Maandiko yalishatuweka wazi mapema tuushi nao kwa akili ila matokeo yake tumeenda kuziba shimo la panya kwa mkate,toka wale 19 wageuke nimekosa imani na wanawake ,delila ni delila tuuYaani kusema ukweli huyu mwanamke ni hasara kabisa.
Wote ni CCM,haina ubaya.Rais Samia huku unatuletea matozo. Imagine hao wote unaosafiri nao kwenda Zambia kwa kodi za watanzania.
View attachment 1905055
Naunga mkono hoja. Raisi ashauriwe vizuri juu ya gharama za safari zake, ili haya yasijirudie tena kwa safari zingine zijazo.Ona huo msululu jamani. Halafu mzigo unakuja kurudi kwa watanzania kulipa kodi lukuku.
Mpeleke mbowe gaidi akalipue umati wa shereheMbaya zaidi kiongozi wa serikali ni mmoja tu, wa ccm ndio wametawala hii ni ziara ya kichama na sio kiserikali... Mama ameweka mbele maslahi ya chama chake kuliko serikali! Nilitegemea kama kuongozana na watu angeongozana na watalaam na baadhi ya wafanyabishara ila leo nimejua mama ni empty kabisa
hata kama kukumbuka kichaa mi simo
hawa hawa akina VictorieHamna shida Mana tukiwaambia twende road mnasema watangulize watoto wao.
Mwacheni akasutwe na hakainde wakati wenzao wanaendesha siasa za maridhiano wao wanaendesha siasa za chukiYaani kusema ukweli huyu mwanamke ni hasara kabisa.
Ndomaana analipenda dege kubwa lile AirbusHao ni wakliotajwa. Wale wa ndugu na jamaa na wapambe mbali mbali hawapungua 50.
Huyu ndie mama anasema tufunge mikanda hata buku anakata sh 10.
🤣🤣🤣tumepigwa
Hawa Hawa na wengine kama hawahawa hawa akina Victorie
Inasikitisha sana, mama hana huruma kuteketeza mahela yote hayo kuhudhuria sherehe za kuapishwa tu. Kila mwaliko aenda yeye, sijui anaona shida gani kutuma mwakilishi hata mmoja kuliko kubeba timu yote hiyo kwa gharama za serikali. Sijui baada ya haya makodi na matozo watakuja na lipi tena, maana miradi bado mingi kuteketeza.Yaani kusema ukweli huyu mwanamke ni hasara kabisa.
Tatizo sio idadi ya watu anaoongozana nao, tatizo ni watu wa aina gani? wajumbe wa CCM wanafuata nini huko, kwanini hiyo nafasi wasingekwenda wafanyabiashara?Rais Samia huku unatuletea matozo. Imagine hao wote unaosafiri nao kwenda Zambia kwa kodi za watanzania.
View attachment 1905055
Tumepigwa vibaya yote haya kaleta aliyekuwa na andiko fake kwa kutojiamini na empty DNA, intelligence haifosiwi kwa kukariri😂😂😂😂Samia is an empty suit…
Yule jamaa hamna aiseeSio ndio vzr? Kusafirisafiri kwa viongozi huleta uhusiano Mzuri kimataifa.
Naona safari hii maisha yamekuwa nafuu mara baada ya mwenye Roho mbaya kuondoka ambaye hakutaka kusafiri, ambaye alikuwa anawanyanyasa watanzania ambaye.