Kanyaga twende kwenda Shimoni. Sawa twende tuKama kwenye awamu yenu mmeshindwa kuendesha bandari kwa nini muashumu kwamba vizazi vyote hawataweza kwa kusaini mkataba wa milele?
Sawa baada ya kuuzwa kwa WaarabuWatu mna hofu ya kuto kujua mambo mtajua baadae
Ogopa sana mtu ajiita mwekezaji ,tembeza rushwa ili kupata anachokitaka, jua hapo hamna kituKama kwenye awamu yenu mmeshindwa kuendesha bandari kwa nini muashumu kwamba vizazi vyote hawataweza kwa kusaini mkataba wa milele?
Alikuuza wewe
Au umekunywa gongo
Yaleyaleeee... Tumecheleweshwa mnoo, hasa CDM wametulewesha san!!!Watanzania ni watu wenye hofu na mabadiliko
Ilipokuja mwendokasi walipinga
Tukaja na bwana la Nyerere walipinga
Tukaja na sgr walipinga
Sasa ni zamu ya bandari nayo wanapinga
Rais Samia kanyaga twende tumechelewa sana nchi hii inahitaji kupata maendeleo
Prof mbarawa na feleshi mkubali mmekosea swala la ukomo mlitakiwa muweke kwenye mkataba kwa kipengele cha ..to be renewed baada ya miaka kadhaa pia swala la specification nini hasa kinaenda kufanyika mlitakiwa mseme
Najua Rais Samia amerekebisha na sasa ni kazi juu ya kazi
Rais Samia Kanyaga twende
Wakenya mmeumizwa sana na swala hili kwa vile mnajua bandari yenu ya Lamu, Mombasa itadoda.Rais anayeuza nchi kwa waarabu hawezi kuwa na uhalali wa kuitwa kiongozi
Wakenya wana hasira sana kwa kweli na maendeleo ya TanzaniaWakenya mmeumizwa sana na swala hili kwa vile mnajua bandari yenu ya Lamu, Mombasa itadoda.
Pigeni kelele lkn haitasaidia. Litapita kama lilivyopita lile la Loliondo.
Wakenya mmeumizwa sana na swala hili kwa vile mnajua bandari yenu ya Lamu, Mombasa itadoda.
Pigeni kelele lkn haitasaidia. Litapita kama lilivyopita lile la Loliondo.