KING KIGODA
JF-Expert Member
- Dec 28, 2018
- 3,893
- 3,145
Hapo ndipo hata mimi nashangaa.Sio aibu tu, Bali ni fedheha.
Yaani kwa fursa zilizopo Tanzania kijana unakosaje kazi.
Umeshindwa kulima,
Umeshindwa kufuga,
Umeshindwa hata kutengeneza funza uwauizie wafugaji kuku.
Umeshindwa kutengengeneza hydroponic folder uwauzie wafugaji.
Umeshindwa hata kutafuta pori ukapande majani ya ng'ombe(hayahitaji mbolea Wala kumwagilia) upige hela
Ukiziorodhesha zinaweza zikafika laki Saba
Huu ni ukweli utakaochukiwa na vijana kama yeye alivyouchuki ule ukweli aliouongea mgogo.Hayo ameyasema leo huko Zanzibar.
Maoni yangu;
Hiyo ni kauli ya kejeli kwa vijana hasa wasio na ajira.
Naichukulia positive. Watanzanania tunahitaji change ya mindset kwa kuwa nyakati za Ku graduate na kusubiri placement ya Serikali hazipo.Hayo ameyasema leo huko Zanzibar.
Maoni yangu;
Hiyo ni kauli ya kejeli kwa vijana hasa wasio na ajira.
Tatizo lako unafikiri kila mtu ni nyumba ndogo kama ulivyo wewe!Wewe nyumba ndogo ya Ndungai amekurithi toka kwa yule dhalim aliyeko motoni sasa hivi. Utadanga sana kila unaposhika panateleza utakuwa na kimavi siyo bure.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Atapata Kazi kwenye gari ya mizigo au abiriaKwanza wewe hapo unalima hekari ngapi kwa mwaka?Mama ameongea na vijana ambao hata robo hekari hawezi lima.Sasa kijana huyu hata ukimpatia trekta na pembejeo bure,bado kwake anaamini kilimo ni kwa masikini na wasiofika vyuo vikuu.
Wewe ulikuwa mkosoaji wa magufuli na siyo ccmTeh teh teh teh...we jamaa bhana...umegeuka mkosoaji wa mama.
Wewe ulikuwa mfuasi mtiifu wa Magufuli sio Ccm.
Kimbembe kupata kura zao, jiwe alijua kucheza na mind zaoHili gonjwa alilipalilia jiwe kwa kuwapa jeuri machinga kuwa hakuna atakaye waondoa mijini.
Leo hii jiwe hayupo mrithi wake anataka kuwaondoa ndiyo inakuwa mshike mshike
Asiyeyata kufanya kazi na si asiyefanya kaziAsiyefanya kazi asile by Biblia
Lakini siyo kwamba asiye na ajira asile.
UmefuraAcha nyege
Bado huyu utakuwa haujamjenga kujitegemea.Pindi mmiriki wa hilo gari la mzigo akimchoka atarudi tena mtaani na akili zake zilezile za mshahara.Atapata Kazi kwenye gari ya mizigo au abiria
Lakini pia tambua kijana aliyefika chuo kikuu,aamini katika kazi hizi.Atapata Kazi kwenye gari ya mizigo au abiria
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Maajabu yanaendelea
Tafuta Kazi,unaishije bila Kazi? Au unadhani Kazi ni za kwenda ofisini na kusubiria salary mwisho wa mwez?
Ilibidi aonyeshe mfano kwa kuachia kila kitu,abaki mweupe aingie sasa field kupambana.Mhh laiti mama angejua kitaa kulivyo asingesema hivyo..
[emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23]dah mkuu umeua!!Kama vipi! Vijana wasio na kazi wauzwe nje ya nchi kama mbolea!
We vp?Ukishakuwa Spika tu basi unaingia kwenye Hilo kundi Moja Kwa Moja!Au umesahau Lowassa alivyojiuzulu lakini Mpaka Leo anavuta mpunga wa Serikali ?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama vipi! Vijana wasio na kazi wauzwe nje ya nchi kama mbolea!