Tetesi: Rais Samia, kama kuna upendeleo huu wa kielimu kwa Wasichana utaliangamiza Taifa

Tetesi: Rais Samia, kama kuna upendeleo huu wa kielimu kwa Wasichana utaliangamiza Taifa

Kwasababu wasichana wapo more vulnerable kuliko wanaume.

Msichana akipata elimu jamii nzima inaendelea.

Nitaeleza kidogo.

Kwa mfano, ikiwa watoto wote wawili wa kike na kiume wakaishia form 4, unadhan yupi ataathirika kwa haraka zaid kuliko mwingine? Hasa linapokuja suala la uzazi? Na hivyo kuongezea serikal mzigo wa kulea watoto mapema.

Lakini pia, kazi na ajira nyingi semi skilled zinambeba zaid mtoto wa kiume kuliko wa kike.
Ufundi, Udereva, Umachinga, Ubaharia, uvuvi, kufuga, kulima, misitu nk

Nadhani uamuzi huo ni wa busara sana.
Hii nadharia unayosema ndio imetufikisha hapa leo watoto wa kike kupata mimba mapema na kuzidi kuharibikiwa.

Unajua kwamba kusema kumuendeleza mwanamke tafsiri yake ni kumtoa nyumbani na awe nje ya nyumba kwa zaidi ya masaa 12 ya siku. Yaani kutwa nzima. Umeona impact yake kwenye malezi ya watoto miaka hii?

Na je, serikali kama imeshindwa kuwapa ajira hawa wakiume waliopo je hao wa kike itaweza kuwapa ajira wote?!

Nadhani tunaishi kinadharia sana ila uhalisia wetu haupo sawa na hizi nadharia.

Tunahitaji familia imara. Watanzania kwa wingi wetu idadi kubwa ni masikini tupata tu hela za kubadili mboga na mavazi ila kiuhalisia ni masikini. Hata hawa wenye pesa je wanazipata kwa miradi au madili ya wizi wizi?

Nadhani tufike wakati tutambue tupo eneo gani kijamii na tunatakiwa kuishi kwa mfumo gani.

Eneo la familia hizi mbinu za Women empowerment hazishabihiani kabisa na mazingira yetu na ndio maana zinazalisha migogoro zaidi badala ya suluhisho. Jambo likiwa ni suluhisho huwa lina zaa matunda mazuri ila kama sio suluhisho litazaa tatizo kubwa zaidi. Kwa kifupi tunatibu maralia kwa kutumia Dawa za TB mwisho wa siku maralia haiponi na dawa za TB zinachosha mwili.
 
Kuna kikundi cha local Andrew Tates na clout chasers kimeibuka hivi karibuni mtandaoni hapa bongo kinasumbua sana na harakati uchwara za kujifanya kumtetea "boy child" ila ukiangalia hoja zao karibia zote ni fallacies tu.
So wewe unataka "Boy child" akandamizwe?!
 
Nilifikiri wewe una hoja uiweke hapa kumbe wewe ndiye buyu kabisa. Anyway, acheni mazoea ya kubebwabebwa kama mizigo. Jipambanie wenyewe
Achana nae huyo hana hoja naona kaja kuharibu uzi tu hapa.
 
Feminism was about granting equal opportunities to both sexes. Now it's about advantaging women at the expense of men.

It's not even feminism anymore it's feminazism.

The ideology has infiltrated the education system. Boys are falling out. The family unit is indeed broken coz of this. Most filth in the society emerge from here.


View attachment 2631057
Very true
 
Hii ya wasichana kuruhusiwa ufaulu wa chini kuliko wavulana si ipo toka zamani. Ni kwasababu msichana akirudi kutoka shule aanze kupika, kuchota maji, atunze wadogo zake, Lakini mvulana anarudi kucheza mpira na kupumzika!!

There are just too many variables in this problem kiasi kwamba I've just let Jesus take the wheel no joke. I see the debate futile.
Hapana tokea hizi zilianza majuzi tu hapa. Zamani mademu walikuwa wanakuwa kipanga darasani anakuwa kipanga kweli anawakimbiza hadi vidume mnasanda mnachuana nae kwenye top 10 yupo anakimbizia ile top 5 boys of all time.

Na hawa mabinti hata ukikutana nao sasa unawaona kabisa wapo very fit kichwani. Ila sasa hawa wasiku hizi wa kubebwa. Mpe mic hapo ajielezee vitu fulani fulani vya kawaida utaelewa.
 
Hii dunia inapoelekea mwanamme anenda kupata tabu sana. Cha ajabu hayo mambo yanafanyika huku baadhi ya mijanadume ikiwa ndani ya hizo projects.

Siku hizi hata ma bank company ikiwa na wanawake ina possibility kubwa ya kuwa na advantages nyingi tu kwenye suala zima la mikopo.

Hawa mashetani lengo lao ni kuwa hii dunia itawaliwe na wanawake. na kuna mipuuzi kibao bado inaendelea kusapoti hayo mambo utawaona wengi humu wakichangia.
Kabisa huwa yananibore sana mafala haya. Huwa nawatazama nawaona kama machoko tu.
 
So wewe unataka "Boy child" akandamizwe?!
Boy child anakandamizwa na Boy child wenzake sio kwa sababu wanawake wamepewa nafasi za kusoma. Mafisadi wengi karibia 90% wanaosababisha wanafunzi wa nchi hii wakose mazingira mazuri ya kusoma ni wanaume"boy child".
 
Upendeleo wenyewe ni unyanyapaa pia. Naona bado hujaeelewa mada iliyopo hewani. Kwani hao watoto wa kike wao wanasomea kwenye mazingira tofauti na wavulana. Yaani watoto wote wasomee kwenye mazingira yanayofanana halafu useme kuna injustice? You cant be serious!!
Huko wizarani watakuwa wamekaa wale masingle mother na wale wanaume suruali ambao wakishikwa shikwa mabega na wanawake wanasahau kila hoja wanakubali na kupitisha kila kitu. Halafu pale bungeni kuna spika yule Feminists na wale wazee wasiojitambua wanasema ndiooooooo lazima mambo ya kipumbavu yapitishwe.
 
Tofauti na hoja ya viti maaluma huna hoja nyingine yoyote ya msingi.

Kuhusu wanawake kupata nafasi za upendeleo katika masomo ni sahihi kwa sababu jamii nyingi hasa za vijijini hazikuthamini masomo kwa mtoto wa kike kwa muda mrefu hivyo serikali inachofanya ni kusahuhisha hiyo injustice ya muda mrefu. Kuna visa vya watoto wa kike wanaambiwa wafeli mitihani ya darasa la saba makusudi ili waolewe.
Hiyo ya kufelisha ipo kwa jinsia zote
 
Kama mtihani unapima kilicho kichwani na sio jinsia basi acha upime unachokipima.

Matokeo yake unamkuta mtu ofisini kutumia kompyuta mfano, kila siku mpaka asaidiwe na anaona ni haki yake. Hajifunzi.

Halitakuwa kosa lake maana tangu mwanzo aliaminishwa kwamba sio lazima awe bora ili kupata nafasi, jinsia tu itambeba.

Equality nnaikubali, iwe na same footing kulingana na uwezo unaohitajika kufit mahala. Haya mambo ya equity ni utapeli. Hata ulaya wanawake walianza kufanya kazi viwandani mifumo na teknolojia ilipokua na kupunguza uhitaji wa manguvu na malogic mazito ya kiume saana.
True master.
 
Huko wizarani watakuwa wamekaa wale masingle mother na wale wanaume suruali ambao wakishikwa shikwa mabega na wanawake wanasahau kila hoja wanakubali na kupitisha kila kitu. Halafu pale bungeni kuna spika yule Feminists na wale wazee wasiojitambua wanasema ndiooooooo lazima mambo ya kipumbavu yapitishwe.
Umeanza kufuatilia bunge lini??
 
Kwani hizo kazi ulizotaja nani kawazuia watoto wa kike wasifanye?

Hivi kwa mfano ukimfaulishe mwanamke kimchongo siku akiwa daktari atapewa wagonjwa wake maalumu wa kutibu? Hamuoni mnahatarisha afya za raia kwa sababu za kipuuzi?
Au wakilazimisha mtu awe Engineer wa ndege vipi siku akiangusha ndege?
 
Sasa ulichopaswa kudai ni watoto wote wafuatiliwe na wapewe nafasi ya kufuatiliwa na kusikilizwa na serikali ili KILA MMOJA asiadiwe kulingana na anavyokamishwa na mazingira yake katika kusoma na kufikia ndoto zake
Sasa mbona serikali yako tukufu imechukua maamuzi ya kuwabeba wasichana kabla ya kufanya upembuzi yakinifu na wewe unashangilia? Naona sasa umeanza kujipinga wewe mwenyewe. Bado kidogo tu utanielewa.
 
Ni sahihi haiwezekani mtoto wa kiume apate mteremko anatakiwa apambane kwa bidii

Nafikiri hii itawakomaza akili kua wapambanaji zaidi

[emoji23][emoji23] kama hamtaki hamieni burundi
Wanawake katika mijadala ya kijamii inapokuwa swala linawafavour ninyi huwa mnaona ni utani utani kulijadili na mtaandika pumba zenu. Ila kama litawagandamiza hapa mngeshakaza chuchu na tako la kushoto kujadili kwa hasira.

Mfano ingekuwa ni serikali imetangaza kuanzia sasa watoto wakike hamna kwenda shule ungeandika huu ushubwada wako hapa. Ungekuwa karibu ningekula denda walahi.
 
Mkuu hapana, kwenye Udaktari ni tofaut kidogo na Hilo unalosema.

Hapa ni entrance points.... wakifika huko wanafundishika vizur tu.

Sababu za tofauti ya kaz kwa mwanaume na mwanamke ni za kimaumbile na kijamii zaidi.

Ahsante.
Wewe unasema nini wewe. Hivi mtu achaguliwe kindezi ndezi huku chini halafu aje kuwa na best performance huku juu inawezekana?!
 
Mhadhiri wa chuo kimoja alipo kuwa anafundisha masuala ya Gender aliwahi sema kwamba

""Concept ya Gender imeeleweka vibaya kwa wanawake wengi neno usawa wa kijinsia imeeleweka kama harakati za mwanamke kupambana na mwanaume kumbe ni katika fursa mbalimbali kama ajiri,Elimu, nk"

Mleta mada umeongea hoja ya msingi sana,sema Feminist hawata kuelewa maana wao vita yao ni dhidi ya mwanaume na sio kumkomboa mwanamke.

Hii tabia ya kuchezea mfumo wa Elimu imeanza kuota mizizi na kuwa sugu huwa najiuliza mataifa ya ulaya na marekani Wana sera kama hizi zetu kweli ?
Yaani ni hovyo kabisa aisee.
 
Tofauti na hoja ya viti maaluma huna hoja nyingine yoyote ya msingi.

Kuhusu wanawake kupata nafasi za upendeleo katika masomo ni sahihi kwa sababu jamii nyingi hasa za vijijini hazikuthamini masomo kwa mtoto wa kike kwa muda mrefu hivyo serikali inachofanya ni kusahuhisha hiyo injustice ya muda mrefu. Kuna visa vya watoto wa kike wanaambiwa wafeli mitihani ya darasa la saba makusudi ili waolewe.
Sasa hapo Kwa hoja yako itakuwa unadahili wanafunzi kwa uwezo wao au kwa kuwaonea huruma. Na je nini matokeo ya kuwaonea huruma?
 
Back
Top Bottom