Rais Samia: Kama haumpendi Rais aliyeko, penda nchi yako

Rais Samia: Kama haumpendi Rais aliyeko, penda nchi yako

Nimeuliza tu. Mambo ya Duni yameanzia wapi.
Unauliza nini? Hilo lina uhusiano gani na utendaji kazi hilo ni suala la faragha kwakwe, kejeli sio nzuri, wewe utampendeza mtu akianza kukuuliza masuala ya mama ako na baba ako
 
Hizo ni sababu za kujihami tu, kufanikiwa kwa URAIS wake kutategemea jinsi atakavyotatua kero za wananchi!! So far wananchi wanalalamikia tozo; Kwani hizo tozo alizozileta kwenye miamala ya Simu, Magufuli alizozikataa ndio zinafanya Watu walalamike!

Nenda kakope lakini hiyo mikopo ilete nafuu kwa wananchi kwa kutolewa hizo tozo; sio mnakopa alafu bado mnawakamua wananchi kwa kuwaongezea tozo na makato mengine chungu nzima. Mikopo iwe kwa kuwapa wananchi nafuu ya maisha!!!

Mlisema mliweka hizo tozo ili kujenga madarasa hivyo kama hiyo ilikuwa Kweli tulitegemea baada ya kupata mkopo ule wa IMF na mkauelekeza kujenga madarasa basi zile tozo zingelisitishwa , unless mlikuwa mnawahadaa wananchi.!
Aisee kama ni kero tuu zinatatuliwa kuliko kipindi kingine chochote,waulize wabunge na waulize ccm.Hakuna Mwenyekiti ametekeleza Ilani kama Samia.

Ila wewe huwezi kuona kwa sababu una chuki binafsi na Samia huwezi ona but tutakuonyesha.Hivi ndivyo kero zinatatuliwa kwa vitendo yaani Kazi,ajira na bata

Screenshot_20220113-153636.png


Screenshot_20220113-153235.png


Screenshot_20220112-181151.png


Screenshot_20220112-163818.png


Screenshot_20220112-161435.png


Screenshot_20220110-162605.png


Screenshot_20220110-080936.png


Screenshot_20220107-173944.png


Screenshot_20220107-064427.png
 
What goes around comes around. Nape, January na Riziwan walimchukia mtangulizi wako tena hadharani na hao hao umewapa kazi. Kama Urais ni taasisi maana yake hata wewe walikuchukia?
Kwa kweli katika vitu ambavyo mama ananishangaza nikuwateua akina makamba ili hali ndo wanamtukana jpm kila leo kwa nini asichukiwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati watumishi hawalipwi stahiki zao hamkuumia kwasababu halijawagusa ,watumishi walipo sitishiwa nyongeza za mishahara na kuto panda madaraja hamkuumia, wastaafu kuto pewa stahiki zao hamkuumia , serikali kuto ajiri na kupelekea watumishi wachache waliopo kufanya kazi kama punda hamkuumia , halsmashauri zilishindwa kujiendesha na pesa zote zinakusanywa hazina wala hamkuumia , matajiri kubambikiwa keshi kubwa ili watoe pesa hamkuumia, wafanya biashara kunyang'anywa pesa zao na kufilisiwa accounts zao hamkuumia sababu hayo yote mliyasikia lakini kwa vile hayakugusa maslahi yenu mliyafurahia

Leo limekuja linanalo wagusa tena hela ndogo tu kwa mwezi kwa maslahi ya taifa ndio mnakuja juu na maneno lukuki.
ACHENI UBINAFSI.
Ona hii mbuzi inakuja kuandika upumbavu gani hapa! Unalinganisha minority na majority ya watanzania?? Watu kama nyie ilitakiwa mnyongwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Absoulutely, Though It Should Not Be As A Substitute For Freedom In Expressing One's Views or Perspectives.
 
Huyu SSH anaitaji msaada wa kisaikolojia. Inferiority complex inamsumbua sana.
Laiti yeye angejua kuwa kiongozi ni muongoza njia...
Haya ya kupenda au kupendwa hana mamlaka nayo!!

NB: Kuna umuhimu sana kuwandaa vizuri viongozi wa baadae...!!
 
Kwa kweli katika vitu ambavyo mama ananishangaza nikuwateua akina makamba ili hali ndo wanamtukana jpm kila leo kwa nini asichukiwe

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani ni lazima kwa tanzania kila mtu ampende JPM? Acheni utumwa wa akili huyo JPM alicho kiweza tanzania ni kupandikiza u chifu na hicho ndicho kinacho wasumbua sana hadi sasa alijijenga yeye na sio kuijenga taasisi
 
Ona hii mbuzi inakuja kuandika upumbavu gani hapa! Unalinganisha minority na majority ya watanzania?? Watu kama nyie ilitakiwa mnyongwe

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo majority ni ipi na minority ni ipi ? Tatizo huna akili za kuona mbali na umenyimwa akili hiyo ndio maana huoni na una akili fupi kama huyo jamaa yako

Ukiwabeba sana maskini na ukashikamana nao pasipo kuwapa challenge za kujituma kufanya kazi kulililisha taifa lao basi ujue taifa linakufa maskini pia

Nani alikudanganya kwamba kuwabeba maskini na kuwahudumia kila kitu bure ndio njia ya kuendeleza taifa ? Hizo hela za kuwahudumia zinalipwa nanani?

Wajenge wananachi katika misingi ya kulihudimia taifa sio kuwajenga wananchi katika misingi ya kuhudumiwa bure na taifa huo ujinga ndio ulio pelekea magufuli akaanza kutumia nguvu kunyang'anya watu matajiri pesa zao kwenye accounts zao.
 

Rais Samia Suluhu Hassan amesema urais sio mtu ni taasisi lakini kikatiba kunakuwa na mtu pale juu. Amewaambia Mawaziri kuwa kama hawampendi Rais aliyepo basi wapende nchi yao

Amesema hata kama haumpendi Rais Samia isiwe kigezo cha kupuuza mambo yote ambayo serikali inafanya. Ameruhusu watu kumchukia lakini sio kuchukia mambo ya serikali

Amewataka kuheshimu viapo vyao kwa kuwa wameapa kwa kushika vitabu vya Imani zao
Maza anadai Rais ni Taasisi lakini wakati wa kusifia kuwa Mama Katia pesa, mama katujengea barabara, mama hivi, mama vile huwa anachekelea moyoni.

Kama sifa xinampa raha basi akubali pia masimango.
 
Back
Top Bottom