Mleta mada sidhani km una akili timamu!! wabongo kwa kodi gani mnayolipa?? mnayo lilia eti kodi yenu? imetoka wapi bila Mama kutembeza kopo??!! mnamchango gani hapa Duniani nyie wabongo??
mnauza nini kwa soko la kimataifa?? mmebakia kupakuana tuuuuu!! mpaka mnaongoza kwa ukimwi Duniani ajili ya kupakuana!! wenzenu wanaongoza kutengeneza sayari za juu pawe makao bora, nyie mnalilia vikodi utoporo?
Hivi mnajua kuwa nyie ni riziki? aibu sana mpaka wazee wazima na ndevu zenu mkaombwa tako! na hao wanao wapa hela tena waziwazi mchana kweupeee eti muolewe!!! mweee! ndiyo alisema ...
waziri yulee mkuu wa Uingereza!! hapo Mkalia!! lia! weeee!!! km yatima, hata kauli hakufuta mpaka leo!! kwa nini hamkumpiga beat kali akome km mna jeuri?? sasa Mama asitembeze kopo mtakula nini?? lazima wamjue!! hao alio nao ndo atawatuma huko!!
Sasa Mama kawategea kopo weee! ili muende chooni!! na amewamegea mnaanza kulia Oooh! kodi zetu? ...zipi? km ni hela siyo zenu mnapewa! mnapokea tu bila aibu, hata hamjui zinatoka wapi mleta mada zinatoka wapi hela nijibu faster usiibie!!
Angalia , Maji, juice,nyama,ugali,nk mama weee niseme nini vyooote hivi vinatoka kwa hao!! alio enda kujinadi kwao!! bila hao kukupa mashine ya kusga unga huliiiii...... eti sasa hamtaki yaani mkiambiwa nyi ni hyawani, nyani mnalia weeeee!!
mnapokea km shoga yeyote yule alie tayari kutoa nyaa!!mbona hamkatai??! nyie mnampatia nani?? nini?? na wapi? haya basi mjitegemee! hamtaki! mwee! sasa mnahamia kwa Mama wa watu anawasaidia lengo lake ni ili
Mle!! muishi kama watu, bado mnalia lia tuuu!! kodi zenu zipi? hivi mnataka nini nyie mbwaa! lazima tu mtashikwa makalio!! mda utasema na hivi mna uchoyo na mnavopenda hela?? heeee!!
Jiwe wa watu!! aliona misaada ni ujinga huu, kizee kikapigika usiku na mchana haya ngoja tufanye kazi tujitegemee!! mme mfloatisha tena maksudi tu! huyuu mzee kalala! mlisema Oooh!! anaogopa kwenda nje! hajui kiingredha!! nyie watu???
Mwanaume kamili alikuwa Nyerere tu!! Baaasi!!! huyu alikomaa kivyake na ndg zake wa South mwanzo mwisho, na alijitegemea kwa viwanda vingi nchini, ebu fikiria mpaka nyama tulisindika zetu wenyewe!! viatu,mavi pia ilikuwa mali!! tuliuza km mbolea!
siku akishika chizi km Idd amini mtakoma