The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Waulize wanao compile sio wajumbe,mjumbe hauwawi.Ila mwaka jana may kabla hata machinga hawajaondolewa pia Dar ilikua nafasi ya 6. Hizi report huwa sioni uhalisia wake sana
View attachment 2287856Top 10 cleanest cities in Africa - Delusional Bubble
In this post you will see the top 10 cleanest cities in Africa. Unlike what people think, African cities are among the cleanest in the world.delusionalbubble.com
Kwani ni lini Tzn ilitoka kuwa uchumi wa kati? Unajua hata vigezo vya kuwa uchumi wa kati?Kati ya jiji kuwa la 6 kwa usafi na nchi kuwa katka uchumi wa kati lipi linastahili sifa kwa maslahi ya nchi? Uchafu tafsiri yake ni vibanda vya machinga? Mbona watu wanasema uchafu umezagaa kila mahali? Au usafi ni kwenye barabara kuu kutoonekana wamachinga ila wakiwa barabara zingne ni usafi?
😠 swali lisilokuwa na msingi hili. Huwezi kuhoji kwa vtu vilivyo known hasa kwa wewe mfuatilia matukio.Kwani ni lini Tzn ilitoka kuwa uchumi wa kati? Unajua hata vigezo vya kuwa uchumi wa kati?
Kwenye ubaya hahusiki ila kwenye mazuri anahusika?Makamu wa Ras huwa hana maamuzi na kila anachofanya anakuwa anatekeleza maagizo ya Rais aliyeko Madarkani. Acheni kumhusisha SSH na uchafu wa Mwendazake
Kwa hiyo hata la kuongelea kuwa aliyempiga lissu risasi hakuwa askari wao nalo aliagizwa na rais? Mavi yakitumika kwenye uunzi wa ubongo ni shida sana.Makamu wa Ras huwa hana maamuzi na kila anachofanya anakuwa anatekeleza maagizo ya Rais aliyeko Madarkani. Acheni kumhusisha SSH na uchafu wa Mwendazake
Una mtindio wa ubongo.Jibu swali ni lini Tzn ilitoka kuwa Middle income status?😠 swali lisilokuwa na msingi hili. Huwezi kuhoji kwa vtu vilivyo known hasa kwa wewe mfuatilia matukio.
Wewe ni takataka!Kwa hiyo Samia ndio kaandika hiyo article ?
Kwani hajaondoa mabanda ya machinga barabarani waliokuwa wamewekwa na Mwendazake?
Hakina maana kwa mujibu wako au nani? Rotten mind
Siyo tu mwaka jana mkuu!Ila mwaka jana may kabla hata machinga hawajaondolewa pia Dar ilikua nafasi ya 6. Hizi report huwa sioni uhalisia wake sana
View attachment 2287856Top 10 cleanest cities in Africa - Delusional Bubble
In this post you will see the top 10 cleanest cities in Africa. Unlike what people think, African cities are among the cleanest in the world.delusionalbubble.com
Limenishinda.Una mtindio wa ubongo.Jibu swali ni lini Tzn ilitoka kuwa Middle income status?
Umeelewa lakini? Nafasi tupo ileile mwaka Jana may na mwaka huu, hatujapanda Wala hatujashukaWaulize wanao compile sio wajumbe,mjumbe hauwawi.
Kwahiyo kumbe tz ilikuwa uchumi wa kati toka enzi za Nyerere?Una mtindio wa ubongo.Jibu swali ni lini Tzn ilitoka kuwa Middle income status?
Mama Samia ndio alisema tumetoka kwenye uchumi wa Kati na akaahidi tutarudi, japo haikua kweli nadhani alipitiwaKwani ni lini Tzn ilitoka kuwa uchumi wa kati? Unajua hata vigezo vya kuwa uchumi wa kati?
Acha Roho mbayaMama chonde chonde huku bei ya chumvi haijapanda plz plz tufanyizie ipande, choroko nazo bei bado ndogo tunaomba mama.
Halafu hao wanyonge wa vimwamvuli walikua mashabiki wa KAYAFA wasage sage wakafie mbali walituharibia nchi.
Aliteleza ulimi tuu, Waziri wa Fedha alishaweka sawa .Mama Samia ndio alisema tumetoka kwenye uchumi wa Kati na akaahidi tutarudi, japo haikua kweli nadhani alipitiwa
baadae bungeni alikuja kusahihishwa na waziri wa fedha kuwa hatujatoka uchumi wa kati
Nani kasemaKwahiyo kumbe tz ilikuwa uchumi wa kati toka enzi za Nyerere?
Siku moja moja awe anatembea kwa siri uraiani aone mauchafu hapa dar maana akitaka kwenda mahaliwasaidizi wako wanasafisha mji mitaro yote inasafishwa barabara zinasafishwa Kule majohe pugu diwani kafariki basi barabara zimewekwa kifusi na mazingira ya mengine yako safi avae kininja hata usiku ataonaHao wapima usafi walipita Kwamtogole!!!
Hata hili la leo kateleza pia, hatupo namba 6 sababu ya kuondolewa mabanda ya machinga, hiyo nafasi tupo tu toka 2020. Japo majarida yanayofanya hizo tathmini sio credible kivile hivyo hayapaswi kuchukuliwa kwa uzito sana na kiongozi mkubwa Kama RaisiAliteleza ulimi tuu, Waziri wa Fedha alishaweka sawa .
Kateleza vipi wakati liko kwenye maandishi ambayo sio ya serikali? Kile alichoongea hakikunukuliwa na Shirika lolote la kiuchumi Duniani kwamba Tanzania imetoka huko.Hata hili la leo kateleza pia, hatupo namba 6 sababu ya kuondolewa mabanda ya machinga, hiyo nafasi tupo tu toka 2020. Japo majarida yanayofanya hizo tathmini sio credible kivile hivyo hayapaswi kuchukuliwa kwa uzito sana na kiongozi mkubwa Kama Raisi
Mama Samia kwenye masuala ya takwimu aachane nayo, Kuna watu hapo karibu yake huwa wana-question uwezo wake shida hawawezi kumwambia sababu ya mamlaka aliyonayo. Awepo wa kumkumbusha hakuna Africa tour magazine.
Hawezi pingana ila anauwezo wa kushauri namna ya kushughulika na machinga na ameneo yakawa wazi.Makamu wa Rais hawezi kupingana na Rais
Acha kuleta siasa kwenye mambo ya msingi. Kumbuka Magufuli ndio Rais pekee alieitisha usafi nchi nzima na yeye akafanya. Lakini kwa sasabu alitaka watanzania wapate vipato aliwapa uhuru wa kufanya biashara huku serikali ikiendeleea kuandaa miundo mbinu.Makamu wa Ras huwa hana maamuzi na kila anachofanya anakuwa anatekeleza maagizo ya Rais aliyeko Madarkani. Acheni kumhusisha SSH na uchafu wa Mwendazake