Wasichana wa Tanzania wanaamza usista duu mapema sana.matokeo yake wamedumaa
Wakiwa kwenye public ,wanajifanya kula kidogo,tena chipsi vipande vichache,kuku atamdonoa donoa,samaki atakula kama hataki hata kumgeuza hamgeuzi
Ngoja afike nyumbani sasa,ni ugali wa kulumangia na kachumbari au dagaa wa kukaanga.
Matokeo yake sasa,kupata msichana wa futi 5'8'' ni mtihani kwelikweli
Unakuta msichana mzuri lakini futi tano hajafika ,hapo yupo chuo,ukimuona kwa mbali utasema ni katoto ka shule ya msingi.utapiamlo huo.
Nilikuwa iringa shambani mabinti vibarua wengi ni futi nne na point lakini wote wana watoto mgongoni,utapiamlo huo.
Wazazi siku hizi wanajitahidi kuzaa mabinti waremho ila wana utapiamlo .
Nitafutie msichana wa futi sita mtaani kwako nikupe milioni moja.
Huku mkongo,huku mbilikimo
Mama ulikuwa sahihi ila ulisahau udumavu wa mabintu wetu
Wamedumaa sana
Wakiwa kwenye public ,wanajifanya kula kidogo,tena chipsi vipande vichache,kuku atamdonoa donoa,samaki atakula kama hataki hata kumgeuza hamgeuzi
Ngoja afike nyumbani sasa,ni ugali wa kulumangia na kachumbari au dagaa wa kukaanga.
Matokeo yake sasa,kupata msichana wa futi 5'8'' ni mtihani kwelikweli
Unakuta msichana mzuri lakini futi tano hajafika ,hapo yupo chuo,ukimuona kwa mbali utasema ni katoto ka shule ya msingi.utapiamlo huo.
Nilikuwa iringa shambani mabinti vibarua wengi ni futi nne na point lakini wote wana watoto mgongoni,utapiamlo huo.
Wazazi siku hizi wanajitahidi kuzaa mabinti waremho ila wana utapiamlo .
Nitafutie msichana wa futi sita mtaani kwako nikupe milioni moja.
Huku mkongo,huku mbilikimo
Mama ulikuwa sahihi ila ulisahau udumavu wa mabintu wetu
Wamedumaa sana