Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 7,799
- 14,215
Hasira zao hazitasaidia kitu, kwani serikali yetu imeshaamua kile inachoona ni sahihi kukifanya bila kusikiliza kelele wachumia tumbo wa nchini na nje ya nchi.Wakenya wana hasira sana kwa kweli na maendeleo ya Tanzania