Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 10,448
- 8,705
Unataka tuache kukasirika pale mtoto wa miaka 15 anapofanyiwa ukatili wa kinyama kwa sababu maisha ni mafupi kwa hiyo bora tule raha tuu? Unbelievable!Acha makasiriko maisha mafupi haya enjoy
Sarcastic ✍️Wiki hii hii kuna mtoto wa miaka 15 amepigwa vibaya na mume wake aliyekuwa akishirikiana na mume wake. Uso wake na mgongo hautamaniki. Na ana mtoto mmoja. Bila shaka Mila na desturi za kabila lake zinaruhusu watu wazima kuoa, kuzalisha mtoto wa miaka 13. Hiyo mnaona sawa ila mnatokwa na mapovu pale mwanamke mtu mzima anapomnywesha juice hadharani kiongozi mwenzake wa kiume.
Mnasikitisha sana. Btw. Wivu kwa mke tumeletewa na wageni. Kuna makabila ilikuwa halali kulala na mke wa rafiki yako wa rika moja. Leo mnadai wivu wa kijinga ni tamaduni yetu!
Amandla...
Hapana. Anakua nayoMama akishapiga Vant huwa hana control
Asingewza kubadilishiwa glasi halafu ishu ikabaki hivihivi. Ingeonekana labda alikuwa na nia ya kumdhuru rais wa Msumbiji.Sawa kabisa, hakutumia glasi aliyo munywesha Nyusi lakini waswahili kama kawaida yao badala ya kufuatilia/chunguza kwa umakini kwa kile kilicho fanyika pale - wanatuletea stori za kutunga/buni tu.
Kubusiana siyo siyo sawa na kushare glass moja watu msiofahamiana. Huo utamaduni haujawahi kufanywa na rais yeyote Tangu mwalimu, sisi tumeliona jambo hili sasa!Hivi nyie mnaotoka mapovu mtasema nini Rais wetu akienda nchi ambayo wanasalimiana kwa kubusiana mashavu au mikono? Au, astaghafilula, mtu akamkumbatia!
Amandla...
Weka ushahidi wa video clip!! Hii iliyowekwa inaonesha ameendelea kunywa kwenye glass hiyo hiyo aliyomnywesha mwenzake. Ushauri: Tuheshimu uhuru wa watu na hisia za watu - Tujifanye kama hatujaona vile, hiyo ndiyo heshima!!Alienda kubadilisha glass akapewa nyingine ndo akanywa .
Wamisheni kila jumapili tunashare glass na watu tusiowafahamu. Na wengine ni viongozi. Mnajitahidi sana kugeuza kichuguu kiwe mlima.Kubusiana siyo siyo sawa na kushare glass moja watu msiofahamiana. Huo utamaduni haujawahi kufanywa na rais yeyote Tangu mwalimu, sisi tumeliona jambo hili sasa!
Kama hili jambo ni la kawaida naomba incident yoyote katika dhifa ya viongozi inayofanana na hii.
Salaam
Kitendo cha Kumnywesha juisi Mwanaume kwa glasi anayotumia na yeye akatumia hapo hapo mwanaume alipotoa Mdomo, imetufedhehesha sana Sisi Waisilam na Jamii ya Afrika Mashariki
Haya angeyafanya nje ya Camera. Mahaba gani haya jamani?
Kumbuka rais wetu ni Mke wa Mtu.
View attachment 2365501
Kiprotocal hii imekaaje?
View attachment 2365516
Najiuliza, Baba yetu Hafidh Ameir Hafidh amemfanyia baya gani rais wetu hadi alipize kwa kumuumiza kiasi hiki?
View attachment 2365540
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwa na rais wa Msumbiji Filipe Nyusi
View attachment 2365938
View attachment 2365567
Mara mia Rajab Abdul Kahali aka Harmonize, kapeleka ujumbe unaoeleweka.
eti nini?....udhalilishaji?....kwamba hii video ni fake?...imetengenezwa na wanaotaka kumpokonya Mama urais 2025?....imetengenezwa na sukuma gang ambao hawakupenda Mama achukue nafasi ya urais kwa mujibu wa katiba?.
huna akili.
View attachment 2366100
We vp kafanya hivyo kweliHii sasa imevuka mipaka tafadhali naomba tuache tabia ya kumtukana na kumchafua Mh. Rais SSH
Mila za Watanzania zinapatikana wapi!? Mdigo na Mluguru Wana Mila sawa!?? Makabila 132 yana Mila sawa!!?? Hakuna Mila ya Mtanzania .....Salaam
Kitendo cha Kumnywesha juisi Mwanaume kwa glasi anayotumia na yeye akatumia hapo hapo mwanaume alipotoa Mdomo, imetufedhehesha sana Sisi Waisilam na Jamii ya Afrika Mashariki
Haya angeyafanya nje ya Camera. Mahaba gani haya jamani?
Kumbuka rais wetu ni Mke wa Mtu.
View attachment 2365501
Kiprotocal hii imekaaje?
View attachment 2365516
Najiuliza, Baba yetu Hafidh Ameir Hafidh amemfanyia baya gani rais wetu hadi alipize kwa kumuumiza kiasi hiki?
View attachment 2365540
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwa na rais wa Msumbiji Filipe Nyusi
View attachment 2365938
View attachment 2365567
Mara mia Rajab Abdul Kahali aka Harmonize, kapeleka ujumbe unaoeleweka.
Nothing wrong kabisa hapa na wewe mtoa hoja kuingiza udini hapo nimekuona ni wa ovyo kabisa, President Samia ni mwislamu (Imani yake)mimi ni mwabudu mizimu yangu (ni haki yangu),but President ni wa wote watanzania regardless Imani zao,never ever uingize udini kwenye issue kama hizi za wote, unataka kuniambia kuwa Waislamu ndio wanalea wenye tabia nzuri tu?,President Samia endelea kufanya kazi ni hii clip hakuna kibaya hapo!
Mwenye mke amelalamika?
Kwani Tanzania ni Islamic state 🙄