Tetesi: Rais Samia, kama kuna upendeleo huu wa kielimu kwa Wasichana utaliangamiza Taifa

Unajua wanaume walioko kwenye nafasi za maamuzi ndio wanachangia anguko la watoto wa Kiume? yenyewe yanadhani sifa ila miaka michache ijayo tutakuwa na Taifa la KIJINGA sana sana wazungu wanaleta Ushoga na ku empower wanawake lengo nikuua uzao lkn majitu yanaona sawa tu
 
Wewe ni mwanamke!
 
Nikiona mijtu tena miana ume inashobokea women empower nachukia sababu inachangia kuharibu hii Dunia
 
Hujui maana ya gender equality.

Gender equality ni upatikanaji sawa wa haki na fursa kwa jinsia zote. Yani kama mwanamke anataka kuwa Rais kusiwe na sheria zinazozuian au kutatiza yeye kuwa Rais au asinyimwe fursa ya Urais kwa sababu ya jinsia yake.
 
Ndugu Yoda, hii justification yako haina mashiko kwasababu... Kwanza kielimu unazalisha wasomi wa aina gan kama utawapa mbeleko kisa hawakupewa priority kielimu?
Nimefafanua vizuri huko juu kwamba hakuna wanafunzi wa kike wanaochaguliwa kuendelea kidato cha 1, 5 au vyuo wakiwa wamefeli. Kuna tofauti kubwa ya mbeleko na kipaumbele pale ambapo kuna ufinyu wa fursa.
 
Ndugu Yoda, hii justification yako haina mashiko kwasababu... Kwanza kielimu unazalisha wasomi wa aina gan kama utawapa mbeleko kisa hawakupewa priority kielimu?
 
Nikiona mijtu tena miana ume inashobokea women empower nachukia sababu inachangia kuharibu hii Dunia

wengi hua ni wale watumwa wa siasa za kimagharibi, na ndio haohao wanaosapoti mambo ya kishoga
 
Na wewe una amini hakuna zero kweli, hivi unajua kuna watu. Wamekwenda form one hawajui kuandika na kusoma vema, kuhesabu shida lugha ya Malkia ndio zero kabisa. Umeshawahi jiuliza wamepitaje?!

Your browser is not able to display this video.
 
kama mwanamke anataka kuwa Rais kusiwe na sheria zinazozuian au kutatiza yeye kuwa Rais au asinyimwe fursa ya Urais kwa sababu ya jinsia yake.
Ni kifungu gani cha katiba kinachozuia hili mkuu? Hii ndio kwanza naisikia kwako.Ufafanuzi tafadhali.
 
Huu upuuzi wa kutunga mitihani ya ku-bet ili wanafunzi wa kike wafaulu ndio unaopelekea wanafunzi kupenya kwenda sekondari wakiwa hawajui KKK. Sijawahi kushuhudia maajabu kama haya katika nchi yoyote hapa Ulimwenguni, kama ipo niite mbwa nimekaa paleeeeee.........
 
children vs career

Your browser is not able to display this video.


BTW thanks to distance learning a mum can still get her education while she stays home!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…