Rais Samia katuaibisha nje ya Nchi tena. Hizi si Mila za Mtanzania

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Salaam

Kitendo cha Kumnywesha juisi Mwanaume kwa glasi anayotumia na yeye akatumia hapo hapo mwanaume alipotoa Mdomo, imetufedhehesha sana Sisi Waisilam na Jamii ya Afrika Mashariki

Haya angeyafanya nje ya Camera. Mahaba gani haya jamani?

Kumbuka rais wetu ni Mke wa Mtu.
Your browser is not able to display this video.

Kiprotocal hii imekaaje?

Najiuliza, Baba yetu Hafidh Ameir Hafidh amemfanyia baya gani rais wetu hadi alipize kwa kumuumiza kiasi hiki?

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwa na rais wa Msumbiji Filipe Nyusi

Your browser is not able to display this video.

Mara mia Rajab Abdul Kahali aka Harmonize, kapeleka ujumbe unaoeleweka.
 
πŸ˜πŸ˜πŸ˜ƒπŸ˜ƒ Usisahau kwamba Rais ni Mwanamama so hizo events huwa wanazipenda Sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…