Rais Samia kasafiri na kundi kubwa la watu, kodi za Watanzania zinatumiwa vibaya

Sio ndio vzr? Kusafirisafiri kwa viongozi huleta uhusiano Mzuri kimataifa.

Naona safari hii maisha yamekuwa nafuu mara baada ya mwenye Roho mbaya kuondoka ambaye hakutaka kusafiri, ambaye alikuwa anawanyanyasa watanzania ambaye.
Mwiba huu kwa wanafiki kaka.
 
Hatima ya Samia Hassan anajua iko mikononi mwa wana CCM. Ameanza kuwahonga vi ulaji ulaji kama hivi.

Lakini bado kuna visiki vinamsubiri kwa udi na uvumba. Mtu ka Askofu utamhonga na kisafari cha ndege, jitu lina ndege yake mwenyewe ?
 
Mwendazake alikuwa na tatizo la kutesa wapinzani, huyu wa sasa anatapanya mali mno
 
Mwendazake alikuwa na tatizo la kutesa wapinzani, huyu wa sasa anatapanya mali mno
Mama anafungua nchi ili sisi bavicha tulionewa sana na yule dhalimu tufaidi!

Alisika taahira mmoja toka ufipa
Kwa taaarifa yako huyo mwendazake hata wanaccm wapo waliokuwa wanamlalamikia, huoni shaka alipigwa chini kwa rushwa halafu mama kamrudisha
 
Hatima ya Samia Hassan anajua iko mikononi mwa wana CCM. Ameanza kuwahonga vi ulaji ulaji kama hivi.

Lakini bado kuna visiki vinamsubiri kwa udi na uvumba. Mtu ka Askofu utamhonga na kisafari cha ndege, jitu lina ndege yake mwenyewe ?
Yaani porn star amsumbue raisi? Nehi
 
Siku ndege ikienda fanyiwa repair lazima ma airhostess hata 20 watakuwemo kwenye msafara. Perio
 
Hapo kuhusu usafiri hata angeenda mmoja bado gharama mafuta ya atcl ingekuwa ile ile tu. Labda kwenye malazi na kula. Watanzania tuache chuki zisizo na msingi .nyie ndio mmeona hiyo safari ndio inafanya maisha ya watanzania ndio yanakuwa magumu. ????????? Au kuna lingine mnalificha huko mioyoni kwenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…