Buenos Aires
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 1,894
- 1,622
Usiwe muoga wa kifo mkuu, dunia hii ilishachukua mabilioni ya watu, kufa ni sehemu ya maisha ya mwanadamu
Utaugua nini wakienda wasiojitambua?? Na au utapungukiwa chochote?Ni mtu asiejitambua ndie ataenda kumtumikia myahudi. Mtu anauwa watoto, wamama, wazee halafu bado utatamani kumtumikia! Aise labda wayahudi weusi, kwa muislamu anaejitambua hawezi fanya hivyo
NitakutafutiaItafute Tena mkuu utupasie sie Bora nikafe Gaza nikiwa napambania malengo yangu kuliko kufa Tanzania na njaa Kali na likaratasi la degree kwenye tranka
Wrong.Do you think forced idleness inahitaji siasa na sera zaid kuliko action?. Waache vijana wakasake yanayowezekana Leo na kesho. Hili la mabdiliko ya kweli kisiasa intkiwa liwe ngaz ya chama kwenye makaratas na maelezo, sio la Leo Wala kesho
Ni mtu asiejitambua ndie ataenda kumtumikia myahudi. Mtu anauwa watoto, wamama, wazee halafu bado utatamani kumtumikia! Aise labda wayahudi weusi, kwa muislamu anaejitambua hawezi fanya hivyo
Wayahudi wakiongeza mshahara hadi $3000 na mimi nimo.Ni ukweli kabisa, mimi nikiwa tayari kabisa kwenda Israel na kuwa kibarua kwenye mashamba ya Wayahudi hao wa mashariki ya kati,
Kwa mshahara wa 4M!! Usinitanie bhana!
Nawasemea vijana lukuki wa Kitanzania na ambapo wengine wakiwa maofisini na wengine mitaani wakihangaika kutafuta ajira wasipate, huku walioko maofsini wakilipwa mshahara kidogo ukilinganisha na mshahara wa kibarua wa mashamba huko Israeli
Mh Rais, unapoamua maamzi haya, ni kutusaidia sisi vijana ili kujipatia kipato, kujijenga kiuchumi na kuijenga nchi yetu.
Kama tunakopa na ili tufanye maendeleo, maana yake ni kwamba, bado tupo chini ya mataifa hayo tunayoyakopa na hatujajikomboa kutoka katika hali ya utumwa wa kiumasikini
Kwa mantiki hiyo, unapotoa fursa hiyo kwa vijana, ni umetoa nafasi ya wao kujikomboa kutoka kwenye umasikini wao.
Huo sio utumwa, maana hata hapa nchini, kazi za kufanya kazi ya mashamba ya watu ipo na inaendelea.
Kama kufanya kazi kwenye mashamba ya wayahudi hao ni utumwa, vipi wale wanaofanya kazi hizo hizo kwenye mashamba ya waswahili wenzao na kwa malipo kidogo!
Binafisi, nipo tayari hata ikiwa ni leo usiku.
Yote ni sawa, kuoza ni kulekule.Tatizo utakufa vipi? Ukifa ukiwa muislamu mwenye kufanya ibada hapo sawa. Ukifa nje ya uislam hapo ndio shida
Upo tayari kuishi bila kula nguruwe?Ni ukweli kabisa, mimi nikiwa tayari kabisa kwenda Israel na kuwa kibarua kwenye mashamba ya Wayahudi hao wa mashariki ya kati,
Kwa mshahara wa 4M!! Usinitanie bhana!
Nawasemea vijana lukuki wa Kitanzania na ambapo wengine wakiwa maofisini na wengine mitaani wakihangaika kutafuta ajira wasipate, huku walioko maofsini wakilipwa mshahara kidogo ukilinganisha na mshahara wa kibarua wa mashamba huko Israeli
Mh Rais, unapoamua maamzi haya, ni kutusaidia sisi vijana ili kujipatia kipato, kujijenga kiuchumi na kuijenga nchi yetu.
Kama tunakopa na ili tufanye maendeleo, maana yake ni kwamba, bado tupo chini ya mataifa hayo tunayoyakopa na hatujajikomboa kutoka katika hali ya utumwa wa kiumasikini
Kwa mantiki hiyo, unapotoa fursa hiyo kwa vijana, ni umetoa nafasi ya wao kujikomboa kutoka kwenye umasikini wao.
Huo sio utumwa, maana hata hapa nchini, kazi za kufanya kazi ya mashamba ya watu ipo na inaendelea.
Kama kufanya kazi kwenye mashamba ya wayahudi hao ni utumwa, vipi wale wanaofanya kazi hizo hizo kwenye mashamba ya waswahili wenzao na kwa malipo kidogo!
Binafisi, nipo tayari hata ikiwa ni leo usiku.
Mazayuni hawamtambui Yesu.Sasa wewe ni mwislamu na muoga wa kufa, huko unakokutarajia ufike unamashaka nako? Si kwa uwoga huo mkuu
Ukiwa unamashaka na uendako, Uje kwa Yesu, hatuna mashaka, ukifa katika Yesu, ni moja kwa moja kwa muumbaji wako mkuu
Mazayuni hawamtambui Yesu.
Kama ambavyo mimi simtambui mbakaji na mlawiti wa watoto Muddy(57) mme wa Bi. Aisha(9) na allah lile jiwe jeusi wanalolichunguliaga pale macca mungu wa kikuresh.Dadangu Ustadhina Faiza......Kuna wengine hawamtambui Budha.....Wengine Branman....Vishnu....Shiva......Wengine hata Allah na Mtume wake Mohammed....Hivyo isikushangaze Mazayuni wasipomtambua Yesu......wao ni kama 15 Million wakati dunia ina watu kama 8 Billion...!!
Mambo ya imani hayajalishi nani anamtambua nani.....!
Ni mtu asiejitambua ndie ataenda kumtumikia myahudi. Mtu anauwa watoto, wamama, wazee halafu bado utatamani kumtumikia! Aise labda wayahudi weusi, kwa muislamu anaejitambua hawezi fanya hivyo
Haya bwana mkifika huko muungane nao kuwasaidia vitani, ila Hamas wakifanya yao wasije ndugu zenu kulialia humu.
God bless Hamas
God bless Palestinian
Umelishwa imani ya Kiarabu kwa upanga ukashiba, ukaambiwa kule ni kibra, ukajibu sawasawa, hongera sana, in secret mind, wanatucheka sana.Tatizo utakufa vipi? Ukifa ukiwa muislamu mwenye kufanya ibada hapo sawa. Ukifa nje ya uislam hapo ndio shida
TANZANIA, ni nchi yenye watu wenye upeo mkubwa sanaDadangu Ustadhina Faiza......Kuna wengine hawamtambui Budha.....Wengine Branman....Vishnu....Shiva......Wengine hata Allah na Mtume wake Mohammed....Hivyo isikushangaze Mazayuni wasipomtambua Yesu......wao ni kama 15 Million wakati dunia ina watu kama 8 Billion...!!
Mambo ya imani hayajalishi nani anamtambua nani.....!