Rais Samia: Kabla sijaingia, biashara na Kenya ilikuwa ngumu. Asema kuchoma vifaranga wa Kenya yalikuwa makosa

Mbona yeye kachoma vifaranga 50000
 
Yaani hadi huruma. Vifaranga Vimechomwa moto huko Moshi Juzi kati. Maboksi Kwa maboksi eti sababu Vifaranga wa Bongo wanakosa Soko. Hii Nchi Ina Utawala Binafsi au wa Majimbo? Rais alishasema isitokee Tena Bado ikatokea why? Why0?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…