Rais Samia: Kilimanjaro Wakuu wa Wilaya walimsumbua sana RC Mghwira wakidai Rais amekosea kuteua

Rais Samia: Kilimanjaro Wakuu wa Wilaya walimsumbua sana RC Mghwira wakidai Rais amekosea kuteua

Mh.Rais amenena "makavu" HADHARANI.....

Eti unamkuta DC anamvimbia RC kwa maneno ya hovyo kama aliyofanyiwa mh.Anna Mghwira...khaaa ujinga gani huo....

Where is the chain of command?!!!

Asante sana mh.Rais SSH!

#KaziIendelee
 
IMG_1173.jpg
 
hasa yule hayawani alikuwa akilindwa na mwendazake.
Aliumiza wengi mno na kwa namna mbalimbali, vilio vya walioumizwa vilimfikia Mungu wetu.
 
Kwa mitusi aliyomwaga kwa yule dereva bajaji sidhani kama atakuwepo kwenye pdf ya wakuu wa wilaya watakaotangazwa

Lazima awemo , yule ni mtoto wa Msoga!!! Mama na Msoga damu damu!!!
 
Back
Top Bottom