Rais Samia, imulike Bandari ya Dar nchi inahujumiwa, kaweke Kambi pale Bandarini

Rais Samia, imulike Bandari ya Dar nchi inahujumiwa, kaweke Kambi pale Bandarini

Meli za kutoka Dubai kuja DSM huchukua siku 14, Mzigo ukifika Dar Es Salaam bandarini utakaa siku hata 20-28 ukisubiri kupakuliwa.

Meli ikitoka UK au China itatumia siku 28-30 kufika Dar, Mzigo ukifika hapo Bandarini unachukua siku 20-28 zingine kupakuliwa.

Gharama za Usafiri imebidi SHIPLINERS waziongeze kufidia muda mrefu wa kusubiri hapo Bandarini.

Sasa hivi Wafanyabiashara kutoka CONGO DR, RWANDA, MALAWI, ZAMBIA, UGANDA wameanza kukimbilia Bandari ya Mombasa kupitisha mizigo yao.

Mheshimiwa Rais Samia, ukicheka na nyani utavuna Mabua., wananchi vitu vitazidi kupanda bei bila sababu yoyote ya maana.

Nimekuwekea na VIDEO uisikilize kama ushahidi mwingine.

KAZI IENDELEE
Technologia ndiyo driver wa Maisha ya Mwanadamu kwa sasa.

Sidhani kama kuna mtu anapenda kuacha kupakua Mzigo kwa Sababu tu anataka kula..

Technology iliyoko siyo Shindani.

Na Ndiyo maana Mh Rais alitoa angalizo la kuwekeza kwenye Bandari ya Bagamoyo.

Uwezo wa Bandari ya Dar ni mdongo...

Technology zilizoko pale...ni dhaifu....

Let's review our Policies in favour of addressing our Economic Growth Issues.
 
Kazi ya Waziri Mkuu na mawaziri wake wengine, pamoja na wasaidizi wengine ni nini sasa kama Rais anatakiwa akaweke kambi bandarini? Ataweka kambi sehemu ngapi? Wamepewa nguvu na mamlaka yote kushughulikia matatizo ya jamii, sasa sijui wana matatizo gani. Kuongoza hizi nchi za dunia ya 3 ni shida sana
 
Tatizo ni siasa za nchi hii zinatukwamisha…hv kwanini watanzania tusikabidhi jeshi lituongoze kwa miaka 20….hawa jamaa wamepitia mikiki mingi jeshini wana uzalendo wakupindukia hawana tamaa km za wanasiasa…halafu Putin awe baba wetu wa kiroho
Jeshi hili hili la Mabeyo?
 
Bandarini hapo yupo Eric Hamisi,bosi wa PTA kijana huyu aliwahi kusifiwa sana na both samia & Jpm kwa wakt tofaut kulikoni tena..
 
Samia ana option mbili tu ili mambo yamnyokee kwny utawala wake..mosi, abadilike awe one-man-show kama mtangulizi wake.. AU, abaki alivyo lakini amuinue waziri mkuu au waziri mwny dhamana, ampe nguvu KUBWA beyond iliyopo, na asiwe na wivu nae endapo mteule wake atajizolea umaarifu kutokana na kuleta matokeo chanya
 
Meli za kutoka Dubai kuja DSM huchukua siku 14, Mzigo ukifika Dar Es Salaam bandarini utakaa siku hata 20-28 ukisubiri kupakuliwa.

Meli ikitoka UK au China itatumia siku 28-30 kufika Dar, Mzigo ukifika hapo Bandarini unachukua siku 20-28 zingine kupakuliwa.

Gharama za Usafiri imebidi SHIPLINERS waziongeze kufidia muda mrefu wa kusubiri hapo Bandarini.

Sasa hivi Wafanyabiashara kutoka CONGO DR, RWANDA, MALAWI, ZAMBIA, UGANDA wameanza kukimbilia Bandari ya Mombasa kupitisha mizigo yao.

Mheshimiwa Rais Samia, ukicheka na nyani utavuna Mabua., wananchi vitu vitazidi kupanda bei bila sababu yoyote ya maana.

Nimekuwekea na VIDEO uisikilize kama ushahidi mwingine.

KAZI IENDELEE
Bandari ya Dar ni finyu na imeshaishiwa uwezo wa kuhudumia kwa viwango vya ushindani wa sasa.

Mkiambiwa ijengwe Bandari mpya ya Bagamoyo ili kutatua changamoto ya ufinyu na msongamano kwenye Bandari ya Dar mnaleta siasa na uzandiki wenu.

Watanzania wengi mmerogwa akili zenu na mbaya zaidi hamjui kuwa mmerogwa akili zenu!
 
Meli za kutoka Dubai kuja DSM huchukua siku 14, Mzigo ukifika Dar Es Salaam bandarini utakaa siku hata 20-28 ukisubiri kupakuliwa.

Meli ikitoka UK au China itatumia siku 28-30 kufika Dar, Mzigo ukifika hapo Bandarini unachukua siku 20-28 zingine kupakuliwa.

Gharama za Usafiri imebidi SHIPLINERS waziongeze kufidia muda mrefu wa kusubiri hapo Bandarini.

Sasa hivi Wafanyabiashara kutoka CONGO DR, RWANDA, MALAWI, ZAMBIA, UGANDA wameanza kukimbilia Bandari ya Mombasa kupitisha mizigo yao.

Mheshimiwa Rais Samia, ukicheka na nyani utavuna Mabua., wananchi vitu vitazidi kupanda bei bila sababu yoyote ya maana.

Nimekuwekea na VIDEO uisikilize kama ushahidi mwingine.

KAZI IENDELEE
Shida huwa ni nini? Mara siku zipungue mara ziongezeke, tatizo ni nini hapa Tzn?
 
Samia ana option mbili tu ili mambo yamnyokee kwny utawala wake..mosi, abadilike awe one-man-show kama mtangulizi wake.. AU, abaki alivyo lakini amuinue waziri mkuu au waziri mwny dhamana, ampe nguvu KUBWA beyond iliyopo, na asiwe na wivu nae endapo mteule wake atajizolea umaarifu kutokana na kuleta matokeo chanya
Tatizo Bandari ya Dar sio one man show! Tatizo la Bandari ya Dar ni kuwa imekuwa finyu kuhudumia wateja kwenye viwango vya kisasa!

Wanafanya kazi masaa 24 alafu bado meli zinakaa kusubiri hadi siku 20-28. Je wangekuwa wanafanya kazi masaa 12 hali ingekuwaje

Tuna berth chache sana kwenye Bandari ya Dar compared na Bandari ya Mombasa na wenzetu wamejenga tena Bandari ya Lamu yenye Berth nyingi zaidi! Sie huku Serikali ikitaka kujenga Bandari ya Bagamoyo yenye Beth nyingi zaidi mnaleta siasa na ujinga wenu eti Bandari ya Dar inatosha na iongezwe wakati imeshafikia ukomo wake na haiwezi kupanuliwa tena!

Sasa Barabara ya Mandela kuingia Bandarini kuna foleni ya kufa mtu ya maloli na yanakaa siku nyingi kusubiri mizigo, huko baharini ndo usiseme meli zinakaa siku nyingi kusubiri tu kupakua mizigo alafu mijitu badala ya kuongelea kujengwa Bandari nyingine tunaongelea tu Bandari ya Dar ambayo imeshazidiwa uwezo
 
Mkuu kwa Bandari nadhani hata angekuja kutawala nani! Pale ni pagumu.
Kama kwa Mwendazake ambaye alikuwa mkali na akamweka mtu wa karibu yake aliyekuwa mkali lakini upigaji ulikuwa palepale sembuse Mama?
Upigaji hauwezi kuisha ila wapunguze kusubirisha Ili bandari isikose mizigo kwa kukimbiwa na wafanyabiashara.

Ndio maana mimi napenda Bandari Bagamoyo ijengwe na iwe operated na private sector Tuchukue Kodi tuu.
 
Tatizo Bandari ya Dar sio one man show! Tatizo la Bandari ya Dar ni kuwa imekuwa finyu kuhudumia wateja kwenye viwango vya kisasa!

Wanafanya kazi masaa 24 alafu bado meli zinakaa kusubiri hadi siku 20-28. Je wangekuwa wanafanya kazi masaa 12 hali ingekuwaje

Tuna berth chache sana kwenye Bandari ya Dar compared na Bandari ya Mombasa na we yetu wamejenga tena Bandari ya Lamu yenye Berth nyingi zaidi! Sie huku Serikali ikitaka kujenga Bandari ya Bagamoyo yenye Beth nyingi zaidi mnaleta siasa na ujinga wenu eti Bandari ya Dar inatosha na iongezwe wakati imeshafikia ukomo wake na haiwezi kupanuliwa tena!

Sasa Barabara ya Mandela kuingia Bandarini kuna foleni ya kufa mtu ya maloli na yanakaa siku nyingi kusubiri mizigo, huko baharini ndo usiseme meli zinakaa siku nyingi kusubiri tu kupakua mizigo alafu mijitu badala ya kuongelea kujengwa Bandari nyingine tunaongelea tu Bandari ya Dar ambayo imeshazidiwa uwezo
Bora Bandari ya Bagamoyo ijengwe,hizo terms huwa hawakubaliani tuu? Serikali itafute core investor itoe mpunga na huyo atoe mpunga ujenzi uanze,ndaninya miaka 5 imalizike,siasa za kijinga hazisaidii.

Ikumbukwe uchumu.unakua na volume ya trade ya ndani na nje inaongezeka bila bandari kubwa kutakuwa na inefficiency.
 
Bora Bandari ya Bagamoyo ijengwe,hizo terms huwa hawakubaliani tuu? Serikali itafute core investor itoe mpunga na huyo atoe mpunga ujenzi uanze,ndaninya miaka 5 imalizike,siasa za kijinga hazisaidii.

Ikumbukwe uchumu.unakua na volume ya trade ya ndani na nje inaongezeka bila bandari kubwa kutakuwa na inefficiency.
Na Hii ndo solution sahihi na bora kuhusu suala la Bandari hapa Tanzania.

Bagamoyo ipo Pwani na Karibu na Dar pia ambapo ndo kuna njia ya kuelekea mikoa yote Tanzania ikiwemo mikoa inayopakana na nchi jirani.

Bagamoyo Pia ni rahisi kuiunganisha na miundombinu na reli ya SGR kwa sababu ni jirani na Dar ambapo miundombinu iyo ipo karibu.

Kujengwa kwa Bandari ya Bagamoyo ambayo ingekuwa na beth nyingi zaidi kungewezesha kuhudumia meli nyingi zaidi kwa wakati mmoja ingesaidia sana kuleta sio tu ufanisi kwenye masuala ya Bandari bali kulifanya jiji la Dar kupumua dhidi ya msongamano mkubwa wa Malori
 
Samia ana option mbili tu ili mambo yamnyokee kwny utawala wake..mosi, abadilike awe one-man-show kama mtangulizi wake.. AU, abaki alivyo lakini amuinue waziri mkuu au waziri mwny dhamana, ampe nguvu KUBWA beyond iliyopo, na asiwe na wivu nae endapo mteule wake atajizolea umaarifu kutokana na kuleta matokeo chanya
Huu ni ujinga wa Karne, option ni kwamba akijiridhisha fukuza mtu na pandisha kizimbani hakuna cha one man show.

One man show watu wamepiga Sana tena walikuwa wanaogopwa kwa kuambiwa ni nyoka wa Mwendazake hakuna wa kumgusa, hukumbuki akina makonda kutambia PM and the likes.

Hukumbuki ma DED wanapiga pesa kule kahama ,dar na nk na ukiwagusa Rais anawafudisha.

Huku niliko miradi imepigwa pesa na haikumalizika na watu wa Mwendazake.

Hujasikia Bwawa la umeme limejengwa chini ya kiwango na watu wa Magufuli? Hivyo hivyo ile barabara ya njia 8 ya Kibaha highway ililipuriwa watu wakafumua upya alivyokuja mbarawa.

Yule mpuuzi ndio alikuwa hovyo kabisa ila wajinga kama wewe ndio mliona sijui mambo yanaenda kwa maigizo na makelele ya kusifia.

Si bora saizi taarifa zinatoka na hivyo ni wajibu wa serikali kuchukua hatua.
 
Haya mambo ya WIZI,Rushwa,upendeleo,uvivu,unafiki na ujanja ujanja yanaendelea Kuota mizizi huitaji miwani kuona hizi dalili.
 
Meli za kutoka Dubai kuja DSM huchukua siku 14, Mzigo ukifika Dar Es Salaam bandarini utakaa siku hata 20-28 ukisubiri kupakuliwa.

Meli ikitoka UK au China itatumia siku 28-30 kufika Dar, Mzigo ukifika hapo Bandarini unachukua siku 20-28 zingine kupakuliwa.

Gharama za Usafiri imebidi SHIPLINERS waziongeze kufidia muda mrefu wa kusubiri hapo Bandarini.

Sasa hivi Wafanyabiashara kutoka CONGO DR, RWANDA, MALAWI, ZAMBIA, UGANDA wameanza kukimbilia Bandari ya Mombasa kupitisha mizigo yao.

Mheshimiwa Rais Samia, ukicheka na nyani utavuna Mabua., wananchi vitu vitazidi kupanda bei bila sababu yoyote ya maana.

Nimekuwekea na VIDEO uisikilize kama ushahidi mwingine.

KAZI IENDELEE
Nadhani ndio maana ni muhimu sana kujenga bandari Bagamoyo kuwa privatized ili kulete ufanisi haya mambo ya kumilikiwa na Serikali hakuna faida Magu na ukali wake na kuogopwa pale palimshinda. Hii Bandari ni janga la taifa kuendelea na hawa wafanyakazi wa kuteuliwa ni bure hakuna kitu kwenye ardhi wamekiacha salama. Ni wakato wa Serikali kuacha kufanya biashara wakusanye kodi tu sio zaidi.
 
Back
Top Bottom