T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 12,362
- 41,886
Ila inatembeza mabakuri nje kuomba hela za kujengea vyoo.🗑️🗑️🗑️🗑️ Tanzania haifanyi biashara ya kuuza Manamba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila inatembeza mabakuri nje kuomba hela za kujengea vyoo.🗑️🗑️🗑️🗑️ Tanzania haifanyi biashara ya kuuza Manamba.
Labda mkafanywe mashogaNi ukweli kabisa, mimi nikiwa tayari kabisa kwenda Israel na kuwa kibarua kwenye mashamba ya Wayahudi hao wa mashariki ya kati,
Kwa mshahara wa 4M!! Usinitanie bhana!
Nawasemea vijana lukuki wa Kitanzania na ambapo wengine wakiwa maofisini na wengine mitaani wakihangaika kutafuta ajira wasipate, huku walioko maofsini wakilipwa mshahara kidogo ukilinganisha na mshahara wa kibarua wa mashamba huko Israeli
Mh Rais, unapoamua maamzi haya, ni kutusaidia sisi vijana ili kujipatia kipato, kujijenga kiuchumi na kuijenga nchi yetu.
Kama tunakopa na ili tufanye maendeleo, maana yake ni kwamba, bado tupo chini ya mataifa hayo tunayoyakopa na hatujajikomboa kutoka katika hali ya umasikini.
Kwa mantiki hiyo, unapotoa fursa hiyo kwa vijana, ni umetoa nafasi ya wao kujikomboa kutoka kwenye umasikini wao.
Huo sio utumwa, maana hata hapa nchini, kazi za kufanya kazi ya mashamba ya watu ipo na inaendelea.
Kama kufanya kazi kwenye mashamba ya wayahudi hao ni utumwa, vipi wale wanaofanya kazi hizo hizo kwenye mashamba ya waswahili wenzao na kwa malipo kidogo!
Binafii, nipo tayari hata ikiwa ni leo usiku.
Bora kufia gaza ukitafutaNendeni mpelekwe Gaza kama jeshi la kukodi mkateketee halafu ndugu zenu waje humu kutufanyia fuji
Kwa makasiriko haya hapa, ungelikuwa umeyafanya kipindi Chadema wanashinikiza maandamano, tungekuwa tumeshapata dai lako mkuu,Badala ya kumuomba Rais aharakishe zoezi la Upatikanaji wa Katiba Mpya pamoja na kurekebisha sheria zote za nchi hii ili kuweka Mazingira mazuri na wezeshi ya watu kuweza kujiajiri wao wenyewe au kuajiriwa kwa urahisi hapa hapa nchini, wewe unaomba kupelekwa utumwani Israel.!! Akili mbovu za namna hii zitaondoka lini kwa vijana wa Tz???? Hakuna nchi hata moja hapa duniani ambayo imeendelea kwa bahati mbaya.
Mapinduzi ya Fikra yanahitajika sana kwa Watanzania ili tutoke hapa tulipokwama.
Mkuu 'Nsanzagee', mimi sikulaumu wewe kwa maoni yako uliyo wasilisha kwenye mada yako; pamoja na kwamba msingi wa mada hiyo sikubaliani nao.Kama tunakopa na ili tufanye maendeleo, maana yake ni kwamba, bado tupo chini ya mataifa hayo tunayoyakopa na hatujajikomboa kutoka katika hali ya umasikini.
Mama yakoMfanyaji ni wewe??
😢😢Kwa hiyo, sikulalamikii wewe katika msimamo wako wa kutaka kwenda kuwa kibarua. Ninawalalamikia hao wanaokunyima fursa ili usijitoe kwenda kuwa manamba. Na ninakuomba hili ulifikiri vizuri hata wakati ukiwa huko Israel
Ahaaa, kumbe tatizo lako lipo hapa? Wewe ni CHAWA?Kwa sasa, vijana tunamuomba Rais wetu atoe kibari twende Israel, mengine fanya wewe
Siku zote mtu mwenye akili kisoda na aliyepigwa kimaisha, hatuhangaiki kuwajua watu hao,Mama yako
Nza kwa kuacha kujitoa akili kichwani, kudhani kwamba ni huyo Rais ndiye kila kitu katika maisha yako😢😢
Mkuu, yatosha tu, sasa tufanyeje?
Hizi ni fikra zako, naziheshimu piaAhaaa, kumbe tatizo lako lipo hapa? Wewe ni CHAWA?
HOVYO KABISA! Kila kitu ni Rais kafanya hivi, Rais afanye hivi; hata ukitaka kwenda msalani unaanza kumfikiria Rais kama atakuruhusu. Hili limekuwa taifa la kipumbavu kwelikweli.
Hayo maneno lamsimuloe baba yakoSiku zote mtu mwenye akili kisoda na aliyepigwa kimaisha, hatuhangaiki kuwajua watu hao,
Mfano mdogo tu, mama yangu kaingiaje hapo mkuu
Mimi sikulaumu na hutoona tusi lolote kutoka kwangu, halafu tuone utavuna pesa kiasi gani kwa kutukana watu
Mwambie shangazi yakoMsongo wa mawazo utukuuwa kabla ya muda wako, jitahidi kunywa maji mengi na upate muda mwingi wa kupumzika
Hakuna inapotembeza bakuliIla inatembeza mabakuri nje kuomba hela za kujengea vyoo.