mozambiqueone
JF-Expert Member
- Sep 8, 2014
- 232
- 119
Pole saana, unaishi lakini akili imekufaYeah
Watu wanajipigia tu
Magufuli hana tofauti na, mume mwenye mke pisi kali
Anambana mkewe, anamwonea wivu kama wote,hataki aongee na wanaume wengine na hayuko. Tayari kuona anashare utamu na wana wa kitaa
Ila siku akifa, mkewe watu wanajinyofolea tu