Nyakisese 2
Senior Member
- May 13, 2022
- 164
- 274
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukija rwanda we ni mbilikimo tu ahaaSijawahi kuwa mfupi bro...nipo wastani
Ni kweli,kule warefu sana aiseeUkija rwanda we ni mbilikimo tu ahaa
Stunting ni tatizo linaloanzia toka mimba mkuuWasichana wa Tanzania wanaamza usista duu mapema sana.matokeo yake wamedumaa
Wakiwa kwenye public ,wanajifanya kula kidogo,tena chipsi vipande vichache,kuku atamdonoa donoa,samaki atakula kama hataki hata kumgeuza hamgeuzi
Ngoja afike nyumbani sasa,ni ugali wa kulumangia na kachumbari au dagaa wa kukaanga.
Matokeo yake sasa,kupata msichana wa futi 5'8'' ni mtihani kwelikweli
Unakuta msichana mzuri lakini futi tano hajafika ,hapo yupo chuo,ukimuona kwa mbali utasema ni katoto ka shule ya msingi.utapiamlo huo.
Nilikuwa iringa shambani mabinti vibarua wengi ni futi nne na point lakini wote wana watoto mgongoni,utapiamlo huo.
Wazazi siku hizi wanajitahidi kuzaa mabinti waremho ila wana utapiamlo .
Nitafutie msichana wa futi sita mtaani kwako nikupe milioni moja.
Huku mkongo,huku mbilikimo
Mama ulikuwa sahihi ila ulisahau udumavu wa mabintu wetu
Wamedumaa sana