Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 8,939
- 10,403
Acha uwongo wa kutumia jina la JPM vibaya.Hapana Mkuu.
Mabadiliko popote Duniani yanafanywa na mtu mmoja mwenye roho ya kutaka mabadiliko ya kitu Fulani. Kundi la watu Haliwezi kufanya mabadiliko.
JPM alifanya mabadiliko makubwa sana Kwa muda mfupi.
Mpaka Sasa JPM ndiye aliyewafumbua macho watanzania kujua kuwa Kuna wizi kila mahali mpaka kwenye vyama vya siasa .
JPM alithubutu sana . Ukweli ni kwamba kama angefanikiwa kukaa madarakani Kwa miaka 20 , hii nchi inekua na mabadiliko makubwa sana.
Kagame angekegea Rwanda ingekua kama Burundi lakini mtu mmoja amesinamia kile alichokiamini.
Yesu , Muhamadi ,Musa walita Mageuzi Kwa maelekezo yao bila kubagain na mtu.
Mtu mmoja inaweza kupatikana hata mwezi ujao Kwa Tamko la mtu mmoja TU,Dr. Samia Suluhu Hassan.
Mtu mmoja TU anaweza akavuna Baraza la Mawaziri na kutengua mabalozi wote na maDC na maRC Kwa usiku mmoja.
Mungu anapotoa Kiongozi au Mtawala wa nchi basi ujue anadimama badala ya Mungu katika kutenda haki .
Ni mtu mmoja TU.
Wizi ulikuwepo hata kabla. Na waTanzania walijua. Tena yeye aliiba 1.5T ambayo haikuwahi kuibwa na syndicate yoyote.
Zaidi JPM angetaka kuleta mabadiliko angeanzia kwenye kanuni, taratibu na sheria. Alishindwa. Alichoweza ni kujiona Bora na kutaka kujilimbikizia Madaraka. Yaani angeendelea kubaki pale Kila kitu nchi kingeitwa kwa jina lake. Hadi ubini wako ungebadilika.
Mtaka yote kwa pupa hukosa yote!
Sasa hivi yupo panapomstahiki!
Waliomvimbisha kichwa wanampigia mwingine makofi!