Hakika ni suala la mda tu! Kwanza pale CCM sioni mtu yeyotemchapakazi na makini kwa sasa! Wengi ni mchwa tuCCM mliponea chupu enzi za JK lakini kwa mwendo huu sijui mtapona vipi! Litakuja wimbi ambalo hamtaweza kuli manage.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika ni suala la mda tu! Kwanza pale CCM sioni mtu yeyotemchapakazi na makini kwa sasa! Wengi ni mchwa tuCCM mliponea chupu enzi za JK lakini kwa mwendo huu sijui mtapona vipi! Litakuja wimbi ambalo hamtaweza kuli manage.
Ikiwa tunaamini kila kitu anadanganywa, hata akienda huko bandari atadanganywa tu.Samia hata akijitahidi kuonesha hataki utani hafananii na kiongozi alie serious, na vile nina wasiwasi nae anaweza kwenda huko bandarini kukagua halafu wajanja bado wakaiba akiwepo, huyu Rais wetu kwakweli sijui namuonaje...
Udadisi kama kuuliza maswali juu ya taratibu mbalimbali ya huko bandarini sijui kama anao uwezo, naona anasubiri wasaidizi wake wamjuze wakati hao wasaidizi ndio wapigaji wenyewe.
Umeongea kitu kikubwa sana, shida sio ukali na shida sio upole.Haya nilitegema kabisa. Unajua Magufuli alikuwa mkali lakini hakuwa anatumia elimu na sayansi kwenye kuongoza. Matokeo yake ni kuwa watu walikuwa wanamwogopa mtu mmoja na siyo kuwajibika kwa sababu ya mfumo ulio mzuri. Kiongozi wa namna hii akiondoka ni lazima anaacha ombwe kubwa la uongozi, na watu wanaona kama wamepewa nafasi ya kupumua.
Hapo kwenye udadisi ndio ninamashaka makubwa sana.Samia hata akijitahidi kuonesha hataki utani hafananii na kiongozi alie serious, na vile nina wasiwasi nae anaweza kwenda huko bandarini kukagua halafu wajanja bado wakaiba akiwepo, huyu Rais wetu kwakweli sijui namuonaje...
Udadisi kama kuuliza maswali juu ya taratibu mbalimbali ya huko bandarini sijui kama anao uwezo, naona anasubiri wasaidizi wake wamjuze wakati hao wasaidizi ndio wapigaji wenyewe.
Yaani rais ajue taratibu za kila kitengo kila sekta nchini,asitegemee wasaidizi,unafikiri sawasawa!?Samia hata akijitahidi kuonesha hataki utani hafananii na kiongozi alie serious, na vile nina wasiwasi nae anaweza kwenda huko bandarini kukagua halafu wajanja bado wakaiba akiwepo, huyu Rais wetu kwakweli sijui namuonaje...
Udadisi kama kuuliza maswali juu ya taratibu mbalimbali ya huko bandarini sijui kama anao uwezo, naona anasubiri wasaidizi wake wamjuze wakati hao wasaidizi ndio wapigaji wenyewe.
Umemjibu vizuri sana, natumaini atakuwa amekuelewa vyema kabisa.Wewe ni kama umechanganyikiwa tu au una utapiamlo wa akili.
Unahitaji PhD kujua kuwa Rais ambae anahamasisha ufisadi katika Serikali yake hawezi tena wakati huohuo kupambana na ufisadi huo?
Yaani unataka Rais ahamasishe ufisadi na kupambana na ufisadi huo kwa wakati mmoja?WTF?!
View attachment 2145904
Nchi "inafunguliwa", sasa unataka nini wewe. Kwani CCM imekufa?Mtanikumbuka!
CCM mliponea chupu enzi za JK lakini kwa mwendo huu sijui mtapona vipi! Litakuja wimbi ambalo hamtaweza kuli manage.
[emoji437][emoji436]Just thinking aloud: unaweza kuwa mpango wa kuaminisha watu kuwa bandari ya Dar imeelemewa hivyo solution ni kujengwa bandari ya Bagamoyo. Tutafakari: Thread kama hizi zinazoweza kufuatiliwa na matamko kutoka kwa viongozi kuwa ''hata kwenye mitandao kelele zinapigwa kuwa bandari ya Dar imeshindwa kuhimili msongamano hivyo bila bandari ya Bagamoyo ni bure''
Ila ilisaidia kwa namna flaniHaya nilitegema kabisa. Unajua Magufuli alikuwa mkali lakini hakuwa anatumia elimu na sayansi kwenye kuongoza. Matokeo yake ni kuwa watu walikuwa wanamwogopa mtu mmoja na siyo kuwajibika kwa sababu ya mfumo ulio mzuri. Kiongozi wa namna hii akiondoka ni lazima anaacha ombwe kubwa la uongozi, na watu wanaona kama wamepewa nafasi ya kupumua.
Ni wiki kadhaa zilizopita viongozi wa Bandari walikuwa Zambia waki'promote' nchi hiyo itumie bandari yao; hivyo hivyo taarifa zimechapishwa magazetini Uganda wakihimizwa kutumia bandari ya Dar.Meli za kutoka Dubai kuja DSM huchukua siku 14, Mzigo ukifika Dar Es Salaam bandarini utakaa siku hata 20-28 ukisubiri kupakuliwa.
Meli ikitoka UK au China itatumia siku 28-30 kufika Dar, Mzigo ukifika hapo Bandarini unachukua siku 20-28 zingine kupakuliwa.
Gharama za Usafiri imebidi SHIPLINERS waziongeze kufidia muda mrefu wa kusubiri hapo Bandarini.
Sasa hivi Wafanyabiashara kutoka CONGO DR, RWANDA, MALAWI, ZAMBIA, UGANDA wameanza kukimbilia Bandari ya Mombasa kupitisha mizigo yao.
Mheshimiwa Rais Samia, ukicheka na nyani utavuna Mabua., wananchi vitu vitazidi kupanda bei bila sababu yoyote ya maana.
Nimekuwekea na VIDEO uisikilize kama ushahidi mwingine.
KAZI IENDELEE
Wakenya njooni. Nyinyi mna mitaji, sisi hatuna mitaji.Sisi na Kenya ni marafiki tulikwenda huko tukasaini mikataba kadhaa.