Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,773
- 32,431
Zaidi ya hayo kwanini Marehemu awe Magufuli pekee na si wengine?..marehemu anasemwa.
..tena huwa inasisitizwa wanaomdai marehemu wajitokeze.
..Magufuli ameacha deni kubwa la HAKI.
..waliodhulumiwa na Magufuli na serikali yake wanadai haki zao.
..waliopotelewa [ kundi la wasiojulikana] na ndugu zao wakati wa utawala wa Magufuli wanadai kuelezwa ndugu zao wako wapi.
..wapo walioshambuliwa kwa marisasi kwa mfano Tundu Lissu na inaelekea ni kwa " maagizo kutoka juu" wanadai watendewe haki.
..wapo walionyang'anywa fedha zao na mali zao kwa matumizi mabaya ya sheria ya " plea bargain" wanamdai Magufuli.
..waliobambikiwa kesi kwa sababu za kisiasa kutokana na agizo haramu la Magufuli la kuzuia shughuli za vyama vya siasa wanadai haki zao.
..Magufuli alitawala Kidikteta hivyo amefariki huku akiwaacha maelfu ya Watanzania wakimdai HAKI zao.
..Marehemu hasimangwi, ila watu mbalimbali wanaeleza MADENI aliyoacha.
Cc Nguruvi3, Erythrocyte
Miaka 20 tunamsema Nyerere , hivi karibuni Mkapa kwanini JPM awe tofauti
Wanaotaka Marehemu Magufuli asisemwe wanasababu moja 'kuficha jambo'' . wanatumia ngao
Magufuli alikuwa public figure aliishi kwa kodi zetu tuna haki ya kumsema kwa kila kitu
Kitu kisicho haki ni kumsingizia jambo au kumzushia!
Kumdai si kumsingizia, wadai wanataka deni lao la haki
Kama ulivyosema ana madeni ya haki!