Rais Samia, kiprotokali ni sahihi kumtaja Rais wa Zanzibar kabla ya Waziri Mkuu wa Tanzania?

Rais Samia, kiprotokali ni sahihi kumtaja Rais wa Zanzibar kabla ya Waziri Mkuu wa Tanzania?

Akitambua uwepo wa viongozi na waalikwa katika Mkutano wa wa 15 wa Baraza la Taifa la Biashara, Rais Samia kaanza kwa kutambua uwepo wa Makamu wa Rais kisha Rais wa Zanzibar na baada ya hapo ndio akamataja Waziri Mkuu wa Tanzania, Bwana Kassimu Majaliwa na kisha akaendelea kutaja wageni wengine waliokuwa wamehudhuria katika tukio hilo.

Swali langu ni je, kati ya Raisi wa Zanibar na Waziri Mkuu wa Tanzania, ni nani mwenye cheo kikubwa?

Zanzibar si ni sehemu ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, sasa iweje Rais wa Zanzibar ambae ni sehemu tu ya Muungano awe juu ya Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania?
Kwa nini Shein aliuacha umakamu wa Rais wa Muungano akaenda kugombea Urais wa Zanzibar?
 
Waziri Mkuu kikatiba ni mkubwa kuliko rais wa Zanzibar.
Hizo zinafanyikan zinafanyikan makusudi kabisa ku mo overate Rais wa Visiwabvya Zanzibar ambavyo sawa na wilaya Moja huku Bara.

Mamlaka ya Waziri Mkuu, kwenye Baraza la MAWAZIRI ,
Ibara ya 50, kifungu kidogo Cha (I) na Cha (ii) kinaonesha vizuri sana, kwamba KUTAKUWA NA BARAZA LA MAWAZIRI,

Linaundwa na Rais wa URT nayae atakuwa Mwenyekiti, asipokuwepo Makamu wa Rais.

Ikitokea Rais na makamu kwa pamoja hawapo,waziri Mkuu ataongoza kikao Cha Baraza la MAWAZIRI.

Wajumbe wanaounda Baraza la MAWAZIRI.

Mosi Rais, Mbili Makamu, tatu Waziri Mkuu.
Nne MAWAZIRI wote kamili sio manaibu,ni wajumbe, na Rais wa Zanzibar ni mjumbe tu,akiwa anaingia baraza la mawaziri hadhi yake ni sawa na Innocent Bashungwa au Masauni.

Nyongeza ikitokea Rais hayupo nchini Rungu anashiklia Makamu wa Rais, asipokuwepo yeye pia, Rungu atashika waziri Mkuu, naye asipokuwepo atashika speaker wa Bunge, na ikitokea wote hao hawapo kwa pamoja nchi itakuwa chini ya jaji mkuu!

Hapo Rais wa Zanzibar hatajwi.

Kumruka waziri mkuu au waziri mkuu kutangulia kuingia kwenye sherehe za kitaifa katika accending order na descending order yaani order of seniority ni JANJAJANJA tu ya makusudi inayofanyika.

Lakini ni ukiukwaji wa katiba mchana kweupe.

Hayo yanatosha kuelewa hata kwa mwanafunzi wa elimu ya Uraia Civics kuelewa kuwa waziri mkuu ni Mtu Mkubwa sana katika nchi kimamlaka na protocal akiwa chini ya Makamu wa Rais.

Kwahiyo kumdogosha waziri mkuu ni mbwembwe na janjajanja flani ya makusudi.

😅🤔🙏
Hiyo ni Tanganyika ikiwa peke yake,,lakini ikiwa Muungano ni sahihi akitoka makamu wa raisi anafuata raisi wa zanzibar
 
Sasa kitunguu cha katiba si nimekuandikia Hapo we matako.

Siku hizi tuna watu wengi wenye Magonjwa ya afya ya AKILI.
Wewe ni mmojawapo Tena una kifungashio Cha UTI SUGU NA FISTULA .

Shoga punguza shobo, leta hoja acha Matusi.

Wewe K.ufa U.laya M.azishi A.frica (K.....M)....la Mamako 🤣😅🤣😅
 
Hiyo ni Tanganyika ikiwa peke yake,,lakini ikiwa Muungano ni sahihi akitoka makamu wa raisi anafuata raisi wa zanzibar
Hamna , acheni kuleta maoni yenu binafsi , jielekeze kwenye katiba Ina vyosema sio vinginevyo.
 
Siku hizi tuna watu wengi wenye Magonjwa ya afya ya AKILI.
Wewe ni mmojawapo Tena una kifungashio Cha UTI SUGU NA FISTULA .

Shoga punguza shobo, leta hoja acha Matusi.

Wewe K.ufa U.laya M.azishi A.frica (K.....M)....la Mamako 🤣
Kusoma kweli ni mali,haya endelea na upuuzi wako.
 
Kusoma kweli ni mali,haya endelea na upuuzi wako.
Hakuna upuuzi, upuuzi ni huo unao ufanya wewe, kuparamia hoja ambayo inazid uwezo wako mdogo wa akili ya kwenye kisoda.
Ni busara kukaa kimyaa, na kuficha upumbavu wako, kwenye mada ambazo huzielewi wala huwezi kuzitetea kwa reference.

Kumaliza ubishi leta rejea ya kikatiba inayoonesha mkuu WAKO wa WILAYA za Zanzibar ni Mkubwa kuliko waziri mkuu
 
Waziri Mkuu kikatiba ni mkubwa kuliko rais wa Zanzibar.
Hizo zinafanyikan zinafanyikan makusudi kabisa ku mo overate Rais wa Visiwabvya Zanzibar ambavyo sawa na wilaya Moja huku Bara.

Mamlaka ya Waziri Mkuu, kwenye Baraza la MAWAZIRI ,
Ibara ya 50, kifungu kidogo Cha (I) na Cha (ii) kinaonesha vizuri sana, kwamba KUTAKUWA NA BARAZA LA MAWAZIRI,

Linaundwa na Rais wa URT nayae atakuwa Mwenyekiti, asipokuwepo Makamu wa Rais.

Ikitokea Rais na makamu kwa pamoja hawapo,waziri Mkuu ataongoza kikao Cha Baraza la MAWAZIRI.

Wajumbe wanaounda Baraza la MAWAZIRI.

Mosi Rais, Mbili Makamu, tatu Waziri Mkuu.
Nne MAWAZIRI wote kamili sio manaibu,ni wajumbe, na Rais wa Zanzibar ni mjumbe tu,akiwa anaingia baraza la mawaziri hadhi yake ni sawa na Innocent Bashungwa au Masauni.

Nyongeza ikitokea Rais hayupo nchini Rungu anashiklia Makamu wa Rais, asipokuwepo yeye pia, Rungu atashika waziri Mkuu, naye asipokuwepo atashika speaker wa Bunge, na ikitokea wote hao hawapo kwa pamoja nchi itakuwa chini ya jaji mkuu!

Hapo Rais wa Zanzibar hatajwi.

Kumruka waziri mkuu au waziri mkuu kutangulia kuingia kwenye sherehe za kitaifa katika accending order na descending order yaani order of seniority ni JANJAJANJA tu ya makusudi inayofanyika.

Lakini ni ukiukwaji wa katiba mchana kweupe.

Hayo yanatosha kuelewa hata kwa mwanafunzi wa elimu ya Uraia Civics kuelewa kuwa waziri mkuu ni Mtu Mkubwa sana katika nchi kimamlaka na protocal akiwa chini ya Makamu wa Rais.

Kwahiyo kumdogosha waziri mkuu ni mbwembwe na janjajanja flani ya makusudi.

😅🤔🙏
Upo sahihi Aione chiembe na ChoiceVariable wasiojua kuwa hawajui
 
Niko smart,kiazi ni wewe na mke wako ambaye anagawa PAPUCHI ovyo hapa mtaani, anagongwa mpaka na bodaboda.

Jambo rahisi sana nenda kwenye katiba, leta kifungu kinachoonesha ukuu wa mkuu wa wilaya ya Zanzibar kuwa juu ya Waziri Mkuu, mimi nimetoa 50 (I) (ii) ,hebu wewe leta reference, vinginevyo wewe ndiyo POPOMA, BUMUNDA usiyejua chochote.

Most of the time your reply are very horrible,I don't see any objectivity in your reply, you have allowed your emotions to govern your Intellect.

Ubongo ujazo wa kisoda unataka kubishana na akili Kubwa?? Leta hoja zenye reference kupinga kipengele Cha Katiba nilichorejea.

Nyongeza mwambie wife wako apunguze kugawa papuchi 🤣😅🤣😅
Huna akili na huna uwezo wowote wa kushindana na mimi!😂😂 Unasoma masters ya kiswahili kenya😂😂 This is laughable...Halafu mke wako si kahaba!!?
 
Niko smart,kiazi ni wewe na mke wako ambaye anagawa PAPUCHI ovyo hapa mtaani, anagongwa mpaka na bodaboda.

Jambo rahisi sana nenda kwenye katiba, leta kifungu kinachoonesha ukuu wa mkuu wa wilaya ya Zanzibar kuwa juu ya Waziri Mkuu, mimi nimetoa 50 (I) (ii) ,hebu wewe leta reference, vinginevyo wewe ndiyo POPOMA, BUMUNDA usiyejua chochote.

Most of the time your reply are very horrible,I don't see any objectivity in your reply, you have allowed your emotions to govern your Intellect.

Ubongo ujazo wa kisoda unataka kubishana na akili Kubwa?? Leta hoja zenye reference kupinga kipengele Cha Katiba nilichorejea.

Nyongeza mwambie wife wako apunguze kugawa papuchi 🤣😅🤣😅
What a display of stupidity! Nimekuzidi kila idara😁😁 unaanza kuingiza mada nyingine kisa mke wako anakalia hogo la wauni😂😂
 
1.Rais wa JMT
2.Makamu wa rais JMT
3.Rais wa Zanzibar
4.Waziri mkuu wa JMT
5.Makamu wa kwanza wa rais zanzibar
6.Makamu wa pili wa rais zanzibar
7.Naibu waziri mkuu JMT kama yupo
8.Katibu mkuu kiongoz JMT
Hivi vitu wala hata havina relevance kwenye maendeleo ya Taifa
 
We kijana unaandika haya unatoa wapi ushawai kuwa hata kwenye msafara wowote wa Rais wa JMT, makamu wa Rais? Au hata Waziri Mkuu au unaandika andika tu sijui escort 1 mara 2..
Rais na makamu wa Rais wote wana Escort 1 na 2 tunapokuwa katika misafara huwa tunapanga gari hivi

Ikiwa ni Msafara wa Rais utakuwa kama
ifuatavyo:-
i)SweepCar
Maafisa wa Polisi/Traffic
ii)LeadCar
RPC
iii)Escort (1)
Walinzi wa Rais
iv)VIP (2)
Mke/Mme wa Rais
v)VIP (1)
Rais na Mkuu wa Mkoa
vi)Escort (2)
Walinzi wa Rais
vii)Escort (3)
Mlinzi Mkuu & RSO
viii)Rear Guard
FFU
ix)Gari la akiba
x)Gari Na. 10
Mwenyekiti wa Chama Tawala wa
Mkoa
xi)Gari Na.11
- Waziri wa zamu
Katibu Mkuu wa zamu
Katibu wa Rais
xii)Gari Na. 12
Daktari wa Rais
Mwandishi wa Habari wa Rais
Msaidizi wa Rais (Siasa)
Mpigapicha Mkuu wa Rais
xiii) Ambulance
xiv) Mafundi
xv) Tail Car

Hivyo hivyo itakuwa sawa kwa Rais wa Zanzibar utofauti utaonekana kwa makamu wa Rais yeye hana escort 1 na 2 ila atakuwa na VIP 1 na 2
Hivyo hivyo kwa waziri mkuu mfano
Msafara wa Makamu wa Rais utakuwa kama
ifuatavyo:-
(i)Sweep Car
Maafisa wa Polisi/Traffic
(ii)LeadCar
RPC
(iii)VIP (2)
Mke wa Makamu wa Rais
(iv)VIP (1)
Makamu wa Rais na Mkuu wa Mkoa
(v)Escort
Mlinzi Mkuu & RSO
(vi)Rear Guard
FFU
(vii)Gari la akiba
(viii)Gari Na 8
Mwenyekiti wa Chama Tawala wa
Mkoa
(ix)Gari Na.9
  • Waziri wa zamu
  • Katibu Mkuu wa zamu
  • Katibu wa Makamu wa Rais
Magai mengine yatafuata kama nilivyoandikwa hapo juu..

Lakini upande wa waziri mkuu Msafara wa Waziri Mkuu utakuwa kama
ifuatavyo:-
i)SweepCar Maafisa wa Polisi/Traffic
ii)LeadCar
RPC
iii)VIP (2)
Mke wa Waziri Mkuu
iv)VIP (1)
Waziri Mkuu na Mkuu wa Mkoa
v)Escort
Mlinzi Mkuu & RSO
vi)Rear Guard
FFU
vii)Gari la akiba
viii)Gari Na.8
Mwenyekiti wa Chama Tawala wa Mkoa
ix)GariNa. 9
Waziri wa zamu
Katibu Mkuu wa zamu
-Katibu wa Waziri Mkuu


Na kumbukeni kuwa
Mpangilio wa magari ulioelezwa hapo juu ni
wa utendaji na sio kielelezo cha ukubwa wa
madaraka.

Acha ujuaji usipoteshe watu kama hujui kaa kimya nimeandika haya ila kutafuta sababu hayapaswi kuoneshwa kwa watu wasio na umuhimu
Acha kukurupuka ww chizi! Soma kwa makini watu tupo makini sio kama ww ngedere.Hujaelewa nilichoandika😂😂 futa hili gazet lako.
 
1.Rais wa JMT
2.Makamu wa rais JMT
3.Rais wa Zanzibar
4.Waziri mkuu wa JMT
5.Makamu wa kwanza wa rais zanzibar
6.Makamu wa pili wa rais zanzibar
7.Naibu waziri mkuu JMT kama yupo
8.Katibu mkuu kiongoz JMT
KUMBUKA huyo namba tatu sio Rais wa Zanzibar, yeye ni Rais wa serikali ya mapinduzi ya Zanzibar...yule sio Rais wa nchi....waziri mkuu ni WA jamhuri ya muungano wa tanzania, hivyo kikatiba ni mkubwa
 
What a display of stupidity! Nimekuzidi kila idara😁😁 unaanza kuingiza mada nyingine kisa mke wako anakalia hogo la wauni😂😂
Imekuuma ehee, unatumia Lugha chafu baada ya kukushinda hoja ya Katiba na udogo wa mkuu wa wilaya anayeongoza Wilaya, Zanzibar vs Waziri Mkuu??

Nitaendelea kujibu kwa lugha inayofanana na wewe.

Wewe ndiye umeonesha highest level of ignorance.
Ni mweupe, ni zero brain 🧠.

Kama upo kwenye nafasi kubwa basi Tz tupo kwenye hatari kubwa.


Wazazi wako walitakiwa KUFUGA NGURUWE kuliko kukusomesha mtu mpuuzi kama wewe.

Wangefuga NGURUWE wangenufaika sana 🤣🤣🤣😅😅

By the way I'm very grateful, you are revealing the highest level of your stupidity.

I have seen lack of objectivity and particularity in all of your reply.
Mwambie wife wako aache kugawa papuchi kwa bodaboda,sijui Huwa haumridhishi,watu wanashindwa tu kukuambia,

Shame on you DUDE 😅🤣😅🤣
 
Acha kukurupuka ww chizi! Soma kwa makini watu tupo makini sio kama ww ngedere.Hujaelewa nilichoandika😂😂 futa hili gazet lako.
Futa hivi pia inaonekana una uwezo mdogo au msongo wa mawazo kuishi maisha yasiyo ya ndoto yako.. tumia lugha za Busara unapochat na unknown
 
Yes kikatiba Waziri Mkuu is No.3, Rais wa Zanzibar is nobody kwenye set up ya Muungano, ni Waziri asiye na Wizara maalum ili aingie cabinet, PM ni boss wa Rais wa Zanzibar, lakini ki protocol Rais wa Zanzibar ni number 3. Hata wale makamo wawili wa Zanzibar, katiba ya JMT, haiwatambui, they are nobody huku, ila protocol inawatambua na vingora wanapewa!.
P
Kikatiba hakuna Rais wa Zanzibar, Kuna Rais wa serikali ya mapinduzi ya Zanzibar. Hivyo yule sio Rais wa Zanzibar bal ni Rais wa SMZ...kumwita Rais wa Zanzibar ni kuisigina katiba yetu...
 
Imekuuma ehee, unatumia Lugha chafu baada ya kukushinda hoja ya Katiba na udogo wa mkuu wa wilaya anayeongoza Wilaya, Zanzibar vs Waziri Mkuu??

Nitaendelea kujibu kwa lugha inayofanana na wewe.

Wewe ndiye umeonesha highest level of ignorance.
Ni mweupe, ni zero brain 🧠.

Kama upo kwenye nafasi kubwa basi Tz tupo kwenye hatari kubwa.


Wazazi wako walitakiwa KUFUGA NGURUWE kuliko kukusomesha mtu mpuuzi kama wewe.

Wangefuga NGURUWE wangenufaika sana 🤣🤣🤣😅😅

By the way I'm very grateful, you are revealing the highest level of your stupidity.

I have seen lack of objectivity and particularity in all of your reply.
Mwambie wife wako aache kugawa papuchi kwa bodaboda,sijui Huwa haumridhishi,watu wanashindwa tu kukuambia,

Shame on you DUDE 😅🤣😅🤣
😎😎 Huyu ndiye mtu anasoma masters!! Hajui vitu vidogo kama hv😂😂 Aisee hiyo masters ya kiswahili ipo vzr ww ngedere.
 
Imekuuma ehee, unatumia Lugha chafu baada ya kukushinda hoja ya Katiba na udogo wa mkuu wa wilaya anayeongoza Wilaya, Zanzibar vs Waziri Mkuu??

Nitaendelea kujibu kwa lugha inayofanana na wewe.

Wewe ndiye umeonesha highest level of ignorance.
Ni mweupe, ni zero brain 🧠.

Kama upo kwenye nafasi kubwa basi Tz tupo kwenye hatari kubwa.


Wazazi wako walitakiwa KUFUGA NGURUWE kuliko kukusomesha mtu mpuuzi kama wewe.

Wangefuga NGURUWE wangenufaika sana 🤣🤣🤣😅😅

By the way I'm very grateful, you are revealing the highest level of your stupidity.

I have seen lack of objectivity and particularity in all of your reply.
Mwambie wife wako aache kugawa papuchi kwa bodaboda,sijui Huwa haumridhishi,watu wanashindwa tu kukuambia,

Shame on you DUDE 😅🤣😅🤣
Huyo kijana anatumia lugha za mtaani sana na kihuni wanapowasilisha mchango wake nasikitika sana na uwezo wake ..

Yeye anajiandikia as if haijui katiba ambayo ndiyo msingi wa miongozo yote katika Nchi
 
Back
Top Bottom