Rais Samia: Jiji la Dar es Salaam la sita kwa Usafi Afrika. Asema limetoka kwenye vijibanda na vimwamvuli

Rais Samia: Jiji la Dar es Salaam la sita kwa Usafi Afrika. Asema limetoka kwenye vijibanda na vimwamvuli

Yaani uchafu wote ulivyo kwenye viunga vya Dar es salaam unajisifu kuwa in safi?watu wanafika baadhi ya sehemu inawalazimu wazibe pua zao halafu unasikia Mtu anasema in ya 6 kw a usafi kweli?Tuache utani watz.

Sent using Jamii Forums mobile app
Dar anayozungumzia sio huko kwenu Mbagala , Chanika , Tandika , Mburahati na Buguruni.

Inazungumziwa Mbezi Beach, Upanga, Osterbay n.k
 
Duu anamnanga zuzu R.I.P
Sasa yule alikuwa anatafuta cheap popularity at our expenses bila kujali maisha ya wengine na kujenga jamii ya kistaarabu..

Vibanda vya kisasa walivyojengewa machinga kwa sasa vinapendeza..

Ili ku maintain inatakiwa wanaojenga miundombinu ya barabara Kwa sasa mijini waingize concept ya ubinifu Ili ku accommodate machinga.
 
Kwa hiyo hakuwa Makamu wa Rais? Au yeye alikuwa anakula kuku wa Ikulu tu na kodi zetu?
Makamu wa Ras huwa hana maamuzi na kila anachofanya anakuwa anatekeleza maagizo ya Rais aliyeko Madarkani. Acheni kumhusisha SSH na uchafu wa Mwendazake
 
Hamnzo is dead and rotten as we speak 🙊🙊
Sikufichi, wewe akili zako bora za yule mwendazake. Yaani wewe uko tayari kuua hadharani mtu anayeenda kinyume na upendavyo. Kazi ni kupenda kusifia tu unachokipenda hata kama hakuna maana. Nahisi ulijipendekeza kusifia kwa jpm ila akakusagia mbali ndo maana unamchukia sana na sasa uko enzi hiz napo unapiga mapambio sana na usiposikika utajinyonga ( mhehe wewe)
 
Hii kauli yake; "limetoka kwenye vijibanda na vimwamvuli" ni dharau kwa wafanyabiashara wenye mitaji midogo.

Watu walikuwa wanajipatia riziki zao kwenye zile ofisi zao, kumbe kwa Samia ule ulikuwa ni uchafu!.

Anaonekana anataka kufanana na mtangulizi wake kwa kauli za kukera na kuudhi, madaraka yanalevya haraka sana.
Hakuna kiswahili mbadala ule ulikuwa uchafu
 
Hii kauli yake; "limetoka kwenye vijibanda na vimwamvuli" ni dharau kwa wafanyabiashara wenye mitaji midogo.

Watu walikuwa wanajipatia riziki zao kwenye zile ofisi zao, kumbe kwa Samia ule ulikuwa ni uchafu!.

Anaonekana anataka kufanana na mtangulizi wake kwa kauli za kukera na kuudhi, madaraka yanalevya haraka sana.

Ofisi barabarani? Ofisi gani haina sehemu maalum? Acheni upenda unyonge
 
Sikufichi, wewe akili zako bora za yule mwendazake. Yaani wewe uko tayari kuua hadharani mtu anayeenda kinyume na upendavyo. Kazi ni kupenda kusifia tu unachokipenda hata kama hakuna maana. Nahisi ulijipendekeza kusifia kwa jpm ila akakusagia mbali ndo maana unamchukia sana na sasa uko enzi hiz napo unapiga mapambio sana na usiposikika utajinyonga ( mhehe wewe)
Kama kipi nachosifia hakina maana?
 
Watetezi wa umachanga watatokwa povu sana kwa hii kauli.
 
Hii kauli yake; "limetoka kwenye vijibanda na vimwamvuli" ni dharau kwa wafanyabiashara wenye mitaji midogo.

Watu walikuwa wanajipatia riziki zao kwenye zile ofisi zao, kumbe kwa Samia ule ulikuwa ni uchafu!.

Anaonekana anataka kufanana na mtangulizi wake kwa kauli za kukera na kuudhi, madaraka yanalevya haraka sana.
Kwani uwongo vijibanda na vimwamvuli havikuwa vinakera na kuchafua hali
ya jiji? lini nyie watu mtajitambua ...ukute wewe ndio baba na anategemewa ndio think tank ya familia pyuuu.
 
Jiji safi la 6 unasifu, kuingia uchumi wa kati unaponda.
Kwa hiyo Samia ndio kaandika hiyo article ?

Kwani hajaondoa mabanda ya machinga barabarani waliokuwa wamewekwa na Mwendazake?

Hakina maana kwa mujibu wako au nani? Rotten mind
 
Kwa hiyo Samia ndio kaandika hiyo article ?

Kwani hajaondoa mabanda ya machinga barabarani waliokuwa wamewekwa na Mwendazake?

Hakina maana kwa mujibu wako au nani? Rotten mind
Kati ya jiji kuwa la 6 kwa usafi na nchi kuwa katka uchumi wa kati lipi linastahili sifa kwa maslahi ya nchi? Uchafu tafsiri yake ni vibanda vya machinga? Mbona watu wanasema uchafu umezagaa kila mahali? Au usafi ni kwenye barabara kuu kutoonekana wamachinga ila wakiwa barabara zingne ni usafi?
 
Kwa hiyo Samia ndio kaandika hiyo article ?

Kwani hajaondoa mabanda ya machinga barabarani waliokuwa wamewekwa na Mwendazake?

Hakina maana kwa mujibu wako au nani? Rotten mind
Ila mwaka jana may kabla hata machinga hawajaondolewa pia Dar ilikua nafasi ya 6. Hizi report huwa sioni uhalisia wake sana
Screenshot_20220712-115001_1.jpg
 
Kati ya jiji kuwa la 6 kwa usafi na nchi kuwa katka uchumi wa kati lipi linastahili sifa kwa maslahi ya nchi? Uchafu tafsiri yake ni vibanda vya machinga? Mbona watu wanasema uchafu umezagaa kila mahali? Au usafi ni kwenye barabara kuu kutoonekana wamachinga ila wakiwa barabara zingne ni usafi?
Nyie wenzetu watetezi wa legacy ni hamna point? Mbona hapo ilikua easy tu kuangalia mwaka Jana tulikua nafasi ya ngapi na sasa hivi tupo ya ngapi. Easy

Sijui vigezo vinavyotumika maana hata mwaka Jana may pia tulikua nafasi hiyohiyo ya 6.
 
Nyie wenzetu watetezi wa legacy ni hamna point? Mbona hapo ilikua easy tu kuangalia mwaka Jana tulikua nafasi ya ngapi na sasa hivi tupo ya ngapi. Easy

Sijui vigezo vinavyotumika maana hata mwaka Jana may pia tulikua nafasi hiyohiyo ya 6.
Hujaelewa nilichomaanisha. Sasa kma ni hyo hyo kwa nini tutambiane kuwa vibanda ndo vilichafua miji? Mi nilikuwa namwambia huyo, kwamba anakuwa na fikra finyu sana. Jiji kutajwa la 6 usafi anasifu saana ila ya nchi kuwa ya uchumi wa kati aliona uongo. Tunao mazwazwa wengi sana nchi hii ambao wako kiitikadi tu.
 
Back
Top Bottom