Prof Griff
JF-Expert Member
- Aug 29, 2008
- 6,772
- 5,258
You take things personal ona unaanza tukana watu hata hauwajui in real life.Kwanza wewe ni mpuuzi Sana na una dharau Kwa Wanawake..
Kwa Sasa kuanzia Sekondari Hadi vyuo Vikuu wadada ndio wanaingiza,Sasa umeona unazidiwa unakuja kutukana Wanawake huku.
Tatizo tukisema hapa wanaona kama watu ni wakoloni mara ooh mfumo dume. Ila uhalisia huko mtaani anayeangamia ni mtoto wa kike. Haya ngoja tukae kimya. Mtajua hamjui.Kwa mfano msikilize mbunge huyu hadi mwisho, Je anatoa suluhisho gani kwa hayo aliyozungumza.
Je suluhu anazorukia ni sahihi? Naaza kufikiria labda akina mama wawajibike kama zamani
Nchi zinaozongoza kwenye mambo ya gender equality kama za Scandinavia, Wanawake bado wapo nyuma karibia kila nyanja licha ya miaka mingi sana ya kuwainua. Ni wazi kwamba Wanawake kwenye nchi hizi wapo mbali ukilinganisha na nchi kama Tanzania, lakini bado wanashika mkia kwenye nafasi za juu za uongozi Serikalini, Sekta Binafsi, na kwenye taasisi muhimu kwenye nchi zao pamoja na juhudi kubwa za kuwapendelea. Sisemi Wanawake hawana akili kama za Waanaume. lakini Wanawake wana mapungufu yao ya kijinsia yanayowafanya kushindwa kumudu nafasi za juu za Uongozi.
Ukiweza niambia hasara za upendeleo wa point mbili kwa kumnufaisha mtoto wa kike nitakwambia faida kumi kufanya hivo.Swali linakuja manufaa yepi na kwa jamii ipi?! So far ni hasara.
Basi hakuna unachokielewa. The so called Privileged is actually underprivileged of the two. Umeamua tu kustate your theory in a way that will fit your age
Basi sawaBasi hakuna unachokielewa. The so called Privileged is actually underprivileged of the two. Umeamua tu kustate your theory in a way that will fit your agenda.
Kwa kweli Elimu ya Tanzania kuanzia mfumo, sera, na utekelezaji wake viko mahututi na kuzinduka kwake kunahitaji jeki kubwa tena iliyotengezwa nje ya Nchi. Ni hatari kwa kweli.Hebu muulize wewe. Huyu unaweza kuta ni mtu wa TAMISEMI maana akili amepunyuka huyu.
Hebu ngoja niwe msoma comments..C'mon, njoo team "Boy child" nitakupa siri za namna ya kumfanya mwanaume alie kitandani kama jambazi sugu akiombewa kwa mwamposa akawa anatoa ushuhuda.
Sicho nilichomaanisha na unajua hakiwezekani Biological, ila kijamii ni ukweli usiopingika wanaume wengi sasahivi walipaswa kulea watoto maana ile kazi yetu ya kuhudumia familia tumeisahau na tumewaachia kina mama.Kwani sasa inatakiwa wanaume ndio wazae na kulea familia au unataka kusemaje mkuu?
Huu upumbavu upo Tanzania tu, usitete ujinga mkuu. Nchi ya kipuuzi sana hii.Kenya na Uganda wamekuwa na programu za upendeleo aka affirmative action programs kwa Wananfunzi wa Kike kwa miaka mingi. Do the google thing dude.
Hiyo ni fake mkuu wangu
Kuna tofauti ya gender equality na gender equity. Affirmative actions ni kwa ajili ya gender equity. Kama wanawake wanapenda kazi fulani zaidi hiyo ni sawa, kama kabila fulani huwa wanapendelea kufanya kazi fulani zaidi hiyo ni sawa ilimradi tu hakuna vizuizi bandia vya kimfumo kuwazuia kufanya kazi nyingine pale baadhi yao katika jinsia au kabila fulani wanapotaka kuzifanya hizo kazi
Ndugu Yoda, hii justification yako haina mashiko kwasababu... Kwanza kielimu unazalisha wasomi wa aina gan kama utawapa mbeleko kisa hawakupewa priority kielimu?Tofauti na hoja ya viti maaluma huna hoja nyingine yoyote ya msingi.
Kuhusu wanawake kupata nafasi za upendeleo katika masomo ni sahihi kwa sababu jamii nyingi hasa za vijijini hazikuthamini masomo kwa mtoto wa kike kwa muda mrefu hivyo serikali inachofanya ni kusahuhisha hiyo injustice ya muda mrefu. Kuna visa vya watoto wa kike wanaambiwa wafeli mitihani ya darasa la saba makusudi ili waolewe.
Aisee. Wee komalia hapo hapo hadi kieleweke ingawa hoja yako siyo sahihi.Huu upumbavu upo Tanzania tu, usitete ujinga mkuu. Nchi ya kipuuzi sana hii.
Mkuu samahani lakini naomba ufafanuzi ni kivipi kumuelimisha mtoto wa kike unakuwa umeendeleza jamii nzima na sio Kwa mtoto wa kiume?!!Kwasababu wasichana wapo more vulnerable kuliko wanaume.
Msichana akipata elimu jamii nzima inaendelea.
Nitaeleza kidogo.
Kwa mfano, ikiwa watoto wote wawili wa kike na kiume wakaishia form 4, unadhan yupi ataathirika kwa haraka zaid kuliko mwingine? Hasa linapokuja suala la uzazi? Na hivyo kuongezea serikal mzigo wa kulea watoto mapema.
Lakini pia, kazi na ajira nyingi semi skilled zinambeba zaid mtoto wa kiume kuliko wa kike.
Ufundi, Udereva, Umachinga, Ubaharia, uvuvi, kufuga, kulima, misitu nk
Nadhani uamuzi huo ni wa busara sana.
Mkuu Habari,Mkuu samahani lakini naomba ufafanuzi ni kivipi kumuelimisha mtoto wa kike unakuwa umeendeleza jamii nzima na sio Kwa mtoto wa kiume?!!
Hii dunia inapoelekea mwanamme anenda kupata tabu sana. Cha ajabu hayo mambo yanafanyika huku baadhi ya mijanadume ikiwa ndani ya hizo projects.
Siku hizi hata ma bank company ikiwa na wanawake ina possibility kubwa ya kuwa na advantages nyingi tu kwenye suala zima la mikopo.
Hawa mashetani lengo lao ni kuwa hii dunia itawaliwe na wanawake. na kuna mipuuzi kibao bado inaendelea kusapoti hayo mambo utawaona wengi humu wakichangia.
Ufafanuzi huu umeegemea zaidi kwenye suala la malezi ya familia,nnachojiuliza ni kuwa mbona katika jamii zetu wanawake ambao hawajasoma ndiyo huonekana walezi wazuri wa watoto na familia zao kuliko wale ambao hujiita wasomi?Mkuu Habari,
Hoja ya kuelimisha mtoto wa kike ni kusaidia jamii nzima hasa ukizingatia wajibu wa kijamii waliowekewa watoto wa kike katika kuendeleza watoto anaowazaa.
Lakini zaid upatikanaji wa huduma bora nyumbani, malezi bora ya watoto na hatimae kuwa na watoto wenye uelewa angavu wa mambo katika maisha yao ya kila siku.
Kwa upande mwingine, historia imethibitisha kufeli sana kwa baba katika malezi, na hasa Africa ambapo hata baada ya kupata elimu na kipato, wazazi wengi wa kiume wana mchango mdogo katika malezi na makuzi ya watoto ukilinganisha na uwiano kwa mama zao.(Exceptions chache zipo)
Nadhani kwa kiasi hii itasaidia, kama una swali unaweza uliza.
Ahsante.