Rais Samia kasafiri na kundi kubwa la watu, kodi za Watanzania zinatumiwa vibaya

Mpeleke mbowe gaidi akalipue umati wa sherehe

USSR
 
Yaani kusema ukweli huyu mwanamke ni hasara kabisa.
Inasikitisha sana, mama hana huruma kuteketeza mahela yote hayo kuhudhuria sherehe za kuapishwa tu. Kila mwaliko aenda yeye, sijui anaona shida gani kutuma mwakilishi hata mmoja kuliko kubeba timu yote hiyo kwa gharama za serikali. Sijui baada ya haya makodi na matozo watakuja na lipi tena, maana miradi bado mingi kuteketeza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…