Rais Samia, kiprotokali ni sahihi kumtaja Rais wa Zanzibar kabla ya Waziri Mkuu wa Tanzania?

John Okelo alikuwa hawashi wala hazimi, alitumiwa kuwarushia changa la macho, Aliyeongoza mapinduzi alikuwa ni Hanga ambaye alihadaliwa na Nyerere pamoja na Kambona mwisho wakampeleka kwa Karume kuuliwa
Sivyo,
Wakati Field Marshal John OKELLO akipambana visiwani kuikomboa Zenji kutoka mikononi mwa Sultani, Kassim Hanga na Sheikh Karume walikuwa wamekimbilia Dar kujificha
 
Tukumbushe jibu lipi?
 
Sivyo,
Wakati Field Marshal John OKELLO akipambana visiwani kuikomboa Zenji kutoka mikononi mwa Sultani, Kassim Hanga na Sheikh Karume walikuwa wamekimbilia Dar kujificha

Aliyeyapanga ni Nani ? Huyo Karume alikuwa hajuwi chochote mpaka dakika ya mwisho ndiyo akapewa taarifa
 
Order of precedence inaandikwa kila Raisi akiingia madarakani. Anaweza kupanga anavyoweza. Ya nchi kama Marekani na Uingereza zinajulikana.
 

Rais huwa anaandikiwa tu ratiba...
 
Bongo hatari sana🀣, nimesoma comments za page 1 sijaona source yeyote, wajuzi. Kuna source ya katiba ya huu mtiririko?
 
Link
 
Wewe Dr uchwara acha kulilia watu mitandaoni. Hukutumwa ujiunge na JF
 
Yes kikatiba Waziri Mkuu is No.3, Rais wa Zanzibar is nobody kwenye set up ya Muungano, ni Waziri asiye na Wizara maalum ili aingie cabinet, PM ni boss wa Rais wa Zanzibar, lakini ki protocol Rais wa Zanzibar ni number 3. Hata wale makamo wawili wa Zanzibar, katiba ya JMT, haiwatambui, they are nobody huku, ila protocol inawatambua na vingora wanapewa!.
P
 
Kikatiba Rais wa Zanzibar ni kama Makamu wa Rais wa pili wa JMT ndio maana hata vikao vya baraza la mawazili anaitwa kushiriki akiwepo Rais wa JMT.Katiba ya Tanzania ibara ya 54 kifungu cha kwanza
Haipo hivyo, leta facts za Kikatiba siyo maoni Yako.
 
Waziri mkuu hana mandate ya kushikilia Nchi ikitokea Rais kusafiri basi nchi anapewa Makamu na makamu kama hayupo nchi anapewa Spika wa bunge JMT
Kama hayupo anapewa Jaji mkuu. Waziri mkuu hana sifa ya kuachiwa nchi kwa mujibu wa katiba.
 
Raisi wa Zanzibar ni Mkubwa kuliko Waziri Mkuu kiitifaki. Sehemu yeyote akiwepo Raisi wa Zanzibar, PM anakuwa namba 4.
Kwenye dhifa ya Kitaifa, Waziri Mkuu JMT, hawezi kuongea au kwenda kwenye chakula mbele ya Raisi wa Zanzibar (Kama akiwepo). 😁
 

Mkuu hautaeleweka humu. Watu wanachanganya Itifaki (Protocol suite) na Daraja (Hierarchical). Mama yupo Sahihi kiitifaki. Mifano ipo mingi tuu, waangalie nani anatangulia Kuzungumza kwenye matukio ya Kitaifa. Ni PM au Raisi wa Zanzibar. Watapata jibu.
 
Kwenye uvamizi /Muungano huu hiyo katiba ni changa la uso tu kudanganya Toto , Tz Hakuna cha katiba wala mavi ya protokoll, kuna vile watawala wanavyojisikia wanavyoamka au kutetea maslahi yao . Hii nchi Haina sheria.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…