Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Juzi hapa si vifaranga vimechomwa moto pia huko Kilimanjaro huku Samia akiwa rais?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wachaga wenzenu wamechoma tena, paza sauti kwa kiwango kilekileWote waliofanikisha zoezi hilo la uchomaji inabidi washughulikiwe kisheria, na wenye mzigo huo inabidi wafidiwe mara moja, toa amri
Hawaelewi, ujinga ujinga mwingi sana awamu ya sitaAwamu ya sita chini ya Rais Samia wamechoma vifaranga.
Mbona yeye kachoma vifaranga 50000Rais Samia amesema amri ya kuchoma vifaranga 6400 vilivyoingizwa kutoka Kenya miaka mitano iliyopita ilikuwa sio sawa.
Rais Samia kasema hawakushulikia vizuri uingizaji ule wa vifaranga maana pia vifaranga vinavyo haki ya kuishi.
Rais Samia alizungumza haya wakati akiongea na mawakili wa ukanda ya Afrika Mashariki.
"Afrika Mashariki tuna soko la pamoja ambalo linatusaidia kufanya biashara zetu, tunakubaliana kwenye mambo ya customs na taxation lakini we had a lot of NTB's na ni tariff barriers ambazo mnajitahidi kuzifanyia kazi kuziondosha.
Ni kitu kidogo tu, ni mmoja kutoka kwenda kwa mwingine. Wakati mimi sikuingia, biashara yetu na Kenya ilikuwa ngumu sana, ngumu sana. Fika vifaranga mipakani pale, makaratasi hayasomi vizuri, vimetoka wapi haisemi vizuri, kunapita vifungu vya sheria as if sheria is everything. No no no sheria hairuhusu, solution hata hatuogopi dhambi, choma hivyo vifaranga.
Tumejisahau, vifaranga pia ni viumbe vya Mungu, walikuwa na life tukachoma"
Alisema Rais Samia
View attachment 2427229
lini ?Awamu ya sita chini ya Rais Samia wamechoma vifaranga.
Enzi za jiwe kulikuwa na makamu wa rais?Yeye si alikuwa makamu wa Rais, alitoa ushauri gani? Aache unafiki