Rais Samia kasafiri na kundi kubwa la watu, kodi za Watanzania zinatumiwa vibaya

Rais Samia kasafiri na kundi kubwa la watu, kodi za Watanzania zinatumiwa vibaya

Ona huo msululu jamani. Halafu mzigo unakuja kurudi kwa watanzania kulipa kodi lukuku.

Kichekesho ni jana kasema timu ya olimpiki ilikuwa na viongozi wengi kuliko wanamichezo, lakini yeye leo yuko kwenye safari ya kiserikali na wanaccm ni wengi kuliko viongozi wa serikali? Hapo wazungu wanaachaje kuendelea kutuita manyani kwa mfano?
 
Mbaya zaidi kiongozi wa serikali ni mmoja tu, wa ccm ndio wametawala hii ni ziara ya kichama na sio kiserikali... Mama ameweka mbele maslahi ya chama chake kuliko serikali! Nilitegemea kama kuongozana na watu angeongozana na watalaam na baadhi ya wafanyabishara ila leo nimejua mama ni empty kabisa

Mkuu ndio leo umejua kuwa mama wa kambo ni hewa? Haya bana.
 
Wanakwenda kuteta usijue! Wanakwenda kujifunza kwa kushuhudia namna kupoteza madaraka kama ilivyotokea kwa PF kunavyokuwa, ujue! Au, pengine hata amewabeba washauri wake apate maoni yao kuhusu mpango wake wa kuvunja Baraza la Mawaziri na kuuunda baraza jipya!?
 
Sio ndio vzr? Kusafirisafiri kwa viongozi huleta uhusiano Mzuri kimataifa.

Naona safari hii maisha yamekuwa nafuu mara baada ya mwenye Roho mbaya kuondoka ambaye hakutaka kusafiri, ambaye alikuwa anawanyanyasa watanzania ambaye.

Dhalimu hakutaka kusafiri kwenda nje ya maana kiingereza kilikuwa kinamsumbua. lakini safari zake za hapa nchini yalikuwa ni matumizi ya hovyo ya pesa za wananchi. Usidhani hatuna uwezo wa kutofautisha matumizi sahihi ya pesa za umma.
 
Mbona wachache Sana hebu ongeza na wake zao watoto michepuko na walinzi achilia mbali watu wa usafi , kuandaa malazi, watu wa afya, protocol,food testers na nk

Huyu wanachadema wenzagu anatufuta machozi baada ya JPM kuwa hasafiri anafungua nchi ilikuwa kisiwa

USSR

Yaani blunder za mama wa kambo ndio unataka kumsafishia yule dhalimu? Dhalimu atabaki kuwa dhalimu, huku mama wa kambo akiendelea kutokuwa mama.
 
AAAAWf.jpg
 
Kichekesho ni jana kasema timu ya olimpiki ilikuwa na viongozi wengi kuliko wanamichezo, lakini yeye leo yuko kwenye safari ya kiserikali na wanaccm ni wengi kuliko viongozi wa serikali? Hapo wazungu wanaachaje kuendelea kutuita manyani kwa mfano?
Ndio maana ninasema ukiondoa mapungufu ya kibinadamu,kwenye mambo mengi MAGUFULI alikuwa sahihi
 
Dhalimu hakutaka kusafiri kwenda nje ya maana kiingereza kilikuwa kinamsumbua. lakini safari zake za hapa nchini yalikuwa ni matumizi ya hovyo ya pesa za wananchi. Usidhani hatuna uwezo wa kutofautisha matumizi sahihi ya pesa za umma.
Ndio maana nasema dhalimu aliyekuwa na kila uovu ameondoka. Furahini na kushangilia kwamaana aliyepo ni mtetezi wenu
 
Back
Top Bottom