Tetesi: Rais Samia, kama kuna upendeleo huu wa kielimu kwa Wasichana utaliangamiza Taifa

Tetesi: Rais Samia, kama kuna upendeleo huu wa kielimu kwa Wasichana utaliangamiza Taifa

Mkuu huu upendeleo upo muda mrefu na athari zake tumeshaanza kuziona katika mazingira na maeneo mbalimbali ya uwajibikaji.

Hivi sasa tuna graduates wengi wa kike ambao walipata upendeleo katika ufaulu kuanzia msingi hadi secondary na hatimaye wengi chuo waliishia kupata shahada zao baada ya kuhonga penzi kwa wahadhiri kwakuwa hawakuandaliwa kujipambania bila mbeleko.

Hao ndiyo sasa tunakutana nao kazini ambao hata kujenga hoja hawawezi na mambo mengi ya kiutawala yanawashinda kwakuwa wamefika hapo walipo kwa mbeleko.

Hii imepelekea wengi kuwa na hali ya kutojiamini na kuona wanadharaulika eti kwakuwa wao ni wanawake lakini kiuhalisia wanadharaulika baada ya kuonekana wengi kichwani ni weupe.

Na madhara haya yametapakaa katika kila idara na katika ngazi nyingi za kiutawala tumejikuta tunaongozwa na wasio na sifa.

Nadhani yatengenezwe mazingira kuwe na ushindani wa haki na kila mtu apate anachostahili kuliko kuongeza idadi ya wanawake wengi kwenye nafasi mbalimbali bila kujali ubora wa hao wanawake wanaopewa hizo nafasi.
 
Mkuu huu upendeleo upo muda mrefu na athari zake tumeshaanza kuziona katika mazingira na maeneo mbalimbali ya uwajibikaji.
Hivi sasa tuna graduates wengi wa kike ambao walipata upendeleo katika ufaulu kuanzia msingi hadi secondary na hatimaye wengi chuo waliishia kupata shahada zao baada ya kuhonga penzi kwa wahadhiri kwakuwa hawakuandaliwa kujipambania bila mbeleko.
Hao ndiyo sasa tunakutana nao kazini ambao hata kujenga hoja hawawezi na mambo mengi ya kiutawala yanawashinda kwakuwa wamefika hapo walipo kwa mbeleko.
Hii imepelekea wengi kuwa na hali ya kutojiamini na kuona wanadharaulika eti kwakuwa wao ni wanawake lakini kiuhalisia wanadharaulika baada ya kuonekana wengi kichwani ni weupe.
Na madhara haya yametapakaa katika kila idara na katika ngazi nyingi za kiutawala tumejikuta tunaongozwa na wasio na sifa.
Nadhani yatengenezwe mazingira kuwe na ushindani wa haki na kila mtu apate anachostahili kuliko kuongeza idadi ya wanawake wengi kwenye nafasi mbalimbali bila kujali ubora wa hao wanawake wanaopewa hizo nafasi.
Mkuu tumefika mahali pabaya sana. Ipo siku wanaume wataanza kunyanganywa mali na kupewa wanawake ilmradi tu kutafuta usawa kwa njia zozote, hata za haramu. Nchi inaendeshwa kwa misingi ya kijuha na mijitu imekaa kimya. Tutaangamia sote kwa pamoja!
 
Mkuu tumefika mahali pabaya sana. Ipo siku wanaume wataanza kunyanganywa mali na kupewa wanawake ilmradi tu kutafuta usawa kwa njia zozote, hata za haramu. Nchi inaendeshwa kwa misingi ya kijuha na mijitu imekaa kimya. Tutaangamia sote kwa pamoja!
Huwa tunazipokea sera nyingi na kuziingiza katika utekelezaji bila kufanya upembuzi yakinifu juu ya madhara ya muda mfupi na mrefu wa utekelezaji wa sera hizo.
Tunaamini kila kinachosemwa na ngozi nyeupe ni sahihi bila kuangalia uhalisia wa mahitaji yetu kama Taifa
 
Sasa upendeleo wa nini kwenye elimu wakati wanataka haki sawa! Siyo sawa kabisa kwanza ni kulemaza mtoto wa kike mbona zamani huo ujinga haukuwepo na tulifaulu! Hata hivyo viti maalum vya wabunge inafaa vifutwe.
Uko sawaaah.
 
Andiko zuri sanaaa na nimelipenda buree.
Ila hoja no 3 haipaswi kuwepo, tena hao mashoga ndo wanapigwa vita kabisaaa.

Kuanzia mtaani, mashuleni, had kazini, hata ajira zenyewe hawapewi hata km wanakidhi vigezo.

Muwapumzishe mashoga jamani, mbna wanapambana na life kivyao na hawapendelewi wala kubebwaaa, huko kwa straight pambaneni wenyewe wanaume kwa wanawake, Gays mnawaonea bureee.
 
Huwa tunazipokea sera nyingi na kuziingiza katika utekelezaji bila kufanya upembuzi yakinifu juu ya madhara ya muda mfupi na mrefu wa utekelezaji wa sera hizo.
Tunaamini kila kinachosemwa na ngozi nyeupe ni sahihi bila kuangalia uhalisia wa mahitaji yetu kama Taifa
Ni kweli mkuu. Ona sasa baada ya wazungu kushindwa kuingiza ushoga wao kwenye mitaala sasa wameamua kuiingiza ushoga huo kupitia ubaguzi wa ufaulu. Nchi hii ina wafanya maamuzi wenye akili finyu sana na kama tukiendelea namna hii tutaishia pabaya sana.
 
Hiyo ndo Equity sasaa...wanawake walichelewa sana kipindi mababu zetu wakisema mtoto wa kike ni wakulea familia.
Kwani sasa inatakiwa wanaume ndio wazae na kulea familia au unataka kusemaje mkuu?
 
Andiko zuri sanaaa na nimelipenda buree.
Ila hoja no 3 haipaswi kuwepo, tena hao mashoga ndo wanapigwa vita kabisaaa.

Kuanzia mtaani, mashuleni, had kazini, hata ajira zenyewe hawapewi hata km wanakidhi vigezo.

Muwapumzishe mashoga jamani, mbna wanapambana na life kivyao na hawapendelewi wala kubebwaaa, huko kwa straight pambaneni wenyewe wanaume kwa wanawake, Gays mnawaonea bureee.
Mkuu, wazungu wana mbinu nyingi. Baada ya kuona ushoga wao unapigwa vita mashuleni wametafuta mahali pengine pa kuupenyeza. Inauma sana.
 
Tofauti na hoja ya viti maaluma huna hoja nyingine yoyote ya msingi.

Kuhusu wanawake kupata nafasi za upendeleo katika masomo ni sahihi kwa sababu jamii nyingi hasa za vijijini hazikuthamini masomo kwa mtoto wa kike kwa muda mrefu hivyo serikali inachofanya ni kusahuhisha hiyo injustice ya muda mrefu. Kuna visa vya watoto wa kike wanaambiwa wafeli mitihani ya darasa la saba makusudi ili waolewe.
Hhiyo sio hoja impact yake kwa mbeleni ni mbaya huwezi kuwacha vijana wa kiume waliofaulu vizuri kisa uchukue mabinti wenye ufauli wa wastani ili ubalance.
Dunia haiwezi kuwa na milinganyo sawia itakuwa hivyo mwaka mwisho wake-ME & KE hawawezi wote kuwa equal
 
Hhiyo sio hoja impact yake kwa mbeleni ni mbaya huwezi kuwacha vijana wa kiume waliofaulu vizuri kisa uchukue mabinti wenye ufauli wa wastani ili ubalance.
Dunia haiwezi kuwa na milinganyo sawia itakuwa hivyo mwaka mwisho wake-ME & KE hawawezi wote kuwa equal
Watu wasioweza kuona mbali wanaona sio hoja lakini wakielimishwa wataelewa.....wengine ni slow learners.
 
Tunachokitengeneza kama taifa tutakipata. Ni hatari sana kupata wataalam waliopata nafasi kutokana na jinsia zao na sio uwezo
Hawa ndio wale wakifika chuo kikuu wanapewa digrii za chupi. Tunalibomoa taifa kijuha huku tukichekelea kama mazuzu.
 
Hhiyo sio hoja impact yake kwa mbeleni ni mbaya huwezi kuwacha vijana wa kiume waliofaulu vizuri kisa uchukue mabinti wenye ufauli wa wastani ili ubalance.
Dunia haiwezi kuwa na milinganyo sawia itakuwa hivyo mwaka mwisho wake-ME & KE hawawezi wote kuwa equal
Chukulia kama sheria mpya ya mpira ya FIFA kuleta usawa katika mchezo uwanjani. Timu moja inaongoza 2-0 dhidi ya timu nyingine kwa hiyo wachezaji wake wanajiangusha na kujifanya wameumia kila mara ili kupoteza muda, Refa anazihesabu hizo dakikia zote zilizopotezwa na anazioongeza baada ya zile 90 hata kama zitafika 120. Hapo refa anakuwa habalance ili timu iliyofungwa ipate goli bali anawatendea haki tu.

Mfano mwingine ni sheria ya goli la ugenini,

Mfano mwingine ni financial fair play ambayo imefanya Juventus kunyang'anywa pointi 10. Sio kwamba Seria A wanataka Juventus iwe sawa na vilabu vingine bali wanataka uwanja wa ushindani uwe sawa kwa timu zote.

Mifano ni mingi sana ili nimewapa hii michache mepesi muelewe mapema.
 
MAONI YANGU
Huu upuuzi unafanyika nchini Tanzania tu. Kama kuna nchi yoyote hapa ulimwenguni inafanya ushirkina huu, niite umbwa mimekaa paleee! Haijawahi kutokea tukawa na upendeleo wa kielimu wa aina hii katika nchi hii. Upendeleo wa kipuuzi kama huu unapaswa kuishia kwenye siasa. Wewe fikiria binti kapendelewa hadi amekuwa daktari. Je, huko mtaani atakuwa anatibu wagonjwa wa upendeleo wenye magonjwa ya upendeleo? Hii ni hatari sana.
Hakuna UPENDELEO....watoto wa kike wanaweza.....kosa ni kuwekewa mazingira mazuri kinyume na vikwazo walivyokuwa wanawekewa huko nyuma?!!!!
 
Hakuna UPENDELEO....watoto wa kike wanaweza.....kosa ni kuwekewa mazingira mazuri kinyume na vikwazo walivyokuwa wanawekewa huko nyuma?!!!!
Vikwazo gani tena wakati wote wanasomea katika mazingira sawa na mtaala ni mmoja mkuu?
 
Chukulia kama sheria mpya ya mpira ya FIFA kuleta usawa katika mchezo uwanjani. Timu moja inaongoza 2-0 dhidi ya timu nyingine kwa hiyo wachezaji wake wanajiangusha na kujifanya wameaumia kila mara ili kupoteza muda, Refa anazihesabu hizo dakikia zote zilizopotezwa na anazioongeza baada ya zile 90 hata kama zitafika 120. Hapo refa anakuwa habalance ili timu iliyofungwa ipate goli bali anawatendea haki tu.

Mfano mwingine ni sheria ya goli la ugenini,

Mfano mwingine ni financial fair play ambayo imefanya Juventus kunyang'anywa pointi 10. Sio kwamba Seria A wanataka Juventus iwe sawa na vilabu vingine bali wanataka uwanja wa ushindani uwe sawa kwa timu zote.

Mifano ni mingi sana ili nimewapa hii michache mepesi muelewe mapema.
Mfano huu wa 2-0 sio halisia hata kidogo mkuu. Chukulia muda haujapotezwa, timu zote mbili zimecheza kwa muda sawa lakini baada ya refa kupuliza kipenga cha mwisho, TFF wanawapa magoli mawili timu iliyoshindwa kihalali uwanjani bila sababu yoyote.....matako yanakuwa 2-2. Hii ni haki?
 
Back
Top Bottom