mulwanaka
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 5,262
- 12,855
Na kurupuka nini unadharau, utaratibu wa dini za wezako ndo unasema na kurupuka acheni dharau nyie.Mbona unakurupuka?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kurupuka nini unadharau, utaratibu wa dini za wezako ndo unasema na kurupuka acheni dharau nyie.Mbona unakurupuka?
Nimeuliza tu. Mambo ya Duni yameanzia wapi.Na kurupuka nini unadharau, utaratibu wa dini za wezako ndo unasema na kurupuka acheni dharau nyie.
Unauliza nini? Hilo lina uhusiano gani na utendaji kazi hilo ni suala la faragha kwakwe, kejeli sio nzuri, wewe utampendeza mtu akianza kukuuliza masuala ya mama ako na baba akoNimeuliza tu. Mambo ya Duni yameanzia wapi.
Mbona kila siku wanatuambia yeye ndio anatoa helaNi kumchukia bure hawezi kujenga nchi na pesa zake mfukoni
Aisee kama ni kero tuu zinatatuliwa kuliko kipindi kingine chochote,waulize wabunge na waulize ccm.Hakuna Mwenyekiti ametekeleza Ilani kama Samia.Hizo ni sababu za kujihami tu, kufanikiwa kwa URAIS wake kutategemea jinsi atakavyotatua kero za wananchi!! So far wananchi wanalalamikia tozo; Kwani hizo tozo alizozileta kwenye miamala ya Simu, Magufuli alizozikataa ndio zinafanya Watu walalamike!
Nenda kakope lakini hiyo mikopo ilete nafuu kwa wananchi kwa kutolewa hizo tozo; sio mnakopa alafu bado mnawakamua wananchi kwa kuwaongezea tozo na makato mengine chungu nzima. Mikopo iwe kwa kuwapa wananchi nafuu ya maisha!!!
Mlisema mliweka hizo tozo ili kujenga madarasa hivyo kama hiyo ilikuwa Kweli tulitegemea baada ya kupata mkopo ule wa IMF na mkauelekeza kujenga madarasa basi zile tozo zingelisitishwa , unless mlikuwa mnawahadaa wananchi.!
Kwa kweli katika vitu ambavyo mama ananishangaza nikuwateua akina makamba ili hali ndo wanamtukana jpm kila leo kwa nini asichukiweWhat goes around comes around. Nape, January na Riziwan walimchukia mtangulizi wako tena hadharani na hao hao umewapa kazi. Kama Urais ni taasisi maana yake hata wewe walikuchukia?
Wanomfanya mama asipendweAtakuwa amegundua kama kweli watu hawampendi .
Hivi kwani kuna watu hawampendi?
Ona hii mbuzi inakuja kuandika upumbavu gani hapa! Unalinganisha minority na majority ya watanzania?? Watu kama nyie ilitakiwa mnyongweWakati watumishi hawalipwi stahiki zao hamkuumia kwasababu halijawagusa ,watumishi walipo sitishiwa nyongeza za mishahara na kuto panda madaraja hamkuumia, wastaafu kuto pewa stahiki zao hamkuumia , serikali kuto ajiri na kupelekea watumishi wachache waliopo kufanya kazi kama punda hamkuumia , halsmashauri zilishindwa kujiendesha na pesa zote zinakusanywa hazina wala hamkuumia , matajiri kubambikiwa keshi kubwa ili watoe pesa hamkuumia, wafanya biashara kunyang'anywa pesa zao na kufilisiwa accounts zao hamkuumia sababu hayo yote mliyasikia lakini kwa vile hayakugusa maslahi yenu mliyafurahia
Leo limekuja linanalo wagusa tena hela ndogo tu kwa mwezi kwa maslahi ya taifa ndio mnakuja juu na maneno lukuki.
ACHENI UBINAFSI.
Mnyonge kwanza mamaako halafu mbuzi ni babaako na mkeoOna hii mbuzi inakuja kuandika upumbavu gani hapa! Unalinganisha minority na majority ya watanzania?? Watu kama nyie ilitakiwa mnyongwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani ni lazima kwa tanzania kila mtu ampende JPM? Acheni utumwa wa akili huyo JPM alicho kiweza tanzania ni kupandikiza u chifu na hicho ndicho kinacho wasumbua sana hadi sasa alijijenga yeye na sio kuijenga taasisiKwa kweli katika vitu ambavyo mama ananishangaza nikuwateua akina makamba ili hali ndo wanamtukana jpm kila leo kwa nini asichukiwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo majority ni ipi na minority ni ipi ? Tatizo huna akili za kuona mbali na umenyimwa akili hiyo ndio maana huoni na una akili fupi kama huyo jamaa yakoOna hii mbuzi inakuja kuandika upumbavu gani hapa! Unalinganisha minority na majority ya watanzania?? Watu kama nyie ilitakiwa mnyongwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ya kujipimia yenyewe siyo siri ya sirikali, naona anatoa ubuyu mwenyewe na hapo hapo anazuia wengine wasitoe siri.Duh huu ushenzi kweli😅 kama hii ndio akili ya mama tumeisha
Wakati watumishi wanalia mishahara kiduchu na kutopanda madaraja zaidi ya miaka nane, kumbe wao wanajipimia.......nchi ya hovyo sana hii. Utajua tu hata kwa aina ya viongozi wake, IQ ziko chini mnoooo.........Mambo ya aibu kwenye Taifa langu Tanzania😑😑😑View attachment 2080089
Maza anadai Rais ni Taasisi lakini wakati wa kusifia kuwa Mama Katia pesa, mama katujengea barabara, mama hivi, mama vile huwa anachekelea moyoni.
Rais Samia Suluhu Hassan amesema urais sio mtu ni taasisi lakini kikatiba kunakuwa na mtu pale juu. Amewaambia Mawaziri kuwa kama hawampendi Rais aliyepo basi wapende nchi yao
Amesema hata kama haumpendi Rais Samia isiwe kigezo cha kupuuza mambo yote ambayo serikali inafanya. Ameruhusu watu kumchukia lakini sio kuchukia mambo ya serikali
Amewataka kuheshimu viapo vyao kwa kuwa wameapa kwa kushika vitabu vya Imani zao
Hata mimi sipendi huu mtindo wa kumtukana JPM na yeye amenyamaza kimya tu na wakati bila JPM asingeupata huo Urais.Wanomfanya mama asipendwe
Ni kuwachagua akina makamba
Na nape huku wakiwa wanamtukana raisi aliepita jpm
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu urais wa kudra za mola......safari hii tumepatikana.Hata mimi sipendi huu mtindo wa kumtukana JPM na yeye amenyamaza kimya tu na wakati bila JPM asingeupata huo Urais.
🤣🤣🤣Huu urais wa kudra za mola......safari hii tumepatikana.
Mzee ruksa alisema unaweza kufungua na nzi wakaingia humo humo...........🤣🤣🤣🤣
Mwacheni mama afungue nchi.