Ime
Ha ha haa..nimeongeza siku za kuishiSafi sana mama anarudisha uhusiano wa kinataifa ulio potea. Pia hao CCM wanaenda kunifunza jinsi chama kikuu kilivyopoteza madaraka hii ni good move.
Alafu hao wati wote watalipwa per diem kwahiyo mzunguko wa fedha utaongezeka mtaani