Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sio ndio vzr? Kusafirisafiri kwa viongozi huleta uhusiano Mzuri kimataifa.
Naona safari hii maisha yamekuwa nafuu mara baada ya mwenye Roho mbaya kuondoka ambaye hakutaka kusafiri, ambaye alikuwa anawanyanyasa watanzania ambaye.
Ukiona nchi inategemea hisani au kumtumia Raisi ili kupata katiba mpya ujue hakuna kitu hapo na nchi ni kama kanisani kwa Gwajima tuu kila ugolo wanashangiliaMaza hamna kitu, tuna bahati mbaya sana. Basi walau wazalendo wamtumie tupate katiba mpya badala ya kumtumia kupiga per diem za safari za nje.
Hakuna shida tozo iongezwe ili tuweze kuwahhalamia sisi WANYONGE.Ona huo msululu jamani. Halafu mzigo unakuja kurudi kwa watanzania kulipa kodi lukuku.
Ndugu yangu watanzania ni kondoo, huo ndio ukwerii.Ukiona nchi inategemea hisani au kumtumia Raisi ili kupata katiba mpya ujue hakuna kitu hapo na nchi ni kama kanisani kwa Gwajima tuu kila ugolo wanashangilia
Anawaza 2025 hao ndio watakao mpanjia ndio mana anawaza kichama zaidi.Mbaya zaidi kiongozi wa serikali ni mmoja tu, wa ccm ndio wametawala hii ni ziara ya kichama na sio kiserikali... Mama ameweka mbele maslahi ya chama chake kuliko serikali! Nilitegemea kama kuongozana na watu angeongozana na watalaam na baadhi ya wafanyabishara ila leo nimejua mama ni empty kabisa
halafu tunategemea ATCL itatengeneza faida huku safari za abiria zinaairishwa huku ndege zinatumika kwa matumizi yasiyofaaOna huo msululu jamani. Halafu mzigo unakuja kurudi kwa watanzania kulipa kodi lukuku.
Mama anafungua nchi ili sisi bavicha tulionewa sana na yule dhalimu tufaidi!Leo nimekubali yule Mama hamna kitu. Yaani anasema tufunge mkanda lakini anabeba watu kibao kwenye pesa zetu za tozo?
Kabisa!Sio ndio vzr? Kusafirisafiri kwa viongozi huleta uhusiano Mzuri kimataifa.
Naona safari hii maisha yamekuwa nafuu mara baada ya mwenye Roho mbaya kuondoka ambaye hakutaka kusafiri, ambaye alikuwa anawanyanyasa watanzania ambaye.
Hii corona haiwapati akina mama?Rais Samia huku unatuletea matozo. Imagine hao wote unaosafiri nao kwenda Zambia kwa kodi za watanzania.
View attachment 1905055
Rais Samia huku unatuletea matozo. Imagine hao wote unaosafiri nao kwenda Zambia kwa kodi za watanzania.
View attachment 1905055
Tulia wewe jingaa....Ila mama anakera sana sio siri. Yaani ni bogas kabisa.
Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
Anaenda kama Mwenyekiti wa CCM au Rais wa Tanzania? Hapo Mtumishi wa Umma ni mmoja tu.Rais Samia huku unatuletea matozo. Imagine hao wote unaosafiri nao kwenda Zambia kwa kodi za watanzania.
View attachment 1905055
Subirini jamani ajenge uchumi. Mambo ya katiba yasubiri kwanza. Huoni hata huko alikokwenda ni kwenye harakati za kukuza uchumi? 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Maza hamna kitu, tuna bahati mbaya sana. Basi walau wazalendo wamtumie tupate katiba mpya badala ya kumtumia kupiga per diem za safari za nje.
Ni mjinga tu atakayedhani rais hana akili zake mwenyewe bali anategemea za kushauriwa.Naunga mkono hoja. Raisi ashauriwe vizuri juu ya gharama za safari zake, ili haya yasijirudie tena kwa safari zingine zijazo.
Wanaenda kujua , ni jinsi gani Rafiki yao alipigwa kibao funua , pamoja udhibitiwa KWA rais mpya na dola, ila Ngwara aliyopata Ndo INAKUJA tz ,Uganda n.k ni swala la mda tu,Rais Samia huku unatuletea matozo. Imagine hao wote unaosafiri nao kwenda Zambia kwa kodi za watanzania.
View attachment 1905055