Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Uchaga umekujaa ndio maana hata urais mtaishia kutawala hapo machame tuMazwazwa ya jiwe enzi hizo yalijiona Sana yakajaribu kuididimiza kaskzn hasa KLM Ila yenyewe yakaangukia pua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uchaga umekujaa ndio maana hata urais mtaishia kutawala hapo machame tuMazwazwa ya jiwe enzi hizo yalijiona Sana yakajaribu kuididimiza kaskzn hasa KLM Ila yenyewe yakaangukia pua
Sujuma gang mbona umeongea kwa upole sana? Duh dunia duara,nchi ilikuwa chini ya washamba kwelikweliKaka yake mbowe alifariki kwa corona pia
Huu ujinga wa kusema hakukua na vifo hamjaacha bado?Kwani mbona huku mtaani hakukukua na vifo?
Non.Leta ushahidi. COVID wiped him.To hell
Unaonaje nchi ilivyo chini ya wajanja maisha yalivyo rahisiSujuma gang mbona umeongea kwa upole sana? Duh dunia duara,nchi ilikuwa chini ya washamba kwelikweli
Hukupenda kutosoma ni wazazi wako hawakupata nafasi na uelewa ,siwezi tukana umaskini wako huko magu,ila mkuu tanzania tusipopewa misaada miezi 6 utajua hujui ,bajet kama mia wazungu wanatoa 60 na mapato ya tra asilimia 70 yanalipa mishahara ya watumishi ,wazungu ni maji usipo waoga unawanywa,hiyo simu unayotumia,chupi na mafuta ulopaka mataq wameleta waoImge ya kuomba omba?
Kuna kukubaliana kuto kukubalianaKama kweli walitofautiana lakini akashindwa kusimamia alichokiamini mpaka mwisho basi hakuwa na msimamo.
Sikuwahi kumuona Samia akiwa amevaa barakoa wakati wa Magufuli, mtu pekee niliyemuona amevaa barakoa alikuwa ni Kikwete pekee, au kama, yupo aliyemuona Samia kuvaa barakoa wakati ule hata anioneshe picha na Magufuli akionekana.
Inawezekana Samia aliogopa kitumbua chake kisiingie mchanga akawa tayari kuweka reheni afya yake.
Ndio iko hivyo sababu akitokea mtu anaetaka tujitegemee anatukanwa kila kona!Hukupenda kutosoma ni wazazi wako hawakupata nafasi na uelewa ,siwezi tukana umaskini wako huko magu,ila mkuu tanzania tusipopewa misaada miezi 6 utajua hujui ,bajet kama mia wazungu wanatoa 60 na mapato ya tra asilimia 70 yanalipa mishahara ya watumishi ,wazungu ni maji usipo waoga unawanywa
Nafahamu nitakufa sasa nakushangaa wewe unaeropoka Kama wewe ni wa kuishi mileleHata wewe utakufa tu km shetani wenu.
Mbona Samia hatofautiani na Magufuli kwenye suala la katiba mpya?Rais Samia amewambia wamarekani kuwa ilikuwa ni vigumu kwake kufanya kazi na Magufuli...
Na alikuwa ana tofautiana nae sana kwenye mambo mengi hasa jinsi alivyokuwa ana kabiliana na swala la UVIKO 19
View attachment 2188625
Sukuma gang mna matatizo . kama ulipiga kura sura ya huyu mama hukuiona kwenye karatasi ya kupigia kura? . au mwenzetu uliweka ✔ kwenye picha ya jiwe 😂😂😂kwahiyo yeye anaona yupo sahihi?, tulimchagua magufuri. Huyo maneno mengi simtambui...inamtambua katiba na genge lake tu. Sisi tunasubiri kumuweka rais wetu 2025.
Huyu mama itabidi tumuulize yupo lipo wapi jiwe letu??Rais Samia amewambia wamarekani kuwa ilikuwa ni vigumu kwake kufanya kazi na Magufuli...
Na alikuwa ana tofautiana nae sana kwenye mambo mengi hasa jinsi alivyokuwa ana kabiliana na swala la UVIKO 19
View attachment 2188625
Rais Samia amewambia wamarekani kuwa ilikuwa ni vigumu kwake kufanya kazi na Magufuli...
Na alikuwa ana tofautiana nae sana kwenye mambo mengi hasa jinsi alivyokuwa ana kabiliana na swala la UVIKO 19
View attachment 2188625