Fedor von Bock
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 2,321
- 2,157
Ona huo msululu jamani. Halafu mzigo unakuja kurudi kwa watanzania kulipa kodi lukuku.
Wote ni wana vyeo ccm nadhani chama kita walipia
NOTE
Wanawapeleka akina shaka lusinde et al, ili wakajifunze kwanini chama dola kimeangushwa ili wakirudi wamkabili mpinzani. Huo msafara ni wa makada