orturoo
JF-Expert Member
- Mar 13, 2017
- 2,947
- 4,876
Maandiko yalishatuweka wazi mapema tuushi nao kwa akili ila matokeo yake tumeenda kuziba shimo la panya kwa mkate,toka wale 19 wageuke nimekosa imani na wanawake ,delila ni delila tuuYaani kusema ukweli huyu mwanamke ni hasara kabisa.