Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 28,916
- 40,479
Na nani?“Anashauriwa” vibaya [emoji1787].
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na nani?“Anashauriwa” vibaya [emoji1787].
Mwiba huu kwa wanafiki kaka.Sio ndio vzr? Kusafirisafiri kwa viongozi huleta uhusiano Mzuri kimataifa.
Naona safari hii maisha yamekuwa nafuu mara baada ya mwenye Roho mbaya kuondoka ambaye hakutaka kusafiri, ambaye alikuwa anawanyanyasa watanzania ambaye.
Kuna mambo mengine madogo hata hayaitaji ushauri chief.Naunga mkono hoja. Raisi ashauriwe vizuri juu ya gharama za safari zake, ili haya yasijirudie tena kwa safari zingine zijazo.
Mwendazake alikuwa na tatizo la kutesa wapinzani, huyu wa sasa anatapanya mali mnoMbona wachache Sana hebu ongeza na wake zao watoto michepuko na walinzi achilia mbali watu wa usafi , kuandaa malazi, watu wa afya, protocol,food testers na nk
Huyu wanachadema wenzagu anatufuta machozi baada ya JPM kuwa hasafiri anafungua nchi ilikuwa kisiwa
USSR
Mwendazake alikuwa na tatizo la kutesa wapinzani, huyu wa sasa anatapanya mali mnoMbona wachache Sana hebu ongeza na wake zao watoto michepuko na walinzi achilia mbali watu wa usafi , kuandaa malazi, watu wa afya, protocol,food testers na nk
Huyu wanachadema wenzagu anatufuta machozi baada ya JPM kuwa hasafiri anafungua nchi ilikuwa kisiwa
USSR
Kwa taaarifa yako huyo mwendazake hata wanaccm wapo waliokuwa wanamlalamikia, huoni shaka alipigwa chini kwa rushwa halafu mama kamrudishaMama anafungua nchi ili sisi bavicha tulionewa sana na yule dhalimu tufaidi!
Alisika taahira mmoja toka ufipa
Yaani porn star amsumbue raisi? NehiHatima ya Samia Hassan anajua iko mikononi mwa wana CCM. Ameanza kuwahonga vi ulaji ulaji kama hivi.
Lakini bado kuna visiki vinamsubiri kwa udi na uvumba. Mtu ka Askofu utamhonga na kisafari cha ndege, jitu lina ndege yake mwenyewe ?
Leo Hii Kawa Hasara Wakati Anaingia Mlisema Nchi Imepona? Udikiteta Umeondoka [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yaani kusema ukweli huyu mwanamke ni hasara kabisa.
Kumchekesha mwenyekiti[emoji848]Nimejiuliza Umuhimu wa Mbunge Kama wa Mtera, Ana Umuhimu ganj kwa safari Kama hiyo?
Nilijua ni empty ila leo nimeongezea hiyo kabisaaaa mkuuMkuu ndio leo umejua kuwa mama wa kambo ni hewa? Haya bana.
Wa CCM wa nini?Kwenye Sherehe ya kuapishwa Kiongozi wafanyibiashara wa nini mkuu? Au unafikiri kule Kutakuwa na kikao?
Wa CCM wa nini?Wafabiashara wann umeambiwa anakwenda kuhudhuria sherehe za uapisho.
AhahahahaaaaAnajikombe 2025 wampitishe ndio atajua hajui
Yaaaan 🤣🤣🤣..katika bunge zima ameona Livingstone Lusinde ndio anafaa kuwepo ktk msafara wa kwenda Zambia!🤣
Wao awalipi kodi KILA kitu bure uchungu utoke wapiOna huo msururu jamani. Halafu mzigo unakuja kurudi kwa watanzania kulipa kodi lukuki.