMWI, KISUKARI, CANCER au mattz mengine lkn sio Corona. Sema vichwa vyenu vilikua kwenye motion ya Corona. So kila kitu ni Corona.Hapa napoongea nina mafua yamebana sana plus kichwa na kiungulia. Ingekua kipindi kile si mngesema Corona?Yaani nilitaka uteketeze kila kitu. Mshenzi yule anakebehi COVID. Yaani mi ilinichapa Mungu akaniokoa. Nikapoteza Shangazi zangu wawili na Kaka zangu wawili. Achilia mbali ndugu, Jamaa na marafiki na majirani. Yaani alaaniwe Lucifer Yule aungue Motoni. Ninaamini alikutana na wale waliopotea enzi zake.
Kama masihara vile.Huyu mama kiutani naona tunatoboa
Mtajuana wenyewe. Angesema mwanachadema mngemrushia mapanga🤣🤣Makamu haruhusiwi kuachia ngazi ?
Unless otherwise ni necessary sio uungwana saana to kick a dead man (its political but not diplomatic)
Unakula vyakuka visivyo na hadhi ndio maana unajaa viungulia.Wewe ulikua na UKIMWI, KISUKARI, CANCER au mattz mengine lkn sio Corona. Sema vichwa vyenu vilikua kwenye motion ya Corona. So kila kitu ni Corona.Hapa napoongea nina mafua yamebana sana plus kichwa na kiungulia. Ingekua kipindi kile si mngesema Corona?
Hata demokrasia ya kujiuzulu haikuwepo.hivi kwa akili yako ya kawaida tu . unataka kusema angeamua kujiuzuru mbele ya bwana yule angekuwa hai huyu?
Unajiuzuru kwa kuangalia nature ya kiongozi wako .
Ukisikia historia itakuhukum ndio hivi.Hapa naona mwendazake anaendelea kutumika kama dekio
Dunia nzima Sasa nchi zote duniani zenye maraisi wenye akili na wasio na akili wanatumia Magufuri models, no lockdown, we can live with diesease forever, no mask, covid was just a scam some guys to make 💰, nchi zote zinamwona JPM Kama hero.Rais Samia amewambia wamarekani kuwa ilikuwa ni vigumu kwake kufanya kazi na Magufuli.
Ilikua ni propaganda za kuwahadaa wapumbavu kama wewe!Nimejitolea maisha yangu kwa ajili ya watanzania masikini, hii kauli mzee sijui alikuwa anamainsha nini, mimi kwangu bado ni fumbo kubwa.