Rais Samia: Inashangaza kifo cha Kibao kimeibua wimbi kubwa, hii sio sawa, kifo ni kifo

Rais Samia: Inashangaza kifo cha Kibao kimeibua wimbi kubwa, hii sio sawa, kifo ni kifo

CCM muwe mnaangalia uwezo kiakili was mtu kabla ya kupewa uongozi!!

Kibao alikua mwana intelejensia mstaafu wa jeshi sio mgombea was urais kama trump!

Hivi mama yangu Samiah anajia gharama ya kumtengeneza intelligence mmoja kwenye taifa na madhara ya kumpoteza Tena kizembe vile bila taarifa za kueleweka yaani anatupwa TU kama mzoga wa mnyama!!?

Tuache kutumia uswahiba kwenye teuzi bali uwezo!!

Hiyo ni moja kati ya remark ya hovyo sana Toka kwa namba moja!
 
CCM muwe mnaangalia uwezo kiakili was mtu kabla ya kupewa uongozi!!

Kibao alikua mwana intelejensia mstaafu wa jeshi sio mgombea was urais kama trump!

Hivi mama yangu Samiah anajia gharama ya kumtengeneza intelligence mmoja kwenye taifa na madhara ya kumpoteza Tena kizembe vile bila taarifa za kueleweka yaani anatupwa TU kama mzoga wa mnyama!!?

Tuache kutumia uswahiba kwenye teuzi bali uwezo!!

Hiyo ni moja kati ya remark ya hovyo sana Toka kwa namba moja!
 
CCM muwe mnaangalia uwezo kiakili was mtu kabla ya kupewa uongozi!!

Kibao alikua mwana intelejensia mstaafu wa jeshi sio mgombea was urais kama trump!

Hivi mama yangu Samiah anajia gharama ya kumtengeneza intelligence mmoja kwenye taifa na madhara ya kumpoteza Tena kizembe vile bila taarifa za kueleweka yaani anatupwa TU kama mzoga wa mnyama!!?

Tuache kutumia uswahiba kwenye teuzi bali uwezo!!

Hiyo ni moja kati ya remark ya hovyo sana Toka kwa namba moja!
 
Hivi familia ya Ali Kibao inayachukulia namna gani maneno kama haya? Baba ambaye ndio bread-winner, anauawa kikatili namna hiyo halafu mtu anasema kifo ni kifo tu! Kijeli za aina hii ziliwahi kuangusha falme: Aulize historia ya Ufaransa: Marie Antoinette aliangusha ufalme wake kwa kijeli akisababisha mapinduzi ya Ufaransa.
 
Back
Top Bottom