Rais Samia, imulike Bandari ya Dar nchi inahujumiwa, kaweke Kambi pale Bandarini

Dawa ipo jikoni inachemka. Kaeni mkao wa kula dawa.
 
Nimekuelewa sana...
Nilikuwa sijafikiria hiki kitu,umenifungua.!
 
Rais huyu huyu Chifu Hangaya au ni yupi? Kama ni Hangaya alishabariki wizi wa watumishi wa Serikali,hakuna jipya
 
Hakuna Rais hapa.
 
Mama hataki makuu, anajiandaa na kusheherekea mwaka mmoja wa kuongoza watanzania 'hoehae'
 
Ukweli tuliokua tunampinga Magufuli sasa ni kama tunaona aibu tu; mambo mengi kwasasa yapo yapo tu, maadamu kunakucha! Bandari, umeme, maji, ajali barabarani, vibaka is almost vyote vimerudi kama zamani. JPM alikua mwamba, wabishi wote wanaongelea mdomoni tu but mioyoni mwao wanamkubali!
 
Maboresho kadhaa yamefanyika lakini bado wanahitaji kufanya investment zaidi hasa katika masuala ya kupakua mizigo kwa wakati , hii itasaidia efficiency katika utendaji wa kazi wa Bandari, nakumbuka Kagame alishawahi kusema akipewa hiyo bandari hata fanya kazi nyingine yoyote na ataendesha nchi kwa mapato yatokanayo na Bandari. Cha msingi baada ya kulalamika washauriwe jinsi ya kuboresha maana tukiwa watu wakutupa lawama tuuu bila ku suggest solutions itakua kama tunapiga blah blah tu. Kadhalika tungepanua capacity ya Mtwara na Tanga tusingekua na malalamiko ya ucheleweshaji wa mizigo ya wateja. Korea wenzetu wamefanikiwa sana kuna mambo mengi ya kujifunza kutoka kwao hasa masuala ya port and cargo management
 
Watanzania tutatoka tulipo mwaka tutaojielewa tunataka nini!
Nakumbuka wakati wa JK watu walisema mpole anacheka cheka tuu ... tupate dictator tena kwa kutolea mfano wa Rwanda PK ....
Mungu akasikia kilio akawapa JPM ... bado mkalalamika.... mmeletewa mpole 😂
Mnalalamika 😂
Nyie mnataka nini?
Chagueni moja hamuwezi kuwa na vyote... you can not eat your cake and still have it ... moto Au baridi? Uvugu vugu ni unafiki 🤣
 
Mkuu kwa Bandari nadhani hata angekuja kutawala nani! Pale ni pagumu.
Kama kwa Mwendazake ambaye alikuwa mkali na akamweka mtu wa karibu yake aliyekuwa mkali lakini upigaji ulikuwa palepale sembuse Mama?

Pale unamsingizia tu mwenda zake mbona mambo yalinyooka sana pale vitendo vya watu kugawana manoti kwanye buti za gari mbona vikoma . Hivi sasa naina mambo yameshaarudi kwq kasi na hao ndo wanampamba mama na kumtukuza kuww ameifungua nchi mara anaupiga mwingi
 
Iyo bandari ni jipu sana hopeless kabisa Hapo wafanya kazi wengi wa hapo amna kitu kichwani
 
Kagame alituambia kwamba tumpe Bandari ya DSM tu ataiendesha Tanzania na kisha hela inayobakia tusimuulize - tukagoma.
 

Mikakati ya kisayansi ambayo wew mwenyewe umeshindwa kuitwja ni ipi wew unadhani mpaka mtu anacheze scaner na mifumo ya TPA kuna sayansi tena au ni kufukuzana tu
 
Mkuu kwa Bandari nadhani hata angekuja kutawala nani! Pale ni pagumu.
Kama kwa Mwendazake ambaye alikuwa mkali na akamweka mtu wa karibu yake aliyekuwa mkali lakini upigaji ulikuwa palepale sembuse Mama?
Pale sio pagumu hata kuna washenzi wachache wanaiharibu Ile bandari mm nimeshaongea wee na wakuu mpaka nimechoka pale ni pakiwaki Sana kuna ushenzi mwingi mno nimefanya KAZI pale miaka mi 2 nimesoma ushenzi mwingi mno mpaka nimeamishwa nao nipo songea we fikiria mbona TICTS wako vzr kwann TPA kuna shida Sana ni PA kishenzi hujuma nyingi mno Yani wanamlolongo mkubwa usio na maana yeyote wateja kila siku Wanalalamika rushwa kila sehemu. Kuanzia walinzi mpaka ma ofisa wai ni rushwa tuu Ile bandari ni ya ajabu mno....
 
Umeongea kitu kikubwa sana, shida sio ukali na shida sio upole.
Hapondio balaa lilipo, na bahati mbaya wa kutumia akili ili mambo yaende hayupo

Hiyo akili umeishindwa kuitumia wew nacviongozi wote waliopita wote hawakuwa na akili ila wew ndo unaakili . Mtu anaharibu scsnner unataka utumie saicence ip tena bwashee kama dawa sio kufukuza tu
 
Mtanikumbuka!
hata wakati wake watu walikula sanaaa tu, sema walikuwa ni wachache kula kwa mduara wao, of course sasa hivi kinacho determine ni urefu wa kamba yako.

Hapa ndipo watanzania mtaelewa kwamba M0 Energy na mishikaki ni mlo wa usiku.
 
Hayayoye yasemwayo kama nikweli kwamba vituvyoye vinaishia - FYAPANDOMO basi tumekwisha!!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…