Rais Samia, imulike Bandari ya Dar nchi inahujumiwa, kaweke Kambi pale Bandarini

Rais Samia, imulike Bandari ya Dar nchi inahujumiwa, kaweke Kambi pale Bandarini

Ukweli tuliokua tunampinga Magufuli sasa ni kama tunaona aibu tu; mambo mengi kwasasa yapo yapo tu, maadamu kunakucha! Bandari, umeme, maji, ajali barabarani, vibaka is almost vyote vimerudi kama zamani. JPM alikua mwamba, wabishi wote wanaongelea mdomoni tu but mioyoni mwao wanamkubali!
I hope mmejifunza binadamu sio malaika kupatia kila kitu na tena sio shetani kukosea kila kitu. Mtakuwa mmejifunza kukosoa makosa na kusifia mazuri.
 
k
Samia hata akijitahidi kuonesha hataki utani hafananii na kiongozi alie serious, na vile nina wasiwasi nae anaweza kwenda huko bandarini kukagua halafu wajanja bado wakaiba akiwepo, huyu Rais wetu kwakweli sijui namuonaje...
kuwa kiongozi aliye serious anatakiwa kuwaje?
 
Huo ni mfupa uliomshinda fisi, kuna uozo mmbaya sana.
Kuna uozo lakini hakuna anaekuja na suluhisho.Hiyo bandari imezidiwa kwa hiyo lazima ikaribishe inefficiency ambayo ndio chanzo cha dili.Lakini pamoja na yote haya bado bandari ya Dar makusanyo yanaongezeka kila mwaka.
 
Haya mambo ya WIZI,Rushwa,upendeleo,uvivu,unafiki na ujanja ujanja yanaendelea Kuota mizizi huitaji miwani kuona hizi dalili.
Kwani ni lini yaliisha? huoni hata huko kwenye vyama vyenu ni hivyo hivyo kupeana vyeo na upendeleo
 
Wewe ni kama umechanganyikiwa tu au una utapiamlo wa akili.

Unahitaji PhD kujua kuwa Rais ambae anahamasisha ufisadi katika Serikali yake hawezi tena wakati huohuo kupambana na ufisadi huo?

Yaani unataka Rais ahamasishe ufisadi na kupambana na ufisadi huo kwa wakati mmoja?WTF?!
View attachment 2145904
Mma huyu hpn kwa kweli Bora mwNamke mwingine ila siyo huyu
 
Hajapatikana kiongozi anayetumia akili tu. Hakuna kitu kinachoshindikana pale. Magufuli alikuwa anaongoza kwa style za zamani sana. Ni lazima angeshindwa. Samia yeye ni kama Kikwete. Bora liende. Nakuapia akipatikana kiongozi mzuri akija na mikakati ya kisayansi pale kila kitu kinanyooka.


Kweli kabisa!
 
Tatizo ni siasa za nchi hii zinatukwamisha…hv kwanini watanzania tusikabidhi jeshi lituongoze kwa miaka 20….hawa jamaa wamepitia mikiki mingi jeshini wana uzalendo wakupindukia hawana tamaa km za wanasiasa…halafu Putin awe baba wetu wa kiroho
Jeshi tutawekewa vikwazo vingi hpn wanajeshi Ni ccm pia rais Ni lzm kuwa dictator tu Africa mambo yataenda ila haya mambo ya kura kura na kubembelezana haiwezekani
 
Pale hata akiweka kambi, lazima watamzunguka tu, tena watapita mbele yake huku wakisema mama kazi na iendeleee - achana na kitu kinaitwa Tanzania sheikh.
 
Mikakati ya kisayansi ambayo wew mwenyewe umeshindwa kuitwja ni ipi wew unadhani mpaka mtu anacheze scaner na mifumo ya TPA kuna sayansi tena au ni kufukuzana tu
Nimeshindwa kuitaja, mimi ni consultant wa bandari? Kuchezea scanner na mifumo ndiyo mwisho wa sayansi? Anyways, mambo mengine siyo kila mtu ana uwezo wa kuyaelewa.
 
Kasimu yupo yupo tu na matamko yasiyokuwa na tija was matokeo chanya
 
Behaviourist UTAKUWA NA MATATIZO YA AKILI
Kati ya huyu mtu ambae ni kiongozi wa nchi ambae anahamasisha ufisadi waziwazi katika Taifa tena kupitia TV ya Taifa,wewe ambae unamuunga mkono na mimi ambae napinga kampeni ya ufisadi wake waziwazi ni nani mwenye matatizo ya akili?
 
Mkuu kwa Bandari nadhani hata angekuja kutawala nani! Pale ni pagumu.

Kama kwa Mwendazake ambaye alikuwa mkali na akamweka mtu wa karibu yake aliyekuwa mkali lakini upigaji ulikuwa palepale sembuse Mama?
Matatizo ya bandari yalianza wakati wa Waziri Mwakyembe alpoamua kuvunja Bodi na Management yote. Kakoko akateuliwa CEO lakini nafasi nyingine zote zikajazwa kwa njia ya :"Head Hunting". Pamoja na uzuri wa HH lakini ni njia ambayo ni rahisi kutumiwa vibaya.
Wangetumia njia ya kawaida tu( competetive interviews) kupata Management ambayo ina watu wenye weledi na uzoefu kwenye sekta ya bandari kuliko kwa mfano unamtoa mtu ambaye ni mtaalamu wa barabara aende kuwa mtaalamu wa port operations. Na watu hao wapo.
 
Mkuu kwa Bandari nadhani hata angekuja kutawala nani! Pale ni pagumu.

Kama kwa Mwendazake ambaye alikuwa mkali na akamweka mtu wa karibu yake aliyekuwa mkali lakini upigaji ulikuwa palepale sembuse Mama?
Upigaji ulikuwepo lakini kazi ilifanyika
 
Back
Top Bottom