#COVID19 Rais Samia: Ilikuwa ni vigumu kwangu kufanya kazi na Hayati Magufuli hasa alivyokuwa anakabiliana na suala la Covid -19

#COVID19 Rais Samia: Ilikuwa ni vigumu kwangu kufanya kazi na Hayati Magufuli hasa alivyokuwa anakabiliana na suala la Covid -19

..marehemu anasemwa.

..tena huwa inasisitizwa wanaomdai marehemu wajitokeze.

..Magufuli ameacha deni kubwa la HAKI.

..waliodhulumiwa na Magufuli na serikali yake wanadai haki zao.

..waliopotelewa [ kundi la wasiojulikana] na ndugu zao wakati wa utawala wa Magufuli wanadai kuelezwa ndugu zao wako wapi.

..wapo walioshambuliwa kwa marisasi kwa mfano Tundu Lissu na inaelekea ni kwa " maagizo kutoka juu" wanadai watendewe haki.

..wapo walionyang'anywa fedha zao na mali zao kwa matumizi mabaya ya sheria ya " plea bargain" wanamdai Magufuli.

..waliobambikiwa kesi kwa sababu za kisiasa kutokana na agizo haramu la Magufuli la kuzuia shughuli za vyama vya siasa wanadai haki zao.

..Magufuli alitawala Kidikteta hivyo amefariki huku akiwaacha maelfu ya Watanzania wakimdai HAKI zao.

..Marehemu hasimangwi, ila watu mbalimbali wanaeleza MADENI aliyoacha.



Cc Nguruvi3, Erythrocyte
Alikuwa wapi kuzungumza hayo mwanzoni?
Mbona Bashite alijivua ukuu wa mkoa akaamua kuingia kwenye kinyang'anyiro cha ubunge, kwani Magu alimuua?

Huo si unafiki, kwa nini msibani Chato aseme yeye na Magu ni kitu kimoja, hivi sasa US anasema Magu hivi Magu vile, vyote ni kumponda jamaa, kama yeye ni kiongozi shupavu, mpigania haki, mwanaharakati angemwambia machoni Magu "mzee unakosea", mbona Kambona alimchana Nyerere? Akatimua mbio ugenini..

Huyu mama ana alama zote za unafiki na uzandiki, na mtu wa namna hii sio mzuri hata kidogo.
 
Rais Samia amewambia wamarekani kuwa ilikuwa ni vigumu kwake kufanya kazi na Magufuli...
Na alikuwa ana tofautiana nae sana kwenye mambo mengi hasa jinsi alivyokuwa ana kabiliana na swala la UVIKO 19
View attachment 2188625

Huko ni kujidhalilisha ilimradi tu aiuze nchi kwa majinga hayo.

Kwanini hajayasema Tanzania? Huko ni kujikosha tu ili aonekane msafi apate kibali machoni pa wazungu. Ni kujipendekeza na ni unafiki.
 
Naona sasa ameacha kuwa Comforter in Chief. Ametugeuka, amekuwa Saddist in Chief.
 
Rais Samia amewambia wamarekani kuwa ilikuwa ni vigumu kwake kufanya kazi na Magufuli...
Na alikuwa ana tofautiana nae sana kwenye mambo mengi hasa jinsi alivyokuwa ana kabiliana na swala la UVIKO 19
Nguchiro kutukana msasi kaona shimo
 
Rais Samia akiwa Washington Dc, anasema wakati wa utawala wa awamu ya 5, mara kadhaa alijikuta anatofautiana na Rais Magufuli.

Mojawapo ya tofauti zao zilikuja kwenye suala zima la kudili na ugonjwa wa Uviko-19.

My take:
Rais Samia inatosha sasa, marehemu hasimangwi tumuache apumzike, tugange yajayo.

View attachment 2188626
Wacha asimangwe hadi mifupa iruke ruke
 
Yaani nilitaka uteketeze kila kitu. Mshenzi yule anakebehi COVID. Yaani mi ilinichapa Mungu akaniokoa. Nikapoteza Shangazi zangu wawili na Kaka zangu wawili. Achilia mbali ndugu, Jamaa na marafiki na majirani. Yaani alaaniwe Lucifer Yule aungue Motoni. Ninaamini alikutana na wale waliopotea enzi zake.
Ulitaka afanyaje mkuu ili hao ndugu zako wasife na corona? Maana hata huyo Samia toka achukua madaraka kipi amefanya kupunguza vifo vya corona?
 
Alikuwa wapi kuzungumza hayo mwanzoni?
Mbona Bashite alijivua ukuu wa mkoa akaamua kuingia kwenye kinyang'anyiro cha ubunge, kwani Magu alimuua?

Huo si unafiki, kwa nini msibani Chato aseme yeye na Magu ni kitu kimoja, hivi sasa US anasema Magu hivi Magu vile, vyote ni kumponda jamaa, kama yeye ni kiongozi shupavu, mpigania haki, mwanaharakati angemwambia machoni Magu "mzee unakosea", mbona Kambona alimchana Nyerere? Akatimua mbio ugenini..

Huyu mama ana alama zote za unafiki na uzandiki, na mtu wa namna hii sio mzuri hata kidogo.
Hivi kuna mtu yeyote alikuwa anauwezo wa kusema hayo unayoyasema?

Labda Lissu tu ndiye aliyejaribu...naww unalijua hilo.
 
Kwa swala la Covid 19 Magufuri alikuwa sahihi sana.
Endelea kuwapiga raia na J&J ,lockdown ubgekuwa upuuzi wa karne ambao hata wahubiri wa Uviko 91 wameushindwa. Ni biashara tu
 
Rais Samia amewambia wamarekani kuwa ilikuwa ni vigumu kwake kufanya kazi na Magufuli...
Na alikuwa ana tofautiana nae sana kwenye mambo mengi hasa jinsi alivyokuwa ana kabiliana na swala la UVIKO 19
View attachment 2188625
sishangai hata swala wamachinga walipishana pia na swala la ufisadi ndo maana sasa hivi unakula kwa urefu wa kamba yako
 
Mama hatukuelewi .songa mbele na mambo yako .hoja za magufuli juu ya korona tulielewa sana kuliko sasa juu ya mafuta. Nauli. Na mengi
 
Mama hatukuelewi .songa mbele na mambo yako .hoja za magufuli juu ya korona tulielewa sana kuliko sasa juu ya mafuta. Nauli. Na mengi
Atengeneze legacy yake. Tutamjaji kwa legacy yake sio kwa legacy ya Magufuli. Magufuli amepita. Amefanya mambo yake.
Yeye afanye ya kwake.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Hivi kuna mtu yeyote alikuwa anauwezo wa kusema hayo unayoyasema?

Labda Lissu tu ndiye aliyejaribu...naww unalijua hilo.
Kama unajijua we ni muoga nafasi na cheo kikubwa kama cha uraisi hakikufai.
Inapaswa uwe jasiri, usiye tetereshwa, uwe mzalendo wa kweli ambae upo tayari kufa kwa ajili ya nchi yako.

Huyu mama hana sifa hizo, huyo anatuuza asubuhi we si unamuona? hawezi mikikimikiki, ni muoga, hana uwezo, wapigaji wamemsoma, wanajichotea mali tu hawamwogopi.

Tazama nchi ilivyo, watu masikini mambo ni magumu, nchi imekosa dira.

Hana sifa za kuwa kiongozi.

Magu was right...
 
Yaani nilitaka uteketeze kila kitu. Mshenzi yule anakebehi COVID. Yaani mi ilinichapa Mungu akaniokoa. Nikapoteza Shangazi zangu wawili na Kaka zangu wawili. Achilia mbali ndugu, Jamaa na marafiki na majirani. Yaani alaaniwe Lucifer Yule aungue Motoni. Ninaamini alikutana na wale waliopotea enzi zake.
Unaandika mafi mafi we kima nenda Kanye ubongo wako umevimbiwa MAFI.
 
Mbona dk Ndungurile alipinga hatua ya kupiga nyungu adharani,hakupigwa risasi, sanasana alitumbuliwa, lakini mwisho akapewa wizara nyingine
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Kama kweli walitofautiana lakini akashindwa kusimamia alichokiamini mpaka mwisho basi hakuwa na msimamo.

Sikuwahi kumuona Samia akiwa amevaa barakoa wakati wa Magufuli, mtu pekee niliyemuona amevaa barakoa alikuwa ni Kikwete pekee, au kama, yupo aliyemuona Samia kuvaa barakoa wakati ule hata anioneshe picha na Magufuli akionekana.

Inawezekana Samia aliogopa kitumbua chake kisiingie mchanga akawa tayari kuweka reheni afya yake.
Wanasiasa wetu ni shida
 
Back
Top Bottom