Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama jimbo la Taxas la USA linaanda kura ya maoni kujitenga na US mwaka 2023 kwanini, Zanzibar uikataza, muache uoga wa mabadiliko.Kuna kila dalili Zanzibar ikajitenga na kuwa nchi kamili kwa maslahi ya Viongozi wetu wa awamu hii.
Ni zaidi ya hatari endapo Zanzibar itaruhusiwa kuwa na mamlaka kamili kwa usalama wa Tanganyika!
Na hapa nisipepese macho NAONA KILA DALILI RAIS WETU WA SASA ANATAKA ZANZIBAR IWE NCHI HURU.
Kwenu Tiss.
Ashakuwa rais mkuu. Labda useme anarisk nafasi ya kuendelea kuwa rais. Lkn unatumia kigezo gani kubashiri hayo? Usiishi kwa historia.Akifanya hivyo automatically ana risk nafasi yake ya kuwa Rais.
Ni hatari ipi hiyo mbona hauisemi?Kuna kila dalili Zanzibar ikajitenga na kuwa nchi kamili kwa maslahi ya Viongozi wetu wa awamu hii.
Ni zaidi ya hatari endapo Zanzibar itaruhusiwa kuwa na mamlaka kamili kwa usalama wa Tanganyika!
Na hapa nisipepese macho NAONA KILA DALILI RAIS WETU WA SASA ANATAKA ZANZIBAR IWE NCHI HURU.
Kwenu Tiss.
Ukiipa mamlaka Zanzibar hutakwepa kuipa mamlaka Tanganyika.Ashakuwa rais mkuu. Labda useme anarisk nafasi ya kuendelea kuwa rais. Lkn unatumia kigezo gani kubashiri hayo? Usiishi kwa historia.
Hakuna watu ama taasisi yenye nguvu ya kumsulubu rais aliyeko madarakani hasa rais wa JMT.
Amewahi kusulubiwa rais wa Zanzibar Aboud Jumbe, lkn kwa JMT haujawahi kutokea na ni ngumu sana kutokea. Wewe unatumia nn kuamini unachoandika?
Utaanguka wewe na mama yako na CHUKI zako mshenz weweKuna kila dalili Zanzibar ikajitenga na kuwa nchi kamili kwa maslahi ya Viongozi wetu wa awamu hii.
Ni zaidi ya hatari endapo Zanzibar itaruhusiwa kuwa na mamlaka kamili kwa usalama wa Tanganyika!
Na hapa nisipepese macho NAONA KILA DALILI RAIS WETU WA SASA ANATAKA ZANZIBAR IWE NCHI HURU.
Kwenu Tiss.
Japo wanasemaga wasiwasi ndio akili lakini huu wasiwasi wa kwamba Tanganyika itakuwa mashakani haiingii akilini !! Tanganyika tumezungukwa na nchi zisizopungua saba na miaka yote tupo salama !! Kwanza Zanzibar na Tanganyika hakuna yeyote anayetaka kujitenga na mwenziwe !!Kuna kila dalili Zanzibar ikajitenga na kuwa nchi kamili kwa maslahi ya Viongozi wetu wa awamu hii.
Ni zaidi ya hatari endapo Zanzibar itaruhusiwa kuwa na mamlaka kamili kwa usalama wa Tanganyika!
Na hapa nisipepese macho NAONA KILA DALILI RAIS WETU WA SASA ANATAKA ZANZIBAR IWE NCHI HURU.
Kwenu Tiss.
Labda maulaji yatapungua! Lakini kwa wananchi wa kawaida hatuoni tatizo lolote hata zingekuwa NNE na moja ya akiba kwetu ni sawa tu !!Kukiwa na serikali tatu kuna tatizo gani?
Kuna kila dalili Zanzibar ikajitenga na kuwa nchi kamili kwa maslahi ya Viongozi wetu wa awamu hii.
Ni zaidi ya hatari endapo Zanzibar itaruhusiwa kuwa na mamlaka kamili kwa usalama wa Tanganyika!
Na hapa nisipepese macho NAONA KILA DALILI RAIS WETU WA SASA ANATAKA ZANZIBAR IWE NCHI HURU.
Kwenu Tiss.
Watu wanataka kuweka serikali nane za majimbo huku Tanganyika pekee wewe unashangaa serikali tatu tu kwa nchi mbili !!Tatizo hulioni? Ukiiondoa “Tanganyika” na ikasimama yenyewe, Rais wa Muungano wa “Tanzania” atabaki anahanghang tu. Nyerere hakuwa fala.
Harafu kwanini tujipe mzigo wa kuwa na Serikali ya tatu isiyokuwa ardhi wala tija?
Wacheni kukariri UJINGA Hivi Nchi zote duniani zili survive Kwa sababu za Miungano oongeeni Kwa mifano km Nchi zinzokua hazipo ktk Miungano huwaga hazitawalikiNje ya Muungano, hakuna Zanzibar isipokuwa kuna Unguja na Pemba. Kama wanadhani sumu inaonjwa, wajaribu waone. Haitaisha miaka mitano kabla Tanganyika haijapokea wakimbizi kutoka upande huo!
Sasa hayo si ni mambo yao binafsi mkuu? Wewe mtanganyika inakuhusu nini hilo?Nje ya Muungano, hakuna Zanzibar isipokuwa kuna Unguja na Pemba. Kama wanadhani sumu inaonjwa, wajaribu waone. Haitaisha miaka mitano kabla Tanganyika haijapokea wakimbizi kutoka upande huo!
UTABIRI !!Nje ya Muungano, hakuna Zanzibar isipokuwa kuna Unguja na Pemba. Kama wanadhani sumu inaonjwa, wajaribu waone. Haitaisha miaka mitano kabla Tanganyika haijapokea wakimbizi kutoka upande huo!
Wacheni kukariri UJINGA Hivi Nchi zote duniani zili survive Kwa sababu za Miungano oongeeni Kwa mifano km Nchi zinzokua hazipo ktk Miungano huwaga hazitawaliki
Sasa hayo si ni mambo yao binafsi mkuu? Wewe mtanganyika inakuhusu nini hilo?
Mimi naona wapewe tu hayo mamlaka kamili tukutane East Africa Community. Tunaitaka Tanganyika yetu pia